hii lugha ambayo inavunjwa vunjwa Bungeni? Haionekani tutawabagua "waswahili" wenzetu ambao lugha ya Kiswahili kwao bado ni ya kigeni...?
MWANAKIJIJI SI UNAOUNA MWENYEWE?
Hili Tangazo la kibaguzi la ajira linapaswa kulaaniwa na kila Mtanzania
Chanzo, Majira 18/01/72007
TRUE!WAMESHINDWA KU"ASSIMILATE"Kwanza nitaongelea kundi la watu, najua mara zote unapoongelea kundi la watu kunakuwa na "exception to the rule"
Sina nia ya kumtetea mbaguzi yeyote, na ninaelewa kwamba makosa mawili yanayokinzana hayafanyi mambo kuwa sawa.Nakemea kauli au vitendo vyo vyote vya kibaguzi mahala popote, regardless.Baada ya kusema hivyo ningetaka pia kuweka vitu katika "context".
Hakuna mtu mbaguzi kama muhindi, ubaguzi wa muhindi umekuwa institutionalized katika dini na jamii nzima kwa mpango wa caste system.Muhindi anawabagua hata wahindu wenzake wasio "caste" moja, itakuwa mswahili? Hata hapa Marekani ni nadra sana kuona muhindi ameoana na mtu wa asili nyingine.
Watanzania hawana ubaguzi kiasi hicho, ukitaka kujua ona watu wanavyowachangamkia wageni kutoka sehemu mbali mbali.Wahindi wanataka kula keki yao halafu ibaki.Wanataka uraia wa Tanzania lakini hawapo kwenye majeshi ya ulinzi, hawataki kuchanganyika na Watanzania wengine, hawataki kujifunza Kiswahili.
Sasa nani mbaguzi hapo?
Kama Wahindi Wangekuwa Ni Wahamiaji Wenye Nia Nzuri Na Nchi Yetu Basi Tungekuwa Mbali Sana!ila Muhindi Na Corruption Ni Kama Korosho Na Bibo!kabla Sijachangia Zaidi Niseme Mambo Kadhaa Hapa..
1.assimilation;wajenge Na Waendeleze Nchi Badala Ya Kujirundika Kwenye Nymba Za Kupanga Mijini!wana Uwezo Wa Kufanya Hivyo..hii Itasaidia Kuinua Uchumi,kuendeleza Nchi Pamoja Na Kutoa Ajira!
Still Kwenye Kuassimilate Tuweze Kuwaona Kwenye Patriotic Activities Kama Vile Mgambo,polisi,jeshi Etc
2.wasirudi Ulaya Wakati Wamezeeka Na Kuretire!waache Kuwatumikisha Wazawa Vibaya Na Kuwadharau!wawalipe Kwa Haki Nk
Kwa Kumalizia Ni Hivi;wahindi Waliachwa Kwenye Nafasi Walizonazo Na Wakoloni..wao Walikuwa Ni Maofisa Wa Kati Na Wenye Kudili Na Mambo Ya Accounting..hivyo Basi Uchumi Wa Watanzania Mara Baada Ya Ukoloni Kuisha "technically"uliachwa Mikononi Mwa Wahindi,hivyo Basi Kama Wangekuwa Na Nia Nzuri..then Tungekuwa Mbali!waliwaweka Viongozi Wetu Mifukoni In Leu Of Wazalendo!tudiscuss Hayo Hapo Juu Kwanza Then I Will Add More!these People Have To Change And Prove It To Us That Actually Have!
kwahiyo sisi wenye asili ya kiyahudi tuliozaliwa tanzania si watanzania halisii!!! am proud to be tanzanian.wote wanaopinga richa kuwa miss tz ni wabaguzi hawana lolote, she was clearly a winner.
Bro, hiyo sasa ni mada nyingine kabisa. Mimi nazungumzia suala la huyu binti, tukubaliane kwanza wale wanaosema kuwa hakustahili kuwa Miss Tanzania wanakosea kwani wanasukumuwa na hisia ya kutukuza nasaba na wana tendencies za kibaguzi. Tukubaliane pia kuwa Richa kama watanzania wengine anazo haki zote ambazo mimi na wewe tunazo (nothing more, nothing less). Tukishakubaliana suala la Richa, then tunaweza kuzungumzia suala la kushiriki kwa baadhi ya Watanzania kwenye mambo mbalimbali ili kuthibitisha utanzania wao. Tunakubaliana?
Nyangumi, yaani wahindi wakioana na watu weusi ndio wanakuwa raia zaidi?
Mzee Mwanakijiji umeopoa kimwana wa kihindi? Kama ukitaka kuhakikisha kuwa hawa jamaa wanaubaguzi nenda India, urudi hapa na kimwana wa kihindi uone kama ndoa yako haitakufa. Itafanywa kila njia upokonywe huyo kimwana wako. Ukitaka kuhakikisha zaidi kajaribu kuopoa kimwana wa Kihindi uone utakavyotolewa nduki na kashfa tele.
Mzee Mwanakijiji ushishaona Muhindi mkazi wa Manzese, Buguruni, Tandika, Kwa mfuga m'mbwa, kwa kopa. Unafikiri wote wanaokaa city centre wana uwezo? Wengine hohe hahe.
WATUHAKIKISHIE KWAMBA NI WAZALENDO WA KWELI..WASHIRIKI KIKAMILIFU KUIJENGA NCHI NA SI KUJENGA MATABAKA!KATI YA WAZALENDO NA MAFISADI..WALIONAZO NA WENGI (WAZALENDO)WASIONAZO!WASITULETEE MAMBO YA CASTE KAMA KULE INDIA..WAFANYE KILA WAWEZALO KUASSIMILATE WELL!Haya masuala ya rangi ni tata sana, yaani yanachanganya vichwa mno! Nimekereka sana na tangazo la hao Wahindi hapo juu. Tungetukuza utaifa na kusahau rangi zetu.
Moshe,
We jivunie tu kuwa Mtanzania bila shida yoyote, ni Mtanzania halisi na unastahili haki zote za kuitwa Mtanzania. Unastahili kuheshimiwa, kuthaminiwa utu wako, kumiliki mali, kupiga na kupigiwa kura na haki nyingine ambazo raia wa nchi anastahili! Tupilia mbali rangi yako na muonekano wako, tukuza Utanzania wako. Nimesikia na kusoma toka katika magazeti ya Udaku kwamba hata Richard aliyeshinda big brother eti si Mtanzania, kisa? Mababu zake ni wahamiaji toka kusini mwa Afrika! Nikashangaa sana. Mie mwenyewe nimekulia mahali ambako nilikuwa nikicheza na waarabu na Wazungu ambao wamezaliwa Tanzania na wanajisikia fahari kujiita Watanzania, ukiachilia mbali rangi zao! Rangi sio hoja sana.
Hapa nilipo ninaishi jirani na Wazungu wa Afrika Kusini (sipendi kuwaita makaburu), sijawasikia hata siku moja wakisema wao ni wazawa wa hapa na kujiona sawa na wazungu wa huku, wao wanajiita Waafrika! Inashangaza lakini ndio hali halisi.
Mfano mwingine, kuna Warabu ambao wanapatikana kule Usangu Mbeya, wale kiasili ni Wapakistani! Lakini wapo pale miaka na miaka wakijiita Watanzania na wengine hata Pakistani hawajawahi kufika na mwaka jana mmoja wao kachaguiwa kuwa Mwenyekiti wa sisiemu wa mkoa ule.
Kw hiyo ndugu Moshe jisikie fahari tu kuwa Mtanzania.
Kama Wahindi Wangekuwa Ni Wahamiaji Wenye Nia Nzuri Na Nchi Yetu Basi Tungekuwa Mbali Sana!ila Muhindi Na Corruption Ni Kama Korosho Na Bibo!kabla Sijachangia Zaidi Niseme Mambo Kadhaa Hapa..
1.assimilation;wajenge Na Waendeleze Nchi Badala Ya Kujirundika Kwenye Nymba Za Kupanga Mijini!wana Uwezo Wa Kufanya Hivyo..hii Itasaidia Kuinua Uchumi,kuendeleza Nchi Pamoja Na Kutoa Ajira!
Still Kwenye Kuassimilate Tuweze Kuwaona Kwenye Patriotic Activities Kama Vile Mgambo,polisi,jeshi Etc
2.wasirudi Ulaya Wakati Wamezeeka Na Kuretire!waache Kuwatumikisha Wazawa Vibaya Na Kuwadharau!wawalipe Kwa Haki Nk
Kwa Kumalizia Ni Hivi;wahindi Waliachwa Kwenye Nafasi Walizonazo Na Wakoloni..wao Walikuwa Ni Maofisa Wa Kati Na Wenye Kudili Na Mambo Ya Accounting..hivyo Basi Uchumi Wa Watanzania Mara Baada Ya Ukoloni Kuisha "technically"uliachwa Mikononi Mwa Wahindi,hivyo Basi Kama Wangekuwa Na Nia Nzuri..then Tungekuwa Mbali!waliwaweka Viongozi Wetu Mifukoni In Leu Of Wazalendo!tudiscuss Hayo Hapo Juu Kwanza Then I Will Add More!these People Have To Change And Prove It To Us That Actually Have!
Kauli yako Mh.Mwanakijiji inaweza kuwa sawa, lakini tujiulize: Hao ambao hatutakiwi kuwabagua wao wanajiweka katika kundi gani? Wanajiona watanzania katika nafasi na shughuli wanazoona zinawanufaisha au wanajiona watanzania katika nafasi na shughuli zote.Mfano najaribu tafuta ndoa ya mhindi na mwafrica????Wakati mwingine huwa naona mifano mingine haifai kuilinganisha(pengine kwa uelewa wangu mdogo)Historia ya mmarekani mweusi kuwa marekani na Wahindi kuja Tanzania.Nia zao kwa nchi hizi mbili sizani kama ziko sawa.
Wahindi Ni Mbwa Tu Na Wala Hakuna Haja Ya Kujadili Kuhusu Wao Ni Wabaguzi Wanafiki Wafitini Wakuu Duniani, Na Hii Inajulikana Na Popote Walipo Duniani Hawajawahi Kujenga Uchumi Wa Mahali Pale Ila Huwa Wanauaga Uchumi Na Ndiyo Maana Tangu Wameachiwa Nafasi Na Wakoloni Wa Kizungu Hawajafanya Lolote Africa Zaidi Ya Ubaguzi Na Kubanana Ktk Nyumba Za Msajili Kama Machokoraa Na Huwaga Nashangaa Sijui Wanazaana Saa Ngapi Maana Utakuta Nyumba Ya Vyumba Viwili Wanaishi Watu 8 Mchanganyiko, Shit
MWANAKIJIJI SI UNAOUNA MWENYEWE?