Houseboy

Status
Not open for further replies.
Kinachonishangaza, huyu hausiboi bado ana kibarua na tunaombwa ushauri amfanyeje!!!!! Sisi wa zamani tuwaachie vizazi vya chadema vijadili huu mswada

Yaani wewe unataka mwenzio akose kazi mapema????
 
Kinachonishangaza, huyu hausiboi bado ana kibarua na tunaombwa ushauri amfanyeje!!!!! Sisi wa zamani tuwaachie vizazi vya chadema vijadili huu mswada

Hapo sasa mzee mwenzangu,

Zamani 2+2 - 3 ilikuwa ni 1 lakini sasa hivi hiyo hesabu unaweza kumbia ni unaweza kuambia kuwa ni jibu ni 12 kwa sababu operations zote zimebadilika na kuwa multiplication...Kwa hiyo labda Desii anafanya hizo hesabu za algebra kwa formula za dot.com!

Ngoja nikatafute lunch kwanza,
 
Sasa nimeelewa kitu kimoja. Mwanamme akikuanzia issue ya mke mwisho anakugeuzia kibao.

Yaliwahi kunifika kama hayo unayoeleza ila huyo jamaa alikuwa msomi na kazi yake nzuri.
Kwa hiyo ndio maana alikuweza.....!
 
Wewe kama unajisikia mpe tu. Unaweza kukachanganyikiwa ukamsahau hata husband kama ma-husband wanovykolea kwa ma-house girl!!! Ila husband akijua - patachimbika.
 
Nyie nao mna mambo sana mwacheni ajiamulie hapa
anatafuta ushauri tuuu unafikiri atafata yote ya humu mmmhhh
sidhani ngumu maana kuna maushauri mpaka unapata kizunguzungu!!


Dena hivi katika hali ya kawaida house boy wako anaanzaje kukutongoza? haiiniingii akilini hata siku moja, unaokutana nao ofisini tu wanajifikiria mara mbili nianze au nisianze nikikataliwa je? Haya house boy anaanzaje amekuonaje? anakuchukuliaje? yaani yaani hainiingii akilini hata kidogo hii ni dharau iliyonyooka kabisa ( hapa lazima kuna mazingira yameenda ndivyo sivyo)
 

Maty thread nyingine uwe unasoma katikati ya misitari wewe unaona kuna ukweli hapo???

Katuzuga na sisi tunamzuga vile vile ngoma droo au sio.

Heri ya Mwaka Mpya lakini?? Upooo??
 
Maty thread nyingine uwe unasoma katikati ya misitari wewe unaona kuna ukweli hapo???

Katuzuga na sisi tunamzuga vile vile ngoma droo au sio.

Heri ya Mwaka Mpya lakini?? Upooo??

aloo kweli hapa, mwaka nashukuru nimevuka salama mpenzi usharudi usalule?
 
Mara nyingi (sio zote) ukimkuta house boy anapata uthubutu na ujasiri wa kumtaka kimapenzi mama mwenye nyumba chanzo chake daima huwa ni tabia ya mama mwenye nyumba. Kama mama hajiheshimu, ana kaa kiasarahasara kwa makusudi mbele ya house boy, au ana tabia ya kufanya utani uliopitiliza anapokuwa peeke ya na house boy, lazima house boy kama binadamu mzima na mwenye hisia atamtaka tu kimapenzi. Wewe mama nakushauri jiheshimu unapokuwa na house boy wako. Katika hali ya kawaida ni vigumu sana houseboy kuanza kumtongoza boss wake.
 
Nyie nao mna mambo sana mwacheni ajiamulie hapa
anatafuta ushauri tuuu unafikiri atafata yote ya humu mmmhhh
sidhani ngumu maana kuna maushauri mpaka unapata kizunguzungu!!

Jibu analotakiwa kumpa huyo hausi boi ni moja ndio au hapana au amwambie tu nipe mda nijifikirie kama jibu la papo kwa papo halipo. Naamini kijana hajavunja katiba ya nchi yupo huru kuonyesha hisia zake
 
[/COLOR]
Ana mke lakini yko kijijini kule kwetuuuuuuuuuu kwa senene kibao
Oorait,oorait kumbe kijana ni wa kule Katerero ? ndio maana hujamkatalia wala kumfukuza kazi mpaka sasa,NIMEKUSOMA!
 
Jibu analotakiwa kumpa huyo hausi boi ni moja ndio au hapana au amwambie tu nipe mda nijifikirie kama jibu la papo kwa papo halipo. Naamini kijana hajavunja katiba ya nchi yupo huru kuonyesha hisia zake

Fidel majibu ni mawili tu hayo kwenye bluu hiyo nyekundu mmmhhh nafasi hiyo haipo anafikiria kitu gani???
 
Desidii ameangukia hapo kwenye red. Desidii tuambie kwanini ulienda shamba na hausiboi ukiwa na khanga moja? Mmeo ulimwacha wapi?

Mkubwa niliingia kwenye mting na mkoloni nimetoka sasa ......Hajibu hili swali ni mkuki moyoni mama anampenda house boy mzee wake analikitambi ligwaride chaliiii kijana kutokana na mannual labour kusukuma mikokoteni n.k unakuta ana hadi 6 packs akijikunja kwa mama mwenye house hashuki labda after 3 hrs sasa hapo atamtamani tena mzee kitambi ???

Hahahahaha mwanangu umegonga Ikulu

Mama house kumbe ndo walivyo dah hapo bado vi offer offer kibao vya kwenda nae sokoni n.k

Na kumwambie tunza chenchi we badi kijana hata ya mafuta ya vaseline ya kujipaka
 

Huyu mwenye thread mbona anakimbia sana!! Hajibu maswali ya watu
 
Fidel majibu ni mawili tu hayo kwenye bluu hiyo nyekundu mmmhhh nafasi hiyo haipo anafikiria kitu gani???

Hapo afikirie ampe jibu gani, kama la ndio ajitayarishe kama la hapana amwandae kisaikolojia hausi boi anaweza jilipua
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…