Houseboy

Status
Not open for further replies.

Wewe mama ni Kicheche, nimeona ulivyokuwa unamshauri mwenzio anayemtamani bb mkwe, ampe utamu wake sasa na ww utakuwa umempa houseboy wako sasa amekukataa unajidai kuomba msaada hapa,kudadadeki

Kumbe JF ina mambo namna hii??? Sikuwa najua do let me be active sasa ha ha ha Baba Mkweeeeeeeeeeeeeeee. Hivi hana simu??? Hebu mtwangie utoe kilichorohoni mwako mwaya aahhh zama za uwazi na ukweli hizi usiogope
 
Wewe mama ni Kicheche, nimeona ulivyokuwa unamshauri mwenzio anayemtamani bb mkwe, ampe utamu wake sasa na ww utakuwa umempa houseboy wako sasa amekukataa unajidai kuomba msaada hapa,kudadadeki

Duh! Hommie umepata ajira WikiLeaks?
 
Duh! Hommie umepata ajira WikiLeaks?

Wazungu wanasema a liar should have a gud memory........yeye kajisahau kwamba alikuwa anashauri mwenziwe achakachuliwe na bb mkwe
 
Wazungu wanasema a liar should have a gud memory........yeye kajisahau kwamba alikuwa anashauri mwenziwe achakachuliwe na bb mkwe
Katika hali ya kawaida, mama mwenye nyumba kutongozwa na hausiboi unaionaje hiyo? Easy go flani hivi....
 
Katika hali ya kawaida, mama mwenye nyumba kutongozwa na hausiboi unaionaje hiyo? Easy go flani hivi....

Ni ngumu sana mara nyingi maza house ndio huwa wanawabaka ma-house boy;

Dalilili za maza house kubaka;-

1. Kutega kazini mara kwa mara
2. Kuwahi kurudi kazini gafla(surprise home visit)
3. Kwenda Shambani na house boy na khanga 1
4. Zawadi za tshirt za promo kazini kumpa house boy
5. Kumshawish father house kumwongeza house boy mshahara/malipo ya kazi.
 

Ha ha ha ha ha ha ha haaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
 

Desidii ameangukia hapo kwenye red. Desidii tuambie kwanini ulienda shamba na hausiboi ukiwa na khanga moja? Mmeo ulimwacha wapi?
 

Hahahahaha mwanangu umegonga Ikulu

Mama house kumbe ndo walivyo dah hapo bado vi offer offer kibao vya kwenda nae sokoni n.k
 
Desidii ameangukia hapo kwenye red. Desidii tuambie kwanini ulienda shamba na hausiboi ukiwa na khanga moja? Mmeo ulimwacha wapi?

Si umeona nimechekaaa na kukaa kimya toka jana nimezungumza nguo niliyovaa ilikuwa jinsi na tisheti mpaka mtu mmoja akasema si unajua zinavyopendeza? Sasa nashangaaa sana hili la kwenda shamba na khanga kwanza utaanzaje???
 
dada hayo usemayo yafanye kwa uangalifu mkubwa vinginevyo yatakurudia mwenyewe, be careful please utavunja ndoa mda si mwingi otherwise mwunjeshe
 
Si umeona nimechekaaa na kukaa kimya toka jana nimezungumza nguo niliyovaa ilikuwa jinsi na tisheti mpaka mtu mmoja akasema si unajua zinavyopendeza? Sasa nashangaaa sana hili la kwenda shamba na khanga kwanza utaanzaje???

Desi,

Kwani bado hujamtoa nduki huyo dogo aliyemkosea heshima bosi wake? May be twambie kama unajaribu kupata opinion ya pili kutoka kwenye ubongo uliotulia na uvunguni mwa your heart!!
 
Desi,

Kwani bado hujamtoa nduki huyo dogo aliyemkosea heshima bosi wake? May be twambie kama unajaribu kupata opinion ya pili kutoka kwenye ubongo uliotulia na uvunguni mwa your heart!!

Lakini mkuu sidhani kama dogo kakosea kurusha kete yawezekana mama hausi yupo karibu sana na huyo dogo
 
Lakini mkuu sidhani kama dogo kakosea kurusha kete yawezekana mama hausi yupo karibu sana na huyo dogo

Weeeeeee,

Hebu acha utani...Kwa wenye umri kama wangu wanajua kuwa mtu huwezi kumtongoza boss wako. Unakuwa naye karibu na kuombea siku moja aseme mwenyewe. Unakuwa kama fisi anayesubiri mkono udondoke.

Ukimwaga sera akakutolea nje utabaki na kibarua? Ndo maana tunamshangaa Desii kwa kutochukua hatua mara moja. Na wengine wamefikia kuhisi kuwa inawezekana mwangwi wa houseboy umeharibu kabisa akili ya boss wake. Ngoja tumsubiri atueleze anaendeleaje!
 

Kinachonishangaza, huyu hausiboi bado ana kibarua na tunaombwa ushauri amfanyeje!!!!! Sisi wa zamani tuwaachie vizazi vya chadema vijadili huu mswada
 
Lakini mkuu sidhani kama dogo kakosea kurusha kete yawezekana mama hausi yupo karibu sana na huyo dogo

Nyie nao mna mambo sana mwacheni ajiamulie hapa
anatafuta ushauri tuuu unafikiri atafata yote ya humu mmmhhh
sidhani ngumu maana kuna maushauri mpaka unapata kizunguzungu!!
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…