Huawei kurusha satelaiti mbili za 6G mwezi Julai

Ww huna facts.
Sipendi watu ambao hawataki kukubali kuzidiwa ujuzi. Mkuu mkwawa ndiyo jicho letu la tech. Hakurupuki, wala hana majivuno na ni mtu wa facts. Wewe ni layman tu kwa mkuu mkwawa. I don't mean to be rude but, you ain't kwow shit.
Teh teh teh hii ID ilipotea sana. Karibuv tena.
 
Kuna nyingine hii imepotea sana [emoji115] ni kitambo sijamuona humu thesym
Teh teh teh hii ID ilipotea sana. Karibuv tena.
 
Achan na na mambo ya pind bro tuongelee vitu practical ushawahi download anything ikaandika hyo speed ya hata 30mbps starlink last yeae wame achieve 100mbps UK!
 
Achan na na mambo ya pind bro tuongelee vitu practical ushawahi download anything ikaandika hyo speed ya hata 30mbps starlink last yeae wame achieve 100mbps UK!
Unless hujui lolote la network huwezi uka ignore suala la ping. Ping ina affect mambo haya
-kuangalia chochote online live kama mpira, matamasha etc
-kucheza games
-kubrowse
-kupiga simu etc

Asilimia kubwa ya mambo unayo fanya day to day ni ping, hapa bongo kuna satelite kibao Zinafika hio 100mbps watu hawatumii Sababu zipo slow.

Download speed ina kusaidia pale unapodownload kwa haraka.

Kuhusu mimi kupata 30mbps ndio nimepata, kwa voda kawaida kufika 60mbps na Halotel kubwa kabisa kuipata ni 200mbps peak na stable inakaa 80mbps

Huu uzi wa halotel watu walikuwa wanapost speed zao.


Assume Una network 1gbps ina ping 500ms na network nyengine 5mbps ina ping 1ms basi yenye 5mbps itastream mpira bila kunata Nata na yenye 1gbps itanatanata.

Ndio maana kibongo bongo unakuta watu wanaweka zuku 10mbps na wana stream vizuri tu Sababu zuku ina local ping 2ms.

So again Starlink advantage yake ni coverage maeneo ambayo hakuna mobile data na fiber kama vijijini na sio replacement yake.
 
Understood Sir
 
Huku bongo ndo kwanza Magu na ****** walikuwa wanafanya biashara ya kununua wapinzani.
 
Mkuu SpaceX anasambaza hundreds of Starlink Sat ktk low earth orbit na speed ipo vizuri pengine ni over hiyo 4g ulosema!

Kuna kitu gani hapo ambacho pengine labda sijakielewa vizuri?
Sure mzee uko sahihi huyo informer hayuko uo to date
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…