How long to wait?...

hapo kwa Red nimekusoma.....hakuna shaka kabsaa hujui kwamba huku northen part wese tunalichimba wenyewe....hakuna kuagiza kutoka sijui dubai au wapi!!

ikiwezekana tutumie lita kadhaa tusogeze wikend
 
Hommie leave Pearl alone!

Pearl leave hommie alone.

Pearl dont leave hommie allone.

Thanks Mamushka! Hommie mgongee senksi mamushka kwa zis yuziful posti!


Nimeshado ze nidiful
 
Duh asante sana Fidel kwa habari hizo njema kabisa! Kumbe na mwenyewe tayari tunaye!

Yeah jamaa yupo huko vekesheni mda mrefu anakula mambo ya pwani tu mwenyeji mmempata.
 
hehehehe!kumbe ninacheza na timu TATU TOFAUTI kwenye uwanja mmoja??!...

nitawafunga tu

Ndio maana anaitwa Pearl yaani kwa kimatumbi ni Lulu........!!! πŸ™‚
 
usijali baba c unajua kuna chama kimezaliwa?HAWATUWEZIIIIIIIIII
hehehehe!kumbe ninacheza na timu TATU TOFAUTI kwenye uwanja mmoja??!...

nitawafunga tu
 
dah...kiongozi..hawa wana wa Israeli saa nyingine kuwaelewa ni ngumu ujue...

Yeah na kuwaelewesha kunahitaji moyo mgumu kama wa mwendawazimu vile...... πŸ™‚
 
Hehehehehe hii kitu kuna wabaya wetu ina wapain sana ngoja wajinyonge tu.

hata mkuu wa kaya ni mbaya wetu we Fide wewee ndo maana huendi Mkuranga wewe tena afadali tukajimwaye huko na B wangu, maana na wewe mmh!!!
 
ikiwezekana tutumie lita kadhaa tusogeze wikend
Nipo kwenye mchakato wa kuweka pipe from this end to that end.....itakua sio lita tena ni mijilita....
 
Ndio maana anaitwa Pearl yaani kwa kimatumbi ni Lulu........!!! πŸ™‚
Masaki unatumia kinywaji gani?

Nimeshado ze nidiful
Nimeona hommie ila hujafanya logistics bado

nimekusoma sana biggy!!!
Utakunywa fanta ngapi mamushka?

ikiwezekana tutumie lita kadhaa tusogeze wikend
Lita kadhaa za fanta? You cant be serious

Jamani hivi kwenda kutafuta mashamba ni dhambi? Au kwa kuwa tutalala gesti?
USALULE! πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€!!!!
 
hamna lolote waeshmaeli wakubwa nyie!!!!

Ama kweli mwalimu wa fasihi nimepata. Kila siku napata neno jipya kwenye ''vokabulari'' yangu ya Kiswahili Fasaha!

Ila itabidi niku PM mwalimu uniambie maana ya hilo neno hapo kwenye red!
 
hata mkuu wa kaya ni mbaya wetu we Fide wewee ndo maana huendi Mkuranga wewe tena afadali tukajimwaye huko na B wangu, maana na wewe mmh!!!

Mkuu wa kaya hanaga noma kuna mtu alirusha sredi hapa ya kumwomba senks ndo maana nawaambieni kuna watu wanaumia sana hasa hasa harters
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…