How long to wait?...

How long to wait?...

ndio tumeuliza je mnaenda kuiadhimisha hio ibada huko??.......hujajibu wauliza tena B
bht mamaa soma alama za nyakati.Makanisa siku hizi yanaota tu.linaweza kuwa ni kanisa jipya lina marekebisho yafuatayo;
Mapadri/masista ruksa kuoa /kuolewa.
misa,njia ya msalaba ruksa kufanyikia gesti(labda ili wadumisha mila waongoke)
 
tobaaaaaa,DNT TRY ZIZ AT JF
😀😀😀meli inaelea shilingi inazama

ubaya lile soko limeungua, wapi nitapata supu ya pweza na leo ijumaa tunaenda zetu gest huko mkuranga...damn....😀
 
juisi ya pilipili tafadhali pamoja na divai(ile ya kanisani sio dhambi,imeombewa alkoholi haina ina damu ya Yesu)

hizi ni paprika ama ni zipi jamani! duh wataka uwa na macho mekundu shemeji?😀
 
😀😀😀meli inaelea shilingi inazama

ubaya lile soko limeungua, wapi nitapata supu ya pweza na leo ijumaa tunaenda zetu gest huko mkuranga...damn....😀
ha ha ha hapo kwenye nyekundu ndo pa kujali zaidi!
 
bht mamaa soma alama za nyakati.Makanisa siku hizi yanaota tu.linaweza kuwa ni kanisa jipya lina marekebisho yafuatayo;
Mapadri/masista ruksa kuoa /kuolewa.
misa,njia ya msalaba ruksa kufanyikia gesti(labda ili wadumisha mila waongoke)

B anaelekea pabaya!!! alafu hyu Masaki naona sio kampani nzuri huyu, mara chagulaga mara leo anataka mwnde mkuranga.......kama vile unavoscreen nyendo zangu vivyo hivo ntafanya kwako B!!!!!
 
Afu apo usifananishe wingu na moshi😀😀

heheeeeee jamani mie leo aaaaah!!!
naenda 'kujiandaa'

wakina Fide na Masaki walisema zem men dont like that xcuse, kuavoid inconviniences naenda kufanya preparation nw nw!!
 
aaaaaaah ati nyie ndo wateja wake maarufu nini?? kwa nini leo mnaulizana nyumba za wageni na nyie wenyeji mjini hapa???

We acha binamu huu mji una vituko sana. Unakuta kwenye daftari la nyumba ya wageni kuna maelezo yafuatayo;

Jina: Kaizer J.F.
Mahali utokako: Dar es Salaam.
Mahali uendako: Dar es Salaam
Tarehe ya kuingia: 05 Machi 2010
Tarehe ya kutoka: 05 Machi 2010.
Double or Single: Double
Payment Terms: Cash.
 
my dia ni kweli kabisa yani ni pazuri kinoma nilienda kule nilivyotoka kwenye yale mashamba(hope u rememba)ni pazuri full kipupwe greeeeeeen,sema wabongo tunapenda maji(beach na swimmng pil)pale hakuna but its alovely place to spend

Habari njema hiyo kwa sisi wajasiliamari tunaotaka kuwekeza kwenye Kilimo Kwanza huko Mkuranga, maana tuna mahali pa kulala! 🙂
 
Hivi, mkulu, huyu "afande manyota" ana gest ngapi hapa jijini tu tukianzia? duh!

Dah! Hapa mjini napo anazo nyingi tu mkuu!!! 🙂 Chrispin anaweza kukutajia zote, maan ni mzoefu wa gesti!!! 🙂
 
We acha binamu huu mji una vituko sana. Unakuta kwenye daftari la nyumba ya wageni kuna maelezo yafuatayo;

Jina: Kaizer J.F.
Mahali utokako: Dar es Salaam.
Mahali uendako: Dar es Salaam
Tarehe ya kuingia: 05 Machi 2010
Tarehe ya kutoka: 05 Machi 2010.
Double or Single: Double
Payment Terms: Cash.


Mkulu umesahau na signature kabisa. Kisha hapo unakuta mtu ameshasign out hata saa nne usiku bado!
 
We acha binamu huu mji una vituko sana. Unakuta kwenye daftari la nyumba ya wageni kuna maelezo yafuatayo;

Jina: Kaizer J.F.
Mahali utokako: Dar es Salaam.
Mahali uendako: Dar es Salaam
Tarehe ya kuingia: 05 Machi 2010
Tarehe ya kutoka: 05 Machi 2010.
Double or Single: Double
Payment Terms: Cash.

hahaaaa jamani Masaki spare my ribs mie LOL!!!
UNAINGIA NA KUTOKA AFU UNATOKA DSM UNAENDA DSM KHAAAA!!!!
 
Back
Top Bottom