Huduma katika hospitali za umma ni mbovu sana na zinatesa wananchi!

Huduma katika hospitali za umma ni mbovu sana na zinatesa wananchi!

Wabongo mara nyingi tunapenda kuwa hasi kwa huduma za umma bila kuingia kwa undani..Ndugu umeandika vizuri ila hujasema ulichobaini kuhusu uwiano wa uwingi wa wagonjwa na wahudumu wa afya...Uwepo wa vitendea kazi na madawa.Tufikirie pia na sisi tunakotoa huduma jee hatuwakwazi wateja wetu???Anyway,naamini hilo ni jambo la uongozi kufanyia kazi mapungufu hayo na kuwasimamia watu wao wa chini kwa karibu kama manesi na madokta ili wasifanye uzembe.
Unaonaje mkuu yasipozungumziwa haya, itakuwaje.?
 
Yaliyotokea Njombe huko ni upungufu wa Madactari au huduma zitolewazo na hao ni changamoto..?

Yaani mama tayari anajifungua, kitendo cha kumsaidia tu ili atoke salama, doctor anataka 40k na wakati huo dakika zinahesabika Kwa mzazi ili aondoke duniani yeye pamoja na mtoto wake

Halafu tunasema wahuhumu sjiui vipi!

Tunapoukataa Umagufuli, tunakataa kuchapa kazi na kukaribisha uzembe kazini!
 
Mtanikumbuka kwa mazuri si kwa mabaya --- The late JPM
Kilichokuwa kinatakiwa ni kinga ya maradhi sio kujenga magodown ya hospitali.
Zipo nchi nyingi gonjwa ni cancer au blood pressure. wamefunga hospitali na kuzigeuza gym au vaccination centers.
Sisi tunakiwa kudhibiti uchafu wa mazingira,utapiamlo,dini za kiini macho,elimu ya uzazazi wa mpango,mazoezi ya viungo n.k
Ukisikia wizara inaongeza hospitali ujue taifa lipo ICU
 
Kilichokuwa kinatakiwa ni kinga ya maradhi sio kujenga magodown ya hospitali.
Zipo nchi nyingi gonjwa ni cancer au blood pressure. wamefunga hospitali na kuzigeuza gym au vaccination centers.
Sisi tunakiwa kudhibiti uchafu wa mazingira,utapiamlo,dini za kiini macho,elimu ya uzazazi wa mpango,mazoezi ya viungo n.k
Ukisikia wizara inaongeza hospitali ujue taifa lipo ICU
Aisee
 
Back
Top Bottom