Mkuu nchi kuendelea inahitaji akili na si uthubutu wa kutumia nguvu nyingi akili kisoda,Kuhusu nchi kuwa kwenye economic depression,I think we are almost there mpaka sasa.Yaani Kamwe Magu si wa kucompare na Lissu,Magu mcompare na kina Lusinde na kina Lijuakali,Magu is not presidential material,nakuambia kwa dhati ya moyo wangu kumpa nchi hii Magu for the next five years ni uasi kwa nchi yetu na watu wake