Hotuba ya Zitto Kabwe kwa Watanzania. Asema Mashtaka ya Mbowe yanachochea chuki na kupasua Nchi

Hotuba ya Zitto Kabwe kwa Watanzania. Asema Mashtaka ya Mbowe yanachochea chuki na kupasua Nchi

Zito kabwe amefeli wanasiasa wengine wamefeli wanaongea pointless yaani kiongozi wa Upinzani hauongelei tozo, kiongozi wa Upinzani hauongelei Rushwa, ufisadi ubadhitifu wa mali ya umma uzembe na matumizi mabaya ya rasilimali za nchi yaani hamna kabisa upuuzi

Kwenye hiyo press Zito amezuia ww kuongelea tozo na rushwa? Ni sawa kama ukute ni mtihani wa kiswahili, lakini unatoka unalaani kuwa hao wanafunzi hawajui hesabu kabisa!
 
Subiri siku uibiwe mume halafu usubiri jirani yako akusaidie kupiga kelele za mwizi mwizi.
Shida yake huyo alitamani kusikia akiyaunga mkono mawazo ya ukandamiza, na ubambikaji kesi kwa wengine, Ajabu anaumia na kushambulia wengine.
 
Jamaaa hamna kitu Yule, ni mdini kinyama , kamwe huwez kukuta Zitto akimshambulia Raisi Samia , sababu anaenjoy kile anachokitaka
Nakubaliana na wewe kwa 100%, pia Masoud Kipanya na Fatuma Karume.
 
Zito kabwe amefeli wanasiasa wengine wamefeli wanaongea pointless yaani kiongozi wa Upinzani hauongelei tozo, kiongozi wa Upinzani hauongelei Rushwa, ufisadi ubadhitifu wa mali ya umma uzembe na matumizi mabaya ya rasilimali za nchi yaani hamna kabisa upuuzi
Yaani chama tawala kifanye maujinga hayo yote...tozo,ufisadi,uzembe nk halafu ndipo mnataka wapinzani waje kuongelea!

Kuleni matapishi yenu maana wapinzani wakisema kuandamana mnajificha kwa uoga,tena tozo ziongezwe maradufu labda ndo mtawaelewa.
 
Zito kabwe amefeli wanasiasa wengine wamefeli wanaongea pointless yaani kiongozi wa Upinzani hauongelei tozo, kiongozi wa Upinzani hauongelei Rushwa, ufisadi ubadhitifu wa mali ya umma uzembe na matumizi mabaya ya rasilimali za nchi yaani hamna kabisa upuuzi
Kwani maana ya ajenda Ni Nini?
 
Ongelea wewe usitupigie kelele hapa. Mijitu mingine bwana, inataka mtu aongelee mawazo yaliyo vichwani mwao kama vile yenyewe imezibwa midomo.
Ikiambiwa kuandamana inajificha kwa uoga,bora misukule
 
Zito kabwe amefeli wanasiasa wengine wamefeli wanaongea pointless yaani kiongozi wa Upinzani hauongelei tozo, kiongozi wa Upinzani hauongelei Rushwa, ufisadi ubadhitifu wa mali ya umma uzembe na matumizi mabaya ya rasilimali za nchi yaani hamna kabisa upuuzi
Aongee kesho mseme gaidi nyie vibaraka wa shetani
 
Jamaaa hamna kitu Yule, ni mdini kinyama , kamwe huwez kukuta Zitto akimshambulia Raisi Samia , sababu anaenjoy kile anachokitaka
We mwenyewe mdini kinomaaaa maana MAWAZO yenu hugeuziwa huko,Huyo fyekelo Zito na wewe wote tu dishi limeyumba
 
Yaani chama tawala kifanye maujinga hayo yote...tozo,ufisadi,uzembe nk halafu ndipo mnataka wapinzani waje kuongelea!

Kuleni matapishi yenu maana wapinzani wakisema kuandamana mnajificha kwa uoga,tena tozo ziongezwe maradufu labda ndo mtawaelewa.
Subiria ss Chama Bora kinakuja chenye sera za uhakika
 
Zito kabwe amefeli wanasiasa wengine wamefeli wanaongea pointless yaani kiongozi wa Upinzani hauongelei tozo, kiongozi wa Upinzani hauongelei Rushwa, ufisadi ubadhitifu wa mali ya umma uzembe na matumizi mabaya ya rasilimali za nchi yaani hamna kabisa upuuzi

Tozo si tulisha malizana nazo?

Sasa hivi vipaumbele ni Corona, Mbowe na katiba mpya.

Vingine na nyie pambaneni navyo.
 
Yaani chama tawala kifanye maujinga hayo yote...tozo,ufisadi,uzembe nk halafu ndipo mnataka wapinzani waje kuongelea!

Kuleni matapishi yenu maana wapinzani wakisema kuandamana mnajificha kwa uoga,tena tozo ziongezwe maradufu labda ndo mtawaelewa.
Mkuu Na wamekwanyua na tarifu ziro kwenye umeme. Wapinzani wakiongea wanapewa kesi za kuujumu huchumi na ugaidi. Hayana hata aibu hata hofu ya Mungu hayana Ni majitu masingiziaji yanapora hata kile kidogo cha mtu maskini hayana tofauti na Majambazi. Alafu analeta mada za kijinga hakuna mpinzani nchi hii. Ajabu sana
 
haupaswi kumuamini muongo hatakama akiongea ukweli zitto haaminiki kamwe,
 
Excellent speech. Hii inatakiwa ipelekwe moja kwa moja kwa SSH aisome na kuchukua hatua. Tunakoelekea ni kubaya sana. Kayafa keshaenda yeye ndiye atakayebeba zigo lote la kuanguka kwa nchi. Mama ameanza kupiga mira nje hata penati ambayo haina golikipa. Kosa kubwa alilolifanya ni kutounda serikali yake akawa kama kokoro akabeba hata makapi ya Kayafa. Hayo ndiyo yanayompoteza. Alitakiwa aunde new and fresh cabinet atakalokuwa na sauti nalo.
Bora watoke wapi wakati alionao ndio waliwaona bora zaidi.
 
Mama anapaswa kusoma na kuelewa haya mambo.
 
Zitto Kabwe kasema keshachanjwa chanjo ya corona

Na waliopewa kipaummbele kwa sasa ni wafanyakazi wa sector ya afya,walio na umri zaidi ya miaka 50 na kundi la tatu ni wenye changamoto za maradhi

Zito Kabwe alizaliwa 1976 ana miaka 45 hivyo ni obvious kachanja kwa kuwa ana changamoto za kiafya,Zipi anazijua mwenyewe.Kwake kupongeza chanjo ni haki yake
 
Back
Top Bottom