Houseboy

Houseboy

Status
Not open for further replies.
Ukicheka na nyani atakufata hadi chooni.
Pale pale wakati anakutongoza ungempa mapande yake.
Hatujui ulimjibu nini. Au ulikuwa unang'ata vidole halafu mguu unachimba chini na mkono mmoja unachezea majani!!


Ha ha ha ha enzi za mwalimu hizo duuhhh hivi bado inaaply??? Mie mama mtu mzima mitoto minne bado nang'ata vidole???
 
Desidii pole na hongera kwa lililokufika;

Mie niko namtazamo tofauti kidogo. Hawa vijana wa kazi wanajua siri kibao za waajari wao.
Isije kuwa baba watoto wako anacheza mechi za mchangani na huyo HB anafahamu hilo.
Sasa pengine anakuhurumia kwamba mbona Mr. anakutenda, kwa msingi huo anaamini mumeo hakupi dozi ya kutosha ndio maana anasema "naweza kukupa raha mno".
Usikimbilie kufukuza tu jaribu kumdadisi pengine ni zaidi ya hilo. Usimwonee HB kutoka kule kwetu kwenye matoke karibu na gulioni Katerero.

Boss wako akikutongoza unaacha kazi???
Furahi kwamba una watoto wanne na bado unavutia wengine hata hawasalimiwi barabarani.

Alamsiki
 
kweli naamini hukioni maana naona senks zako zinaonyesha "0".
hebu nenda upande wa avatar yako angalia moja kwa moja
chini ya "rep power" utaona pameandikwa "thanks"
bonyeza hapo lol

Bwana wewe mbona mie sikioni hebu nielekeze basi bwana
 
kweli naamini hukioni maana naona senks zako zinaonyesha "0".
hebu nenda upande wa avatar yako angalia moja kwa moja
chini ya "rep power" utaona pameandikwa "thanks"
bonyeza hapo lol

unajua huyu yuko hapa muda mrefu sana zaidi yako..
tangu 2007.
 
Desidii pole na hongera kwa lililokufika;

Mie niko namtazamo tofauti kidogo. Hawa vijana wa kazi wanajua siri kibao za waajari wao.
Isije kuwa baba watoto wako anacheza mechi za mchangani na huyo HB anafahamu hilo.
Sasa pengine anakuhurumia kwamba mbona Mr. anakutenda, kwa msingi huo anaamini mumeo hakupi dozi ya kutosha ndio maana anasema "naweza kukupa raha mno".
Usikimbilie kufukuza tu jaribu kumdadisi pengine ni zaidi ya hilo. Usimwonee HB kutoka kule kwetu kwenye matoke karibu na gulioni Katerero.

Boss wako akikutongoza unaacha kazi???
Furahi kwamba una watoto wanne na bado unavutia wengine hata hawasalimiwi barabarani.

Alamsiki

Yawezekana hayo uliyosema yakawa na ukweli ndani yake!!! Asubuhi njema
 
kweli naamini hukioni maana naona senks zako zinaonyesha "0".
hebu nenda upande wa avatar yako angalia moja kwa moja
chini ya "rep power" utaona pameandikwa "thanks"
bonyeza hapo lol

Asante kwa darasa lakini nitainza pale nilipopanga na siku ikifika usijali
 
Ha ha ha ha enzi za mwalimu hizo duuhhh hivi bado inaaply??? Mie mama mtu mzima mitoto minne bado nang'ata vidole???

Umeona mengi.
Hilo ni jambo rahisi kwako....usiogope kutoa maamuzi kwa HB wako!
 
Huyo houseboy amekukosea heshima na amekudharau na kukudhalilisha wewe na mumeo.
Anajua kuwa wewe ni bosi wake, pia anajua kuwa wewe umeolewa na unaishi na mumeo.
Hii ni kwmba huyo houseboy amemuona mumeo kama ameshindwa kukuridhisha wewe kimapenzi ndio maana akajitolea kukupa raha.
Pia huenda amekuona wewe una uroho sana wa ngono kiasi kwamba huchagui mwanaume, yeyote ajaye mbele yako wewe unabeba.
 
Huyo houseboy amekukosea heshima na amekudharau na kukudhalilisha wewe na mumeo.
Anajua kuwa wewe ni bosi wake, pia anajua kuwa wewe umeolewa na unaishi na mumeo.
Hii ni kwmba huyo houseboy amemuona mumeo kama ameshindwa kukuridhisha wewe kimapenzi ndio maana akajitolea kukupa raha.
Pia huenda amekuona wewe una uroho sana wa ngono kiasi kwamba huchagui mwanaume, yeyote ajaye mbele yako wewe unabeba.


Ha ha ha ushauri huu umenifurahisha sana uhuru wa kuongea
 
huna haja ya kumfukuza kazi, mwanamke kutongozwa ni jambo la kawaida, haouseboy anayo haki ya kutongoza na wewe si mama yake. jukum lako mwambie siwezi kusaliti ndoa yangu, kwa kifupi mkatalie mwambie no, halafu mwache afanye kazi yake. umfukuze kama atashindawa kufanya kazi yake. lakini kaa naye mpe tahadhari asiwaongoze watoto wako na binti wa kazi hapo umfukuze. lakini wewe mtu mzima mnyime na mpuuze na usimwmbie mume wako atakumaindi.

fidodido
 
huna haja ya kumfukuza kazi, mwanamke kutongozwa ni jambo la kawaida, haouseboy anayo haki ya kutongoza na wewe si mama yake. jukum lako mwambie siwezi kusaliti ndoa yangu, kwa kifupi mkatalie mwambie no, halafu mwache afanye kazi yake. umfukuze kama atashindawa kufanya kazi yake. lakini kaa naye mpe tahadhari asiwaongoze watoto wako na binti wa kazi hapo umfukuze. lakini wewe mtu mzima mnyime na mpuuze na usimwmbie mume wako atakumaindi.

fidodido

Usahuri poa sana Fidodido. Thanks
 
Wewe ni Boss wake ndiyo!
Wewe ni mke wa Boss wake ndiyo!
Wewe ni mwanamke kama mke wake nikipato mumezidiana tu ndiyo!
Wewe ni Binadamu kama wengine ndiyo!
Wewe nini unadhani amekukose??
Wewe umeona House Boy hawezi kuwa na Hisia kama Binadamu wengine??
Mimi ninaona Kunakitu lazima kilichosababisha swala la u Houseboy ondoa katika nyanja ya matamanio au kupenda!
Wewe la msingi nikumwambia usirudie kunitamkia hivi nikitu ambacho siwezi hivyo iwe mara yako yakwanza na ya mwisho!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom