Uchaguzi 2020 Hotuba za kampeni za Lissu, naomba sana ziwe na yafuatayo

Magufuli ana vitu vingi sana vya kuongea na wananchi kuhusu maendeleo yao, hawezi kuongelea mambo ambayo hayana tija.
Sasa kwa nini unalazimisha watu wengine waongelee vitu visivyo na tija? Wewe ni mgonjwa?
 
Ndoto za alinacha
 
πŸ™ πŸ™πŸ™πŸ™πŸ™ Bravo and Big Up.
 
Mkuu kipande, hilo la risasi mbona kasamehe
Ongezea hapo.. aelezee kwanni alipigwa risasi katika mguu wa kulia alopokaa Dereva wake wakati gari linaonyesha lilishambuliwa upande wa kushoto alipokaa yeye. Na mpaka sasa Dereva wake amefichwa wapi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…