Asprin
JF-Expert Member
- Mar 8, 2008
- 68,223
- 96,083
Hiyo bima kiboko...Hapana mkuu labda kama wamebadilisha siku hizi, mimi hiyo ilinitokeaga natumia Bima lakini mtoto yupo chumba cha joto nalipia cash,lakini mimi Bima inanihudumia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hiyo bima kiboko...Hapana mkuu labda kama wamebadilisha siku hizi, mimi hiyo ilinitokeaga natumia Bima lakini mtoto yupo chumba cha joto nalipia cash,lakini mimi Bima inanihudumia
Kwa hiyo solution ni kuwa kila mtu atafute hela akatibiwe Acha khanIli uachane na kadhia hiyo... Pambana upate mshiko ukatibiwe Agha Khan.
Serikali haiwezi kukufanyia kila kitu. Serikali ni maskini kuliko wewe. Ina madeni kibao.... achana na ule uhuni wa "hela za ndani zipo". Ukinielewa utanishukuru
"Acha" khan umesema wewe...Kwa hiyo solution ni kuwa kila mtu atafute hela akatibiwe Acha khan
Babu hapa umetupiga boko. Mfano bima ya nhif ukikata miaka miwili ya mwanzo haito cover kujifungua. Process zote za kujifungua ni cashDah... nasikitika kumbe hata hujui bima ya afya ya mama mjamzito inacover matibabu ya kichanga chake...
Alijisemeaga Lowassa... Elimu, Elimu, Elimu...
Atakopa pahaliMama atafanya jambo
Eeh kama kawaida.. nchi haitopigwa mnadaatakopa pahali