,
Dada, pole kwa haya, huyu jamaa anakutamani hajui kumruhusu nikuhatarisha maisha yako, sasa chakufanya kama unaona ningumu kumfukuza utahatarisha maisha ya mifugo yako, mueleze mumeo kuwa ni vema kama mtamtafuta kijana aliye karibu ya familia yenu, pande zote ambaye atasaidiana na huyu jamaa, akishakuja kafahamu nin chakufanya kuhusu mifugo, basi mtoe baro mwambie mumeo cost ya wawili ni kubwa na kwakuwa huyu mgeni kafahamu kazi basi huyu anaetafuta kukufukuzisha njiwa wako, aondoke muage mpe hata kiasi chakuanzia maisha mwambie kila jambo lina mwisho pole kwa yote, ili akiondoka asikutafutie visa huko mtaani ukapoteza maisha au ukapata mtafaruku wa aina yoyote.