Huduma benki ya NMB

Huduma benki ya NMB

Nimewahi pita mkoa kule anakotokea mkwawa na bank yao branch inaitwa kwa jina lake 'mkwawa' branch aisee Kuna bwana mmoja anashugulika na Cheque mweupe Kama amekorogo hivi aise Mara awepo Mara hayupo akiwepo wewe umepanga foleni unashangaa anatoa ishara anaitwa mtu ambae hata kwenye foleni hakuwepo anakuja kumhudumia wanatwanga stori. Shughuli Sasa unafika dirishani anakuuliza kwa dharau wewe ndio unatumia Cheque? Unajibu ndio anakwambia haufananii na hagupokei Cheque muda umeenda na hapo ushakaa foleni zaidi ya dakika 45.
 
Nimewahi pita mkoa kule anakotokea mkwawa na bank yao branch inaitwa kwa jina lake 'mkwawa' branch aisee Kuna bwana mmoja anashugulika na Cheque mweupe Kama amekorogo hivi aise Mara awepo Mara hayupo akiwepo wewe umepanga foleni unashangaa anatoa ishara anaitwa mtu ambae hata kwenye foleni hakuwepo anakuja kumhudumia wanatwanga stori. Shughuli Sasa unafika dirishani anakuuliza kwa dharau wewe ndio unatumia Cheque? Unajibu ndio anakwambia haufananii na hagupokei Cheque muda umeenda na hapo ushakaa foleni zaidi ya dakika 45.
internet Banking not working
 
Pole kwa changamoto hiyo

Nadhani ni vyema kama upo familiar na sim banking iwe app au ile ambayo sio app,

Au kama ni internet banking inakuwa vizuri zaidi......

Kama ni mfanya biashara wateja wako waelekeze wa deposit hela kwenye bank account moja kwa moja endapo unatumia invoice au delivery note, ili usi accept cash itakupunguzia kwenda bank au kukopeteza ama kuibiwa......

wateja wanaopenda kutumia cheque de same naamini mwanzoni wataona ni ngumu kadri unavyo waelimisha wanabadilika Ila elimu kidogo kidogo.....

Ila ukisema uende bank foleni, umwone meneja nako unaambiwa hayupo......

The best choice try to look for sim banking if not internet banking are more favorable...
 
Back
Top Bottom