Huduma katika hospitali za umma ni mbovu sana na zinatesa wananchi!

Huduma katika hospitali za umma ni mbovu sana na zinatesa wananchi!

Mambo ni mazito, jana nilikwenda Sekou Toure-Mwanza, nilikuwa sijaenda pale takribani mwaka hivi, nilifika pale nikakuta wamehamia kwenye jengo jipya la ghorofa.

Cha kusikitisha ni kwamba nilipita kwenye chumba cha dharula kwa ajili ya kupata huduma za kiofisi, ghafla kaletwa mgonjwa wa dharula akiwa amebebwa juu, juu akiwa amepoteza fahamu, nikasikia nesi akiuliza walo mleta;

Nesi:Huyo wa kike au kiume

Walombeba mgonjwa:Wa kiume.

Nesi:Hii wodi ya kiume imejaa, mpelekeni kule wodi ya kike, litakalo kuwa na liwe hatuna vyumba vya kutosha hapa chumba cha dharula.

Mimi nilijua kwakuwa jengo ni jipya labda huduma zitakuwa zimetengamaa, sasa ndiyo uone tupo wapi....
Daah!

Kwa kuwa serikali na viongozi wake huwa wanapitia humu, hii watainusa na kufanyia kazi kwa haraka!

Ki ukweli, hali ni mbaya sana kwa mgonjwa kupata huduma hasa kwenye hospital zetu hizi za halaiki

Nadhani pia, kuwa tunapaka paka rangi kwenye uhalisia, ni makosa makubwa, wale chawa wa kila pahala hata kwa mambo yanayowagusa hata ukoo wao, wanafanya kazi ya shetani kupaka rangi kwa mambo yasiyopakwa rangi
 
Mtanikumbuka kwa mazuri si kwa mabaya --- The late JPM
Unaota wewe
JPM alitoka chama ambacho ndiyo kimetufikisha hapa ccm! Hakuwa na Jipya zaidi ya kuiba huku anawafokea wezi wenzake akijiita mzalendo
 
Na machawa wao wamesambazwa humu, eti mama anajenga hospitali 172 hahahah kmmmk walai! Hospitali ambazo hazina dawa always
Shida yao hawajui kutofautisha kati ya jengo la hospital na hospital. Hata zijengwe kilq mtaa bilq vifaa tiba yatabaki kuwa magofu tu. Zile walizotwambia alijenga magufuli zipo wapo sasa???
 
Shida yao hawajui kutofautisha kati ya jengo la hospital na hospital. Hata zijengwe kilq mtaa bilq vifaa tiba yatabaki kuwa magofu tu. Zile walizotwambia alijenga magufuli zipo wapo sasa???
Nasikia mzalamo alipozaliwa ni hapohapo na atafia hapo, huwa hatembei kwenda sehemu nyingine, hata hivyo, kiwangwa inakituo cha JPM, Matimbwa pia, miono, mbweni n.k
 
Wanamuona kama mungu mdogo. Inasikitisha sana watu wa karne ya 21 kuwa na mawazo ya enzi za Farao.
Si tulisema zidumu fikra za mwenyekiti? Ndiyo hivyo tena fikra zake zimedumu kweli kama ametuloga. Hata wewe angalia ulivyopaniki baada ya kuambiwa ukweli juu ya Nyerere.
 
UONGO
Enzi za Jiwe na miezi ya mwanzoni ya awamu hii ya Hangaya tulishuhudia Maaskofu wakilalamika kupoteza wateja wa hospitali zao(sio Siri hospitali nyingi hapa nchini wamiliki wake ni makanisa hasa wakatoliki). Walifika hatua wakaomba TRA iwasamehe madeni yao maana wagonjwa wengi wanatibiwa serikalini na hivyo vituo vya afya /hospitali zao hazina wateja kabisa.

Wahaya Wana msemo eti "windo limegeuka sungura anamuwinda mbwa" sasa mambo ni tofauti, wagonjwa wanakimbia kutafuta huduma kwenye hospitali binafsi na bado CHAWA wanampaka mafuta mama kwa mgongo wa chupa mama eti "anaupiga mwingi"
Muda ni hakimu mzuri, subirini hapo hapo mtaona matokeo
 
Sio rahisi kufanya kazi shida za hospital kwa haraka kwa zima moto. Serikali inatakiwa iwe ina mpango wa Afya unaotekelezeka kwa miaka 5 na kuendelea
Daah!

Kwa kuwa serikali na viongozi wake huwa wanapitia humu, hii watainusa na kufanyia kazi kwa haraka!

Ki ukweli, hali ni mbaya sana kwa mgonjwa kupata huduma hasa kwenye hospital zetu hizi za halaiki

Nadhani pia, kuwa tunapaka paka rangi kwenye uhalisia, ni makosa makubwa, wale chawa wa kila pahala hata kwa mambo yanayowagusa hata ukoo wao, wanafanya kazi ya shetani kupaka rangi kwa mambo yasiyopakwa rangi
 
Yupo mwana jf mmoja alileta kilio chake humu kwa kifo cha binti yake mdogo akiwa amecheleweshewa huduma hospital.

Nchi imekuwa ngumu, no where to breath, sembe 1800 kipande cha sabuni 900, hospital huduma mbovu.

Tumlilie nani.
Tuikatae ccm mkuu
 
Hali ni mbaya katika hospital za serikali,

Huduma ni za taabu sana, Jamani, binadamu kukaguliwa na homa, ni hali ya kawaida, Ila Inapotokea hali hiyo mtu umekaguliwa, basi angalau ukutane na huduma ya haraka!

Kwa sasa, mgonjwa kukaa masaa 6 mapokezi ni hali ya kawaida na masaa manne akisubiri vipimo ni hali ya kawaida! Na ninpoongea hili Niko hospitali moja ya (W) na ninayoandika haya, ndiyo nayaona na yananitokea nikiwa na mgonjwa akiwa na hali mbaya sana, nimefika SAA 1:30 mpaka muda huu wa SAA 4:53 bado sjahudumiwa chochote! Inauma sana!

Na Kwa macho yangu nikiwa hapa hapa, kaletwa mgonjwa, Kwa huduma kucheleweshewa, amefariki akiwa mapokezi! Maana yake inaonyesha hali hii imekita mizizi! Hili halikubaliki jamani.

Hali hii inaweza kumfanya mgonjwa afie mapokezi au akisubiri kipimo Kwa muda mrefu, na inakuwa mtu akiwa na mtu anayefahamiana naye, unaona tuu anachukuliwa katikati ya foleni, Mara tu unaona anatoka amekwisha hudumiwa,na hii hali, inashawishi utoaji wa rushwa!!

Wahudumu kupiga story wakiwa ofsini na wasijali kama kuna watu wanapaswa kuwahudumia imekuwa ni kawaida.

Lakini unajiuliza: Je, wao hali kama hiyo ikiwakuta na wao kutokuhudumiwa watajisikiaje?

Lakini, Kwa nini tunarudi nyuma kwenye kero ambazo tulikuwa tumeanza kuzisahau?

Je, Ni kweli sisi ni watu wa kusukumwa ili tufanye kazi na ndiyo maana ajira za nje zinatutema.?
Hospitali za serikali zingeiga na kujifunza utaratibu wa taasisi ya mifupa MOI atleast malalamiko kuhusu huduma yangepungua
 
Magufuli alitutoa huko, naona tunarudi kwa kasi ya mwanga.
 
Hali ni mbaya katika hospital za serikali,

Huduma ni za taabu sana, Jamani, binadamu kukaguliwa na homa, ni hali ya kawaida, Ila Inapotokea hali hiyo mtu umekaguliwa, basi angalau ukutane na huduma ya haraka!

Kwa sasa, mgonjwa kukaa masaa 6 mapokezi ni hali ya kawaida na masaa manne akisubiri vipimo ni hali ya kawaida! Na ninpoongea hili Niko hospitali moja ya (W) na ninayoandika haya, ndiyo nayaona na yananitokea nikiwa na mgonjwa akiwa na hali mbaya sana, nimefika SAA 1:30 mpaka muda huu wa SAA 4:53 bado sjahudumiwa chochote! Inauma sana!

Na Kwa macho yangu nikiwa hapa hapa, kaletwa mgonjwa, Kwa huduma kucheleweshewa, amefariki akiwa mapokezi! Maana yake inaonyesha hali hii imekita mizizi! Hili halikubaliki jamani.

Hali hii inaweza kumfanya mgonjwa afie mapokezi au akisubiri kipimo Kwa muda mrefu, na inakuwa mtu akiwa na mtu anayefahamiana naye, unaona tuu anachukuliwa katikati ya foleni, Mara tu unaona anatoka amekwisha hudumiwa,na hii hali, inashawishi utoaji wa rushwa!!

Wahudumu kupiga story wakiwa ofsini na wasijali kama kuna watu wanapaswa kuwahudumia imekuwa ni kawaida.

Lakini unajiuliza: Je, wao hali kama hiyo ikiwakuta na wao kutokuhudumiwa watajisikiaje?

Lakini, Kwa nini tunarudi nyuma kwenye kero ambazo tulikuwa tumeanza kuzisahau?

Je, Ni kweli sisi ni watu wa kusukumwa ili tufanye kazi na ndiyo maana ajira za nje zinatutema.?
Wabongo mara nyingi tunapenda kuwa hasi kwa huduma za umma bila kuingia kwa undani..Ndugu umeandika vizuri ila hujasema ulichobaini kuhusu uwiano wa uwingi wa wagonjwa na wahudumu wa afya...Uwepo wa vitendea kazi na madawa.Tufikirie pia na sisi tunakotoa huduma jee hatuwakwazi wateja wetu???Anyway,naamini hilo ni jambo la uongozi kufanyia kazi mapungufu hayo na kuwasimamia watu wao wa chini kwa karibu kama manesi na madokta ili wasifanye uzembe.
 
Back
Top Bottom