Hoyce Temu na Wabaguzi Mamboleo!

hii lugha ambayo inavunjwa vunjwa Bungeni? Haionekani tutawabagua "waswahili" wenzetu ambao lugha ya Kiswahili kwao bado ni ya kigeni...?

Na ndio huu ubakaji wa lugha yetu ambao tunaupiga vita sana. Kiswahili kina msamiati wa kutosha, hakuna haja kwa wabunge kuchanganya lugha wakiwa vikaoni.

Tuendelee na mada ya ubaguzi!
 
Kama Wahindi Wangekuwa Ni Wahamiaji Wenye Nia Nzuri Na Nchi Yetu Basi Tungekuwa Mbali Sana!ila Muhindi Na Corruption Ni Kama Korosho Na Bibo!kabla Sijachangia Zaidi Niseme Mambo Kadhaa Hapa..
1.assimilation;wajenge Na Waendeleze Nchi Badala Ya Kujirundika Kwenye Nymba Za Kupanga Mijini!wana Uwezo Wa Kufanya Hivyo..hii Itasaidia Kuinua Uchumi,kuendeleza Nchi Pamoja Na Kutoa Ajira!
Still Kwenye Kuassimilate Tuweze Kuwaona Kwenye Patriotic Activities Kama Vile Mgambo,polisi,jeshi Etc
2.wasirudi Ulaya Wakati Wamezeeka Na Kuretire!waache Kuwatumikisha Wazawa Vibaya Na Kuwadharau!wawalipe Kwa Haki Nk
Kwa Kumalizia Ni Hivi;wahindi Waliachwa Kwenye Nafasi Walizonazo Na Wakoloni..wao Walikuwa Ni Maofisa Wa Kati Na Wenye Kudili Na Mambo Ya Accounting..hivyo Basi Uchumi Wa Watanzania Mara Baada Ya Ukoloni Kuisha "technically"uliachwa Mikononi Mwa Wahindi,hivyo Basi Kama Wangekuwa Na Nia Nzuri..then Tungekuwa Mbali!waliwaweka Viongozi Wetu Mifukoni In Leu Of Wazalendo!tudiscuss Hayo Hapo Juu Kwanza Then I Will Add More!these People Have To Change And Prove It To Us That Actually Have!
 
TRUE!WAMESHINDWA KU"ASSIMILATE"
 
kwahiyo sisi wenye asili ya kiyahudi tuliozaliwa tanzania si watanzania halisii!!! am proud to be tanzanian.wote wanaopinga richa kuwa miss tz ni wabaguzi hawana lolote, she was clearly a winner.
 

Haya masuala ya rangi ni tata sana, yaani yanachanganya vichwa mno! Nimekereka sana na tangazo la hao Wahindi hapo juu. Tungetukuza utaifa na kusahau rangi zetu.

kwahiyo sisi wenye asili ya kiyahudi tuliozaliwa tanzania si watanzania halisii!!! am proud to be tanzanian.wote wanaopinga richa kuwa miss tz ni wabaguzi hawana lolote, she was clearly a winner.

Moshe,
We jivunie tu kuwa Mtanzania bila shida yoyote, ni Mtanzania halisi na unastahili haki zote za kuitwa Mtanzania. Unastahili kuheshimiwa, kuthaminiwa utu wako, kumiliki mali, kupiga na kupigiwa kura na haki nyingine ambazo raia wa nchi anastahili! Tupilia mbali rangi yako na muonekano wako, tukuza Utanzania wako. Nimesikia na kusoma toka katika magazeti ya Udaku kwamba hata Richard aliyeshinda big brother eti si Mtanzania, kisa? Mababu zake ni wahamiaji toka kusini mwa Afrika! Nikashangaa sana. Mie mwenyewe nimekulia mahali ambako nilikuwa nikicheza na waarabu na Wazungu ambao wamezaliwa Tanzania na wanajisikia fahari kujiita Watanzania, ukiachilia mbali rangi zao! Rangi sio hoja sana.
Hapa nilipo ninaishi jirani na Wazungu wa Afrika Kusini (sipendi kuwaita makaburu), sijawasikia hata siku moja wakisema wao ni wazawa wa hapa na kujiona sawa na wazungu wa huku, wao wanajiita Waafrika! Inashangaza lakini ndio hali halisi.
Mfano mwingine, kuna Warabu ambao wanapatikana kule Usangu Mbeya, wale kiasili ni Wapakistani! Lakini wapo pale miaka na miaka wakijiita Watanzania na wengine hata Pakistani hawajawahi kufika na mwaka jana mmoja wao kachaguiwa kuwa Mwenyekiti wa sisiemu wa mkoa ule.
Kw hiyo ndugu Moshe jisikie fahari tu kuwa Mtanzania.
 

Mwanakijiji:

Nadhani Martin Luther King Jr. alisema tatizo la ubaguzi lilikaa muda mrefu ni kwa sababu waungwana ambao wanajua kuwa ubaguzi ni kitu kibaya walikaa kimya.

Tanzania sasa hivi ina uhuru wa kusafiri, kujieleza kwa kiasi chake na mambo mengine. Kuna watanzania wanaotembelea nchi za India, China, Marekani, Sweden na nchi nyingine mbalimbali dunia. Wapo wanaokutana na hostilities za ubaguzi katika nchi hizi na wanachotaka ni kutumia nchi yao Tanzania kama sehemu ya kulipiza kisasi.

Vilevile kutokana na kukua kwa vyombo vya habari kama internet. Uwezekano ni mkubwa sana wenye kupenda ubaguzi kupata nafasi ya kupeperusha habari zao kwa ufanisi japokuwa watu wenyewe ni wachache. Na kwa mazingira tuliyonayo sasa hatuwezi kuwazuia kama ilivyo kipindi cha miaka ya nyumba.

Hivyo framework ya nchi yetu kutokuwa ya kibaguzi iendelee lakini mbinu zibadilike kutokana na mazingira tuliyonayo.
 
Nyangumi, yaani wahindi wakioana na watu weusi ndio wanakuwa raia zaidi?

Mzee Mwanakijiji umeopoa kimwana wa kihindi? Kama ukitaka kuhakikisha kuwa hawa jamaa wanaubaguzi nenda India, urudi hapa na kimwana wa kihindi uone kama ndoa yako haitakufa. Itafanywa kila njia upokonywe huyo kimwana wako. Ukitaka kuhakikisha zaidi kajaribu kuopoa kimwana wa Kihindi uone utakavyotolewa nduki na kashfa tele.

Mzee Mwanakijiji ushishaona Muhindi mkazi wa Manzese, Buguruni, Tandika, Kwa mfuga m'mbwa, kwa kopa. Unafikiri wote wanaokaa city centre wana uwezo? Wengine hohe hahe.
 

MaMkwe:

Kwanini sikuzote tunapozungumza masuala ya mtu mweusi kubaguliwa tunatoa mifano ya mahusiano ya kindoa? Ohoo nimekataliwa kuoa Mhindi, mara nimekataliwa kuoa mzungu au Mchina.

Je tukikubaliwa kwa mikono miwili kuoa hao watu wa jamii zingine, tunaweza kutatua matatizo yetu au kuumaliza ubaguzi?

Sio kuwatetea wahindi bali umefika wakati wa sisi kuelewa utamaduni wa watu wengine na mitazamo yao kuhusu dunia. Ingawaje tunawaona wahindi ni watu wamoja ndani yao wamegawanyika kwa rangi, kwa dini na kwa majimbo na wanafanyiana ubaguzi mkubwa sana.
 
WATUHAKIKISHIE KWAMBA NI WAZALENDO WA KWELI..WASHIRIKI KIKAMILIFU KUIJENGA NCHI NA SI KUJENGA MATABAKA!KATI YA WAZALENDO NA MAFISADI..WALIONAZO NA WENGI (WAZALENDO)WASIONAZO!WASITULETEE MAMBO YA CASTE KAMA KULE INDIA..WAFANYE KILA WAWEZALO KUASSIMILATE WELL!
 

..Mkuu Mangi huwa nakubaliana sana na wewe vitu vingi lakini hapa utanisamehe maana sioni logic kabisa na uliyosema maana nimejiuliza swali moja tuu,Tanzania ni nchi huru? Yes na kila mtu ana haki ya kuishi popote na kufanya kazi yeyote ili mradi havunji sheria za nchi,lakini mkuu naona wewe unataka kuwalazimisha wahindi waishi unapotaka wewe na kuna ubaya gani kama waki retire kwenda kuishi wanapotaka? jiulize wewe mtu akikuzuia kwenda moshi kuishi ukistaafu utajisikiaje na kuhusu kudharau au kuwatumikisha vibaya wazawa nafikiri hilo tunaweza kulimaliza vizuri kwa kutumia sheria ambazo sisi wenyewe ndio watungaji na wasimamizi na kumbuka hata weusi wanawaonea sana housegirls/boys na kuwatumikisha vibaya sana,na kusema muhindi aliachiwa nchi na mkoloni mkuu hapo unapotosha ukweli maana hiyo nchi tuliachiwa wenyewe na wahindi walibaki na maduka yao tuu,tatizo ni mfumo corrupt tulionao ambao unashindwa kusimamia vitu kama hivi ndio maana tunaonekana watumwa kwenye nchi yetu
 
Wahindi Ni Mbwa Tu Na Wala Hakuna Haja Ya Kujadili Kuhusu Wao Ni Wabaguzi Wanafiki Wafitini Wakuu Duniani, Na Hii Inajulikana Na Popote Walipo Duniani Hawajawahi Kujenga Uchumi Wa Mahali Pale Ila Huwa Wanauaga Uchumi Na Ndiyo Maana Tangu Wameachiwa Nafasi Na Wakoloni Wa Kizungu Hawajafanya Lolote Africa Zaidi Ya Ubaguzi Na Kubanana Ktk Nyumba Za Msajili Kama Machokoraa Na Huwaga Nashangaa Sijui Wanazaana Saa Ngapi Maana Utakuta Nyumba Ya Vyumba Viwili Wanaishi Watu 8 Mchanganyiko, Shit
 

Kingunge Ngombale Mwiru, Sh. Abeid Amani Karume, Sh. Thabit Kombo, Mbunge wa Bagamoyo Marehemu Baruti Ramia, nadhani hao unawajuwa wewe, au huwajuwi?

Pssss. Naomba nionyeshe Mmasai aliyeowa Mgogo!
 

Wewe usitowe matusi hapa, towa hoja zako bila kutukana, hatupo hapa kutowa matusi.
 
MWANAKIJIJI SI UNAOUNA MWENYEWE?

Hilo tangazo halina ubaguzi wowote wa rangi, anaetakiwa ni "Mtanzania mwenye asili ya kiasia", ubaguzi wa rangi uko wapi hapo?

Ni kama kusema tunataka mfanya asizidi miaka 35, jee tutasema kuna ubaguzi wa miaka hapo? Ni ufanisi na sababu maalum za kuhitaji mfanya kazi mwenye sifa fulani.
 
Zomba haimaanishi kuwa natukana ila ni hasira zangu zinakuwa kubwa maana nina uchungu na nchi yangu,! HIVI WEWE UKIMKARIBISHA MGENI NYUMBANI KWAKO HALAFU UKAJUA ANAMTONGOZA MKEO UTAMFANYAJE? NASEMA HIVI KWA SABABU KASHFA ZOTE ZA PESA HAPO TANZANIA NI LAZIMA MHINDI YUPO NDANI NA VILE VILE WAO NDIWO WANAOWATONGOZA VIONGOZI WETU KUWAPA RUSHWA,KWANI HAO VIONGOZI NANI ALIWAFUNDISHWA KUPOKEA RUSHWA UNATAKA KUNIAMBIA KUNA MZARAMO MWENYE NGUVU YA KUHONGA HAPO?TENA USINILETEE KABISA;
 
Kuna Msemo Unaosema Mjinga Akivumbua Mjanja Yuko Matatani,sasa Zomba Nakuambia Hivi Kwa Tanzania Sasa Hivi Mhindi Hana Jipya Maana Wachagga, Wakinga, Wasukuma, Wanyiramba, Wamakonde, Wanyakyusa, Wapemba Sitaki Kutaja Sana Ila Kwa Sasa Hivi Wamebaki Wakerewe Wa Mwanza Tu Ndiyo Wahindi Wanawapelekesha Maana Wananunua Sangara Kilo Moja Kwa Sh 2300, Wakati Kilo Moja Tu Ya Bondo Inauzwa China Usd 16,usinitie Hasira Na Tena Ukome Kwa Jina La Yesu. Sasa Hata Nikisema Bondo Unajua Ni Kitu Gani,ndiyo Maana Nataka Kuachana Na Hizi Hoja Zenu Zisozo Na Kichwa Wala Miguu Maana Nyingi Hazisaidii Nchi,dog We
 
Hoja Yoyote Inayohusiana Na Mhindi Msiilete Tena Ktk Mijadala Yetu Maana Wananuka Sasa, Na Hakuna Mtanzania Anayetaka Tena Kusikia Habari Zao Wao Ndiwo Waliotufikisha Hapa Kwani Mnajifanya Mmesahau Wakati Wa Utawala Wa Mwinyi Walimpakia Mpaka Twiga Wetu Kwenye Ndege Kwa Dharau? Sasa Hivi Ninavyojua Mimi Wengi Biashara Zao Hazitoki Kwa Hiyo Wamebaki Tu Kuwa Wasanii Maana Watanzania Wameshaamka Wengi Mliobaki Ni Wewe Tu Na Wajinga Wenzako, Ile Enzi Ya Wao Kutuuzia Vitu Mara Kumi Ya Bei Imekpita Na Tena Nakupa Muda Mfupi Hivyo Viduka Vyao Vya Kitapeli Vilivyobakia Hapo Dar Mwaka Huu Hauishi Watatimua Wenyewe
 
Na Wewe Mwanakiji Nakuonya, Tena Kwa Sababu Mara Nyingine Hoja Zako Zinanigusa,lakini Kuanzia Leo Ukome Kama Ulivyokoma Ziwa La Mama Yako Kumpalilia Mhindi Yeyote Kuwa Mzalendo Halisi, Na Uwapende Wa Tz Wenzako Kama Ninavyowapenda Mimi Na Uwachukie Mafisadi Kama Ninavyowachukia Mimi,we Unaleta Hoja Ya Miss Tz Hujui Watu Wazima Walikasirika Lakini Wamekaa Kimya? Haya Sasa Nini Matokeo Ya Huyo Miss Wako Huko China?yaani Hata Wachina Unataka Kuwaona Kuwa Wajinga Yaani Hawajui Kutofautisha Uhindi Na Uafrica?sasa Kwa Taarifa Yako Mimi Ktk Yale Mashindano Nilikuwepo Na Niliona Live Kule Sanya Na Hakuna Aibu Aliyoipata Huyo Miss Wako Kama Aliyoipata Sanya Na Hatasahau Milele Maana Kuna Baadhi Ya Wachina Walisema Live Kuwa Usanii Fanyeni Huko Huko Lakini Ngoma Ikifika Kwao Wao Wananjoosha Mstari Tu
 
Mimi Siyo Muislam Wala Mkristo Lakini Ni Mpenzi Wa Kusoma Sana Vitabu Ila Nyie Mnajifanya Huwa Mnamjua Mungu, Kasomeni Biblia Ktk Kitabu Cha Methali Kuna Aya Moja Sikumbuki Ni Aya Ya Ngapi Lakini Inasema Hivi "rushwa Huondoa Maarifa" Mimi Wala Sijui Maana Yake Kwa Hiyo Ni Kazi Kwenu Nyie Mkawaulize Mashehe Wenu Na Mapadri Wenu Ili Wawafafanulie.halafu Kuna Kitu Nataka Kuwakumbusha "eti Yule Mwana Mama Baada Tu Ya Kupewa Ile Wizara Ya Fedha Akatunga Sheria "kufuru" Kwa Ajili Ya Kuwalinda Wahindi Wenzake,sheria Inasema Hivi, "kwa Mhindi Yeyote Mwenye Uwezo Wa Kuagiza Mzigo Nje Ya Nchi, Mzigo Wake Hautakaguliwa Na Mbweha Yeyote Pale Bandarini Ila Akishauza Ndipo Atailipa Serikali Pesa Anayotaka Na Hata Asipolipa Ni Sawa Tu Maana Wahindi Ni Watu Waaminifu Sana"mwisho Wa Kunukuu.je Mwanakijiji Unabisha Hii Sheria Haipo Bungeni?sasa Kama Rushwa Haiondoi Maarifa Hii Nini Je Ni Kulogwa?kwa Wa Tz Wenzetu? Maana Waliipitisha Kwa Kupiga ,makofi. Yehova Utuurumie
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…