How to prevent "Infidelity"


Hahahah mwe... Nyie watu jamani! Msitake kutupotezea mwanachama wetu!
 
Ndio kusema unaiheshimu sana infidelity? is it you Finest!no no no no! my miwani where are you!

....lakn hata Yesu alisema "......baba wasamehe hawa hawajui walitendalo........"

Kweli kabisa...
Wanahitaji maombi zaidi!!
 

Heheheh I know wats runnin in ur mind...
If am neither a dude nor a she...then I must be gay! Right...?
Hahahah... Am LMAO!!!
 
thanks u Smiles, u r so intelligent, pamoja upinzani we CAN..no longer Infidelity au siyo?!

Pamoja...pamoja! We rock...!!!
Afu we uliendaga wapi..? PM kibao nimekutumia no response...
Inabidi tupange mikakati thabiti ya hiki chama chetu!!
 
Pamoja...pamoja! We rock...!!!
Afu we uliendaga wapi..? PM kibao nimekutumia no response...
Inabidi tupange mikakati thabiti ya hiki chama chetu!!

Ameshasajiliwa ISC...PM zako zote tunazihakiki kwanza viongozi waandamizi ndo tunampa access ya kuziangalia.....endapo tu....😛layball:
 
Shssss taratibu soma hii sheria hapa chini

2-INFIDELATORS/INFIDELETEES wanatakiwa kufanya wanaloliweza kuhakikisha hakuna leakage ya taarifa yoyote ya INFIDELITY juu yako kwenye familia zao(hasa hasa wake/waume zao waliowaacha nyumbani)

Tatizo lako ni kwamba unajua kabisa u don't belong chama tawala lakini bado tu unang'ang'ania...
Au unamuogopa Kaizer...?
 
Ameshasajiliwa ISC...PM zako zote tunazihakiki kwanza viongozi waandamizi ndo tunampa access ya kuziangalia.....endapo tu....😛layball:

Oh I get the picture...
Cha kushangaza ni kwamba ametoka kunijibu sasa hv...
Na kikao kinaendelea...taarifa unazo??
 
Smiles njoo tuombe pamoja yaani maombi shirikisho

Ok sawa...
Hakikisha unaomba ruhusa kwa viongozi wako wote!!
Na kamati yetu nzima itakuwepo...ikiongozwa na MasterMind!
U can handle it...right??!!!
 
Ok sawa...
Hakikisha unaomba ruhusa kwa viongozi wako wote!!
Na kamati yetu nzima itakuwepo...ikiongozwa na MasterMind!
U can handle it...right??!!!

Kwanini uje na kamati nzima i thought we will be the two of us only, unajua maombi mkiwa wawili tu yanakuwa mazuri vimiminika vitakuwepo pia
 
Kwanini uje na kamati nzima i thought we will be the two of us only, unajua maombi mkiwa wawili tu yanakuwa mazuri vimiminika vitakuwepo pia

Oh kwenye chama chetu we do everythn together...
Kama nyinyi mnavyoshare... :becky::becky:
 
Oh kwenye chama chetu we do everythn together...
Kama nyinyi mnavyoshare... :becky::becky:

Wanachama wafuatao wa ISC utawakuta ukija kwenye maombi ili msije mkanidhuru TEAMO, ASPRIN, POPE KAIZER, FIDEL80, ACID, ASKOFU, BEAUTY, SMILES na wengineo wengi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…