Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 94,296
- 122,540
Tofauti kubwa ya wakati ule na sasa ni kwamba viongozi wetu wa leo wamejiongezea mishahara na posho wakati enzi za Mwalimu alijipunguza mshahara kwa asilimia 20% wakati wanafunzi wa chuo kikuu walipogoma kupinga national service. Ningefurahi kumsikia Kikwete akisema anajipunguza mshahara wake kwa asilimia 20% na kuwataka wabunge wafanye hivyo na kuondoa posho. Inawezekana?
Sasa Kikwete ajipunguzie mshahara kwa asilimia 20....hiyo asilimia 20 ni ya mshahara kiasi gani? Kuna mtu anaujua mshahara wake?