Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umeandika vyema sana mkuu. Jua Kali ni tamthilia nzuri ila sasa shida wanairefusha bila sababu (ofkozi sababu ni PESA, wanataka watu walipe zaidi na zaidi). Kwa tamthilia, kawaida ni kuwa episode ya siku 1 inazungumzia siku nzima kwa ujumla, sasa Jua Kali unakuta show mnaangalia siku 3 ikiwa inazungumzia tukio la siku 1 tu - hapa wamefeli.Tamthilia ya huba mwazoni walikuwa Wana story nzuri Ila ghafla sikuelewa mtu anatoka kijijinj ghalfla ana jua kingereza Mara boss wa kampuni story haishi kila siku matukio ya kutengeneza ata Kama ndo kuigiza huba ni Kama isidingo...
Na Jua Kali sio muda watu wataipotezeaTamthilia ya huba mwazoni walikuwa Wana story nzuri Ila ghafla sikuelewa mtu anatoka kijijinj ghalfla ana jua kingereza Mara boss wa kampuni story haishi kila siku matukio ya kutengeneza ata Kama ndo kuigiza huba ni Kama isidingo...
Eti anaizungusha[emoji23]Tamthilia ya huba mwazoni walikuwa Wana story nzuri Ila ghafla sikuelewa mtu anatoka kijijinj ghalfla ana jua kingereza Mara boss wa kampuni story haishi kila siku matukio ya kutengeneza ata Kama ndo kuigiza huba ni Kama isidingo....
Maigizo na uzungu mwingiKadri ziku zinavyokwenda watazamaji wengi wanaipotezea tamthiliya ya HUBA na kuelekea nyingine hasa Jua Kali.
Huba wamekosea wapi? Je, hawana uhalisia - tamthiliya nzima hakuna role models, haireflect maisha au?
Bora kidogo Pazia japo nayo imeanza kuboa Kila mtu sasa ninwakishua mpaka Bidu sasa Kawa mwanasiasaSasa subilini hiyo jua kali lamata aje amlete tena yule mnaijeria wake ndio ianze tena upya.
Kule huba nako JB anasubiri aje amuoe tima.
Hizi series za kibongo ni basi tu
Leah Mwendamseke hua anajua kufanya kazi zake.Kadri ziku zinavyokwenda watazamaji wengi wanaipotezea tamthiliya ya HUBA na kuelekea nyingine hasa Jua Kali.
Huba wamekosea wapi? Je, hawana uhalisia - tamthiliya nzima hakuna role models, haireflect maisha au?
umefanya research yako kwa sample ipi mkuu maana huku kwetu ileje Huba inawika watu hatulimi tunashinda kuirudiarudia hyo jua kali ndo niniKadri ziku zinavyokwenda watazamaji wengi wanaipotezea tamthiliya ya HUBA na kuelekea nyingine hasa Jua Kali.
Huba wamekosea wapi? Je, hawana uhalisia - tamthiliya nzima hakuna role models, haireflect maisha au?
I heard.. Huba ni kitabu kwaio kuigiza hadi kitabu kiishe sio leo😂😂😂 kwakwel ni isidingo ya kibongo ile...Kadri ziku zinavyokwenda watazamaji wengi wanaipotezea tamthiliya ya HUBA na kuelekea nyingine hasa Jua Kali.
Huba wamekosea wapi? Je, hawana uhalisia - tamthiliya nzima hakuna role models, haireflect maisha au?
Si wanaigiza😂😂😂apo wanakua kaziniMaigizo na uzungu mwingi
Watu maisha ya ndotoni Wanayaleta kwenye kamera....
Wabongo wengi hatuna maisha hayoSi wanaigiza😂😂😂apo wanakua kazini