FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 100,246
- 123,145
Kwani viwanda na mashirika ambayo wakuu wako wanauza alijenga nani?muulize mzee wako aliesoma bure atakuambia
Hilo ndio lilikuwa moja kati ya makosa yake makubwa. Vilikufa yeye mwenyewe akiwa hai. Wewe ulichukuwe jitu limezaliwa, limekulia, limesomea porini. Mjini kaja kwa kupelekwa chuo kwa upendeleo, halina exposure, halina muono, halijawahi kufanya kazi, ukalipe kiwanda liendeshe? huo ulikuwa ni ujinga mkubwa sana.
Mfano kuna mtu alikuwa kuli wa kubeba mizigo bandarini, kamfanya sijui mshauri wake Ikulu (kama sikosei ni baba'ke Nape Nnauye), hiyo kweli ni akili?