Hoyce Temu kaanza mwaka vibaya

Hoyce Temu kaanza mwaka vibaya

Impersonation
Conflict of interest
disclosure of secrecy to the third party
Huyu angepewa warning tu. Labda kama walikuwa wanamtafutia sababu!

Mfano impersonation: Mimi niliwahi kusaini mara kibao nje ya nchi sehemu ambayo inatakiwa mtu mwingine asaini.

Mfano mtu ameleta mizigo ofisi na anatakiwa Procurement manager ndio asaini lakini hayupo karibu, mimi nikasaini. Ili linaweza kuwa linafanyika mara kibao ofisi lakini kama mtu anachuki na wewe anaweza kulikuza na kukuletea matatizo.

Kuna sehemu nilisoma juju kwamba alilalamika Richa kushinda Miss Tanzania. Hii inaweza kukupata picha Hoyce ni mtu wanamna gani. Labda alileta Uzawa uko UN. Watu wakamtafutia sababu!
 
Kuna yule aliyekufa juzi kati sijui mushi kwa ajali Kuna huyu wote Wana kesi za ovyo ...Hwa watu ni vip kwani?
Wachaga huwa Ni wezi na walivyowahi kupata madaraka walipeleka miradi Kama ya umeme nk kwao baadaye wakaanza kujisifu kuwa Ni wajanja. Ujanja gani wa wizi.

Tumia brain muscles or hand muscles kihalali. Sio brain muscles kwa kuiba so na wewe huna ujanja mwingine zaidi ya wizi jamani kweli ndio utakaorithisha wanao
 
Mchagga na wizi ni kitu kimoja
Watasema Ni wivu kwa kushindwa kujibu hoja. Kusoma wamesoma hela wanazo Ila pia Ni wezi na waabaguzi mno ,huwa nasema kuwa hawezi nunua dukani kwako Kama pembeni yako yupo mchaga mwenzako. Hizo hela anakuwa anazipeleka kwa kyasaka yaani wa kichakani msituni Kama mnyama so Bora azipeleke nyumbani
 
Hoyce ajengewe sanamu lake special,wazungu roho zinawauma wakiibiwa mbona wenyewe wanatuibia huku kwetu kila uchao wakwende huko...wachaga oyeee

UNDP sio ya wazungu. Ni ya Dunia nzima Tanzania ikiwemo. So Kama ameiba Basi amaibia Tanzania.
 
Wachaga huwa Ni wezi na walivyowahi kupata madaraka walipeleka miradi Kama ya umeme nk kwao baadaye wakaanza kujisifu kuwa Ni wajanja. Ujanja gani wa wizi. Tumia brain muscles or hand muscles kihalali. Sio brain muscles kwa kuiba so na wewe huna ujanja mwingine zaidi ya wizi jamani kweli ndio utakaorithisha wanao
Hao jamaa ni hatari sana
 
Kuna wengi hapa ukiwauliza Hoyce Temu amefanya makosa gani, hawajui. Lakini wanamshushia rungu!
Wengine hapa lawama zao zinasomeka kana kwamba aliiba pesa.

Mfano kosa LA kuvujisha siri za shirika. Ni nani hajawai kufanya ili kosa? Hata huyo aliyempa dada wa Taifa siri za Hoyce amefanya kosa hilo hilo!

Mbona hiyo sio Siri, hiyo ni hukumu ya UN Appeals Tribunal, ambaye yeyote anaweza kuipata. Hukumu ipo, huo ni ushahidi tosha kuwa alifukuzwa kihalali.

1. Kutumia cheo Cha UNDP kufanya biashara ya kampuni yake.

2. Kutoa Siri za Shirika kwa ajili ya biashara kwenye kampuni yake.
3. Kudanganya kuhusu mapumziko ya uzazi.
 
Huko mitandaoni kuna Pepa la Hoyce Temu kutoka UN, Watasha wameropoka mbaya, Nimeliona kwa Mange kimambi na kwa @tzshadeeroom...
Hao ndiyo CCM inawatafuta kwa tochi iwatumie kwenye misheni zake
 
Mimi simu yangu aioneshi picha ila najibu kulingana na komenti za watu mimi hapo nashauri uyo mtoto aliye fanyiwa icho kitendo akimbizwe hospitali na huyo mtuhumiwa akamatwe afungwe kifungo cha maisha mana ataendelea kuharibu watoto wengine kama watamuacha huru
haya mambo peleka facebook
 
Soma
Huyu angepewa warning tu. Labda kama walikuwa wanamtafutia sababu!
Mfano impersonation: Mimi niliwahi kusaini mara kibao nje ya nchi sehemu ambayo inatakiwa mtu mwingine asaini. Mfano mtu ameleta mizigo ofisi na anatakiwa Procurement manager ndio asaini lakini hayupo karibu, mimi nikasaini. Ili linaweza kuwa linafanyika mara kibao ofisi lakini kama mtu anachuki na wewe anaweza kulikuza na kukuletea matatizo.


Kuna sehemu nilisoma juju kwamba alilalamika Richa kushinda Miss Tanzania. Hii inaweza kukupata picha Hoyce ni mtu wanamna gani. Labda alileta Uzawa uko UN. Watu wakamtafutia sababu!

Soma kesi inajieleza vizuri. Na ilitoka UN Dispute Tribuanl mpaka ikaishia kwenye UN Appeals Tribunal
 
Mbona hiyo sio Siri, hiyo ni hukumu ya UN Appeals Tribunal, ambaye yeyote anaweza kuipata. Hukumu ipo, huo ni ushahidi tosha kuwa alifukuzwa kihalali.

1. Kutumia cheo Cha UNDP kufanya biashara ya kampuni yake.

2. Kutoa Siri za Shirika kwa ajili ya biashara kwenye kampuni yake.
3. Kudanganya kuhusu mapumziko ya uzazi.
Alidanganya vipi maternity leave?
 
Wachaga huwa Ni wezi na walivyowahi kupata madaraka walipeleka miradi Kama ya umeme nk kwao baadaye wakaanza kujisifu kuwa Ni wajanja. Ujanja gani wa wizi. Tumia brain muscles or hand muscles kihalali. Sio brain muscles kwa kuiba so na wewe huna ujanja mwingine zaidi ya wizi jamani kweli ndio utakaorithisha wanao
Ni mchaga yupi aliyepeleka umeme kwao
 
Mimi simu yangu aioneshi picha ila najibu kulingana na komenti za watu mimi hapo nashauri uyo mtoto aliye fanyiwa icho kitendo akimbizwe hospitali na huyo mtuhumiwa akamatwe afungwe kifungo cha maisha mana ataendelea kuharibu watoto wengine kama watamuacha huru
Dah! Jf
 
Huwezi ukampa mtu ubalozi aliekua Miss, hakuna Miss mwenye Akili, ila kwasababu Watanzania hatupendagi ukweli na tunataka Wajinga ndio hayo.

Yaani Kenya wapeleke former Miss kwenye UN kweli?? Ambapo ndio kitovu cha Dunia

Anakutana na watu waliosoma Harvad, MIT, Cambridge etc wewe unaenda kuongea nao nn
Wateule wa sa100 hao
 
Back
Top Bottom