How rich is Kenya?

How rich is Kenya?

Kinachonifurahisha ni kuwa wakenya wenyewe wanajua kuwa Kenya ni Mali ya wazungu n'a kenyatta family wao waliobaki ni watumwa [emoji1787][emoji1787][emoji1787]we nchi aliingia mzungu akapewa passport ndani ya siku ja badge ya commissioner wa polisi.. Nikajua Kenya ni pango la wezi
 
Kwaiyo umeona na ww ushikilie bango ...kitu kama hicho [emoji1787][emoji1787][emoji1787]very limited
Bango gani na Mbongo mwenzako Geza Ulole hajui maana ya Sub-Saharan Africa. MK254 alikuwa tu anamfahamisha Geza maana ya neno Sub-Saharan Africa.
 
Bango gani na Mbongo mwenzako Geza Ulole hajui maana ya Sub-Saharan Africa. MK254 alikuwa tu anamfahamisha Geza maana ya neno Sub-Saharan Africa.
Yani tu kidgo mnakifanya big deal , acheni kutafuta vichaka [emoji116]...icho ulicho leta kina mana gani kwa watu hawa au hawa sio wakunya[emoji848][emoji848][emoji848]
20201119_213805.jpg
JamiiForums2048965383.jpg
 
I know Afrika, is always being deceived by the face value. I mean the figures.
These figures are not fake, they are real. Kenya has been reducing the percentage of poor people in its population. At Independence almost 100% of Kenyans were poor. Now less than 30% fall below poverty line.
 
Yani tu kidgo mnakifanya big deal , acheni kutafuta vichaka [emoji116]...icho ulicho leta kina mana gani kwa watu hawa au hawa sio wakunya[emoji848][emoji848][emoji848]View attachment 1631430View attachment 1631431
Sasa hawa watu wachache wanaoumia kwa kukosa chakula ulioweka picha yao ndio inamaanisha kuwa Kenya ni masikini kushinda Tanzania? Wacha ujinga. Tanzania ina more poor people than Kenya both in percentage terms and absolute figures. Usinifanye nikuletee evidence kuwa nyie mna poverty rate ya juu kutushinda.
 
Fun fact:
Kenya's GDP = GDPs of Tanzania + Uganda + Burundi
Hapo umeboogie, utajiri wa nchi sio GDP bali ni valuation ya rasilimali zake zote. Hebu tueleze Kenya ina rasilimali gani ambazo when the worst come to worst Serikali ya Uhuru itaweka kama bond?
 
Hapo umeboogie, utajiri wa nchi sio GDP bali ni valuation ya rasilimali zake zote. Hebu tueleze Kenya ina rasilimali gani ambazo when the worst come to worst Serikali ya Uhuru itaweka kama bond?
Switzerland, Germany, Belgium, UK hazina rasilimali yoyote kama dhahabu, diamond e.t.c. Kwa hivyo kulingana na wewe hizo nchi ni masikini kwa sababu hazina rasilimali?
 
Switzerland, Germany, Belgium, UK hazina rasilimali yoyote pooroahabu, diamond e.t.c. Kwa hivyo kulingana na wewe hizo nchi ni masikini kwa sababu hazina rasilimali?
Pia kuna report inasema rasilmali yote ya DRC iko na value kubwa zaidi ya combined GDP ya Europe na USA! but DRC is amongst the poorest nation on earth. Same na Tz tu, nchi kubwa yenye rotuba kote kote na madini lakini masikini la ajabu! Maybe generation ya nne after this weak and poor one ndio itakomboa Tz., hii ya sasa imezubaa sana.
 
Yani tu kidgo mnakifanya big deal , acheni kutafuta vichaka [emoji116]...icho ulicho leta kina mana gani kwa watu hawa au hawa sio wakunya[emoji848][emoji848][emoji848]View attachment 1631430View attachment 1631431
Weka taarifa ya 2020 mumekomea na history sana😂😂😂😂
Hii hapa ya 2020 kuhusu Tanzania, mume ipiku Ethiopia ambao waliongoza East Africa region kwa muda mrefu naona wanapata nafuu.😂😂😉😂😂
2618860_PhotoGrid_1605162481588.jpg
 
Wewe ni mujinga sana. Wewe tingisha kichwa uone kama ubongo bado iko. Ninakuambia kuwa UK haina rasilimali ya dhahabu halafu wewe unaenda kunigooglia gold reserves? Hivi wewe hujui kuwa hizo gold zimetoka Africa au Peru au nchi nyingine? Wazungu wamenunua dhahabu from the market na kuifungia kwenye kabati. Hio ndio inaitwa gold reserve. Unaenda sokoni na kununua dhahabu na kuifungia kwenye central bank vault. Hio ndio inaitwa gold reserve. Bantugbro alikuwa anazungumzia kuhusu dhahabu iliyo ardhini. Nikamueleza kuwa hata UK na Europa hawana hio dhahabu iliyo ardhini halafu ukakimbia kuniletea gold reserves. Wacha ujinga.
 
Back
Top Bottom