Uchaguzi 2020 Hotuba za kampeni za Lissu, naomba sana ziwe na yafuatayo

Uchaguzi 2020 Hotuba za kampeni za Lissu, naomba sana ziwe na yafuatayo

Magufuli ana vitu vingi sana vya kuongea na wananchi kuhusu maendeleo yao, hawezi kuongelea mambo ambayo hayana tija.
Sasa kwa nini unalazimisha watu wengine waongelee vitu visivyo na tija? Wewe ni mgonjwa?
 
Ila kuna watu wajinga duniani, yaani unaamini kabisa kuwa ni vigumu Magufuli kushindwa uchaguzi huu? Hivyo vijiji unavyovizungumzia wananchi wa huko wana watoto wao ambao tangu Magufuli aingie madarakani hawawapi misaada ya kutosha, na wanawaambia utawala huu haujawaongeza mishahara, umevuruga biashara zao, hivyo vipato vyao vimedumaa! Ndani ya CCM kwenyewe pamevurugika haijawahi kutokea..usicheze na nguvu ya Mungu watu wamepigwa upofu mambo ni vuluvulu!
Ndoto za alinacha
 
Mkuu nchi kuendelea inahitaji akili na si uthubutu wa kutumia nguvu nyingi akili kisoda,Kuhusu nchi kuwa kwenye economic depression,I think we are almost there mpaka sasa.Yaani Kamwe Magu si wa kucompare na Lissu,Magu mcompare na kina Lusinde na kina Lijuakali,Magu is not presidential material,nakuambia kwa dhati ya moyo wangu kumpa nchi hii Magu for the next five years ni uasi kwa nchi yetu na watu wake
🙏 🙏🙏🙏🙏 Bravo and Big Up.
 
Mkuu kipande, hilo la risasi mbona kasamehe
Ongezea hapo.. aelezee kwanni alipigwa risasi katika mguu wa kulia alopokaa Dereva wake wakati gari linaonyesha lilishambuliwa upande wa kushoto alipokaa yeye. Na mpaka sasa Dereva wake amefichwa wapi
 
Back
Top Bottom