Hotuba za Mwalimu Julius Kambarage Nyerere

Hotuba za Mwalimu Julius Kambarage Nyerere

Hivi kuna kiongozi wa leo mwenye ujasiri wa kutazama hotuba za baba wa taifa kweli?
 
Hivi kuna kiongozi wa leo mwenye ujasiri wa kutazama hotuba za baba wa taifa kweli?

hotuba ilivyoanza kama walikuwa wanaangalia itv washabadili stesheni zamani,

unafiki wao unawasuta kutazama hotuba za Nyerere,
 
hotuba ilivyoanza kama walikuwa wanaangalia itv washabadili stesheni zamani,

unafiki wao unawasuta kutazama hotuba za Nyerere,
kama dhamira imekufa wanasikiliza tu haina shida.
shida ni wale bado ambao bado wanatamani kuwa waumini na bado wanatamani pesa za wawekezaji na rushwa
 
Anaendelea: "Tunataka rais wetu anaweza kuukemea udini na ukabila, na akikemea watu wamwamini hivyo. Siku hizi udini na ukabila unanyemelea nchi yetu". Kwa kweli huyu mzee mafisadi, wapenda udini na ukabila hotuba zake wanaziona noma, na hotuba yake imeisha / imekatishwa muda huu!!!
 
Nimesikiliza sema nimechoka naenda kulala. Ila nyerere alikua kiboko. Dah jembe
 
i wish some day, some one like Nyerere to be born in our Tanzania!
 
AZIMIO LA ARUSHA

NA
SIASA YA TANU JUU YA
UJAMAA NA KUJITEGEMEA
1967

MULISOME NA HAKIKA MWAWEZA KULIA PITIA SEHEMU YA TANO NA LINGANISHA NA HALI HALISI YA SASA.

wajinga wajinga walishaua siku nyingi hilo Azimio la Arusha,
hujawahi kusikia wanasema kuna azimio la Zanzibari?
Mwenye hilo Azimio la Zanzibari ingekuwa vizuri akatuletea hapa nalo tukalisoma,
 
Kiongozi safi hawezi kutoka ndani ya ccm kwa sababu walishavunja miiko iliyoasisi chama hicho! ccm kimekuwa chama cha matajiri, chama kinachoendeleza udini, ukabila na rushwa!
 
Natafuta hotuba za nyerere zikiwa katika audio au video. Mwenye kujua nitazipata wapi anijulishe
 
Natafuta hotuba za nyerere zikiwa katika audio au video. Mwenye kujua nitazipata wapi anijulishe
Waone watu wa TANAPA ndio walidhamini kuzihifadhi nadhani wao wanazo. La cheki na ofisi za information pale mjini samora na maktaba watakuwa wanajua zinapatikana wapi.
 
Nashukuru sana kwa taarifa.


Kama siyo ufidhuli ulipo serikalini nakwambia ungepata haraka sana!
Sasa ni mpaka ukahojiwe A to Z ndiyo unaweza ukapata Makumbusho ya Taifa!

Ila kuwa mpole kwani hapa ni Jf hakika kila mtu yupo hapa kwa ujenzi wa Taifa letu!
 
Back
Top Bottom