Hudah Monroe na Zarina watunishiana misuli kisa Diamond

Nadhani umesahau pia kwamba hiyo Murano walinunua wote wawili baada ya Wema kuuza gari yake ya mwanzo.
Hahahaa mkuu naona unalazimisha ionekane zari kamnyakua chibu. Kama walinunua wote hy Murano kwnn wema alikuwa anaiponda? Anyway hayo mengine hayatuhusu ila wema alimuacha Chibu na wala hakunyakuliwa
 
Mh! Mkenya gani achambe mtu kama Mzaramo?Mzaramo mboga nyingine ile, alichambwa Kibaka alikutwa ana anua nguo mpaka Akafa ndio ulinganishe na nyang'ao.
[emoji3] [emoji3] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Wanawake kwa wivu wa kipimbav mpo sana naona kila mmoja anataman chibu du
 
Hahahaa mkuu naona unalazimisha ionekane zari kamnyakua chibu. Kama walinunua wote hy Murano kwnn wema alikuwa anaiponda? Anyway hayo mengine hayatuhusu ila wema alimuacha Chibu na wala hakunyakuliwa

Mkuu silazimishi ukweli, Wema alimpa Chibu hela aongezee amnunulie gari nzuri(aliongea mwenyewe Wema alipoojiwa), Bahati mbaya hakulipenda like gari.

Najua pia kwamba migogoro ilianza alipokuwa safari ya China na crew yake na baada ya zawadi ya gari ila walikuwa bado hawajaachana rasim wakati ajuza kajiingiza katikati ndiyo maana walikuwa wanaficha.

Huyo Bibi ni nyakunyaku mzuri tu ndomana hajiamini, Kama ndoa yake na Mwanaume aliyezaa naye watoto watatu ilimshinda ndi atamuweza Chibu ambaye hata hajamuoa.
 
Yaani Mimi mwenyew nimemdharau Sana yaani kwa umri wake si MTU wa kuchambana mitandaoni anajitia uzungu kumbe mswahili kupita hata mama mkwe wake, halafu kwa Diamond ataumiza kichwa Sana maana ni donoa donoa yule inawezekana hata huyo huda katongozwa
Hiv kuna mtu mzima anayependa kuchambana na watoto kama mama wema ..... zari hajafika hata nusu ya umri wa huyo bibi nawashangaa mkisema zari mtu mzima aache kuchambana.....mtupishe huko na akili zenu fupi. Mlizowea kina penny wasioweza kuwajib mnapewa ukweli wenu.....tulieni mmeze dawa nyaku nyaku wa gizan..
 
Umenena mkuu kiutu-uzima, asante kutukumbusha pale tunaposahau kuwa wote tunaelekea huko
Big up
 
hivi mtu wa miaka 33-40 ni Mzee? Kuna wadada wana miaka 34-45 hawajaolewa wala hawana watoto. Bado ni wabichi na beautiful.Uzee Wa 35 siulewi vizuri. Kuzaa kibiologia ni 49 mwisho. Wasichana wanamuoneaga Zari Wivu tuu siyo size yao kwa lolote. Ana sura nzuri, mrembo, tajiri anaishi kwake pazuri, ana usafiri Wa nguvu, msomi, Mama, kamuwin Diamond ambaye kila Dada anamtamani, yaani she is independent and classy Lady.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…