Nimekuwa Team Zari tena!! Nimeshawahi kuongea kitu kama hiki kuhusu Le Mutuz... maybe am Team Le Mutuz vile vile!! Nilisema wazi kwamba badala ya kumkejeli Le Mutuz binafsi ningefurahi ningekuwa na kaka aina ya Le Mutuz ambae pamoja na umri wake bado ningeweza kumwa-approach kwa issues ambazo kwa mazingira ya Kiafrika ni ngumu kumwa-approach mtu wa amri wake cuz' the guy is simple and approachable with modern 21st century minds!
Kuhusu Mondi na Zari... naombea asifunge nae ndoa kwa sasa manake vile vipima ujauzito vitaadmika ghafla!!
View attachment 398035
Vitaadmika manake mizunguko ya watu lazima iwe disturbed na matokeo yake mtakuwa mnakimbilia kupima ili kuangalia ikiwa mshanasa... kumbe mnasumbuliwa na stress za kukatwa kidomodomo!!!