Huduma katika hospitali za umma ni mbovu sana na zinatesa wananchi!

Huduma katika hospitali za umma ni mbovu sana na zinatesa wananchi!

Jamaa popoma sana Wafanyakazi wanafanya kazi 24 hours.Lakini bado wanapiga kazi kama Kawa.Yeye ajaribi kukesha hata siku moja aone moto wake.Watanzania ni watu wakulalamika sana.Alitaka akifika ahudumiwe yeye kwanza wengine 100 waachwe.
Mkuu, unafikiri hali zilizopo hizo! Wananchi wakae kimya tuu Kwa kuogopa nini yani!

Suala sio mtu kupiga kazi masaa 24, suala ni huduma kuwa mbovu!

Unafikiri anayejibu hoja za huduma kuwa mbovu na upungufu wa wafanya kazi ni Nani!?


Nadhani, wewe ndo ungekuja na majibu ya Kwa nini huduma ni mbovu na Nani wa kulaumiwa, sisi wananchi, huwa hatufahamu hicho kiwango cha upungufu wa wafanya kazi, sisi huwa tunaelewa, serikali ikifungua hospital, ikaleta wafanya kazi, basi wananchi kazi yao ni kwenda kupata huduma wakiamini, kila kitu kiko sawa!

Na Kwa nini mnakubali kuwa wachache kuliko inavyotakiwa? Tumlaumu Nani hapa?

Chapeni kazi, acheni kulalamika, na malalamiko mnayeleta nyinyi na Waziri wa hii
 
Mgonjwa wa hali mbaya sana, anatakiwa aende kitengo cha dharula moja kwa moja.

Ni kipi kimesababisha wewe usimpeleke mgonjwa wako huko?
 
Mtanikumbuka kwa mazuri si kwa mabaya --- The late JPM
Hata alivyokuwepo yeye huyo mungu wako hali ilikuwa hivyo hivyo, acheni kumtukuza sana huyo mungu wenu.
Ni vyema mkamuombea kwa muumba wake ampunguzie adhabu kwa ukatili mkubwa alioufanya hapa duniani.
 
Mfumo mbovu huu wa kutegemea Rais awajibishe manesi na madaktari wa hospitalini. Wa kulaumiwa ni Nyerere aliyeuleta huu mfomu mbovu ili atawale kidikteta. Kila tatizo tumtegemee alitatue yeye.
 
Mfumo mbovu huu wa kutegemea Rais awajibishe manesi na madaktari wa hospitalini. Wa kulaumiwa ni Nyerere aliyeuleta huu mfomu mbovu ili atawale kidikteta. Kila tatizo tumtegemee alitatue yeye.
Tutakuwa watu wa ajabu sana kumlaumu mtu ambaye ameshaondoka zake kitambo kirefu. Ina maana vichwa vyetu ni mafuu ya naszi yaliyojaa maji hatuwezi kufikiri kuboresha kisa tu watangulizi walifanya vile. Kama ni hivyo Nyerere alikuwa na akili sana manake sisi tumeshindwa bado tunamlilia yeye.
 
Hali ni mbaya katika hospital za serikali,

Huduma ni za taabu sana, Jamani, binadamu kukaguliwa na homa, ni hali ya kawaida, Ila Inapotokea hali hiyo mtu umekaguliwa, basi angalau ukutane na huduma ya haraka!

Kwa sasa, mgonjwa kukaa masaa 6 mapokezi ni hali ya kawaida na masaa manne akisubiri vipimo ni hali ya kawaida! Na ninpoongea hili Niko hospitali moja ya (W) na ninayoandika haya, ndiyo nayaona na yananitokea nikiwa na mgonjwa akiwa na hali mbaya sana, nimefika SAA 1:30 mpaka muda huu wa SAA 4:53 bado sjahudumiwa chochote! Inauma sana!

Na Kwa macho yangu nikiwa hapa hapa, kaletwa mgonjwa, Kwa huduma kucheleweshewa, amefariki akiwa mapokezi! Maana yake inaonyesha hali hii imekita mizizi! Hili halikubaliki jamani,

Hali hii inaweza kumfanya mgonjwa afie mapokezi au akisubiri kipimo Kwa muda mrefu, na hii hali, ni ya rushwa!!

Wahudumu kupiga story wakiwa ofsini na wasijali kama kuna watu wanapaswa kuwahudumia imekuwa ni kawaida

Lakini unajiuliza, Je wao hali kama hiyo ikiwakuta na wao kutokuhudumiwa watajisikiaje..?

Lakini, Kwa nini tunarudi nyuma kwenye kero ambazo tulikuwa tumeanza kuzisahau??

Je, Ni kweli sisi ni watu wa kusukumwa ili tufanye kazi na ndiyo maana ajira za nje zinatutema.?
Tutajie hiyo hospitali ili waanze nayo! Huko kuficha inatiashaka kuwa nawe ni mdau ila mishe zimepita chaka!! Sasa tuma jinale[emoji16][emoji16]
 
Mwanza kuna hospitali binafsi inaitwa KAMANGA HOSPITAL. Inasemekana, hii ni hospitali ya madaktari bingwa kadhaa wa BUGANDO walioungana na kutumia fursa ya udhaifu wa huduma mbovu ktk hospitali za umma ili kupiga pesa...

Ni hospitali nzuri sana. Wanatoa huduma katika standard za kimataifa. Mgonjwa ukifika au ukipeleka mgonjwa wako pale namna anavyopokelewa tu inampa tumaini la kupona...

Hawa jamaa [wenye hospitali hizi] kwa kuwa wanahudumu Hospitali za serikali za Bugando na wengine toka hospitali ya rufaa ya mkoa wa Mwanza, Sekotoure wakiku - attend na kuona namna gani vipi, wanakupa appointment ya kwenda kwenye hospitali yao...

Huko wanakuwa tofauti kabisa. Wanakuwa more hospital than wanapokuwa huko serikalini. Na nadhani, hospitali hizi za umma zina matatizo ya ukosefu au upungufu au kutokuwepo kabisa kwa;

✓ Dawa

✓ Vifaa tiba.

✓ Wataalamu mbalimbali mfano CT - SCAN, X - Ray, RMI machine nk nk..

✓ Mlundikano mkubwa au uwingi wa wagonjwa nk nk..

✓ Malipo duni

Kwa sababu hizi, basi efficiency yao inakuwa compromised

Changamoto kubwa ya hospitali za binafsi na za mashirika ya dini kama hii tunayoijadili hapa ni gharama kubwa ya matibabu na vipimo.

Hata hivyo, tukubali tu kuwa, ni kweli kabisa kuwa huduma ktk hospitali za umma au za serikali ni duni/mbovu sana hasa ukosefu au kutokuwepo kwa dawa kabisa...

Mtu anaweza kujiuliza, swali hili;

Kwamba, hivi utaitaje majengo fulani ni "hospitali ya serikali" iwapo wagonjwa wanapokwenda kupata huduma ya matababu ili kuokoa maisha yao wanaishia kutazamwa tu na madaktari huku kukiwa hakuna vipimo wala dawa ktk hospitali hizo?
 
mbona hukutaja hiyo hospitali. halafu si ndio nyinyi mnaemtukana makufuli mnamsifia samia kaupiga mwingi juu ya goli
 
Mwanza kuna hospitali binafsi inaitwa KAMANGA HOSPITAL. Inasemekana, hii ni hospitali ya madaktari bingwa kadhaa wa BUGANDO walioungana na kutumia fursa ya udhaifu wa huduma mbovu ktk hospitali za umma ili kupiga pesa...

Ni hospitali nzuri sana. Wanatoa huduma katika standard za kimataifa. Mgonjwa ukifika au ukipeleka mgonjwa wako pale namna anavyopokelewa tu inampa tumaini la kupona...

Hawa jamaa [wenye hospitali hizi] kwa kuwa wanahudumu Hospitali za serikali za Bugando na wengine toka hospitali ya rufaa ya mkoa wa Mwanza, Sekotoure wakiku - attend na kuona namna gani vipi, wanakupa appointment ya kwenda kwenye hospitali yao...

Huko wanakuwa tofauti kabisa. Wanakuwa more hospital than wanapokuwa huko serikalini. Na nadhani, hospitali hizi za umma zina matatizo ya ukosefu au upungufu au kutokuwepo kabisa kwa;

✓ Dawa

✓ Vifaa tiba.

✓ Wataalamu mbalimbali mfano CT - SCAN, X - Ray, RMI machine nk nk..

✓ Mlundikano mkubwa au uwingi wa wagonjwa nk nk..

✓ Malipo duni

Kwa sababu hizi, basi efficiency yao inakuwa compromised

Changamoto kubwa ya hospitali za binafsi na za mashirika ya dini kama hii tunayoijadili hapa ni gharama kubwa ya matibabu na vipimo.

Hata hivyo, tukubali tu kuwa, ni kweli kabisa kuwa huduma ktk hospitali za umma au za serikali ni duni/mbovu sana hasa ukosefu au kutokuwepo kwa dawa kabisa...

Mtu anaweza kujiuliza, swali hili;

Kwamba, hivi utaitaje majengo fulani ni "hospitali ya serikali" iwapo wagonjwa wanapokwenda kupata huduma ya matababu ili kuokoa maisha yao wanaishia kutazamwa tu na madaktari huku kukiwa hakuna vipimo wala dawa ktk hospitali hizo?
Ngoja nikolezee Kwa wino hii pointi yako mkuu


JamiiForums



Huduma katika hospitali za umma ni mbovu sana na zinatesa wananchi!​

First Prev3 of 3
Jump to newUnwatch
•••
[IMG alt="Faana"]https://www.jamiiforums.com/data/avatars/m/63/63341.jpg?1624764928[/IMG]

Faana

JF-Expert Member​

Hili wazo ni zuri saana mkuu, sifahamu Kwa nini halikufanyiwa kazi
🙏

Thanks Quote Reply
Report

D

dinongo

Member​

Mtanikumbuka kwa mazuri si kwa mabaya --- The late JPM
Tahira wewe!

Thanks Quote Reply
Report
P

Paulsylvester

JF-Expert Member​

Tahira wewe!
Mbona uko na hasira mkuu! Unadhani mchango wako huu unaendana na bandiko la Uzi huu

Quote Reply
Report Edit Delete
  • Thanks
Reactions:dinongo
[IMG alt="Ndebile"]https://www.jamiiforums.com/data/avatars/m/54/54444.jpg?1567871304[/IMG]

Ndebile

JF-Expert Member​

Tulishauri hospital za umma zifungwe cctv camera ili kubaini uzembe wa watoa huduma
Alafu hizo video za kwenye cctv camera atakuwa anaziangalia malaika Gabriel maana watendaji wote kuanzia kwa Hangaya ni wabovuuuuu! Eti "watumishi walimuogopa Simba wa Yuda na kuwa na nidhami ya woga..." hahaha endeleeni kufurahia nidhamu "natural" ya watanzania!

Thanks Quote Reply
Report
P

Paulsylvester

JF-Expert Member​

Alafu hizo video za kwenye cctv camera atakuwa anaziangalia malaika Gabriel maana watendaji wote kuanzia kwa Hangaya ni wabovuuuuu! Eti "watumishi walimuogopa Simba wa Yuda na kuwa na nidhami ya woga..." hahaha endeleeni kufurahia nidhamu "natural" ya watanzania!
Click to expand...
Nidhamu natural ni ya mtu na kazi zake tuu!

Na kama kuna awaye yote aseme eti watumishi wanapaswa wawe na nidhamu bila kusimamiwa na kushushwa cheyo Kwa uzembe, hili halitatokea kwenye ofis zote!

Watu wanaukashifu mfumo wa kusimamiwa Kwa karibu, kushushwa cheyo na kutimliwa Kwa wazembe, ili tuu kuhalalisha uzembe wao ulio kwenye damu zao

Nidhamu ya uwogo ndio kila kitu, maana mtu akitii katika hali ya uwoga, na anafanya kazi, kunakuwa na tatizo lipi Kwa mwajiri?

Quote Reply
Report Edit Delete

S

sambulugu

JF-Expert Member​

Umepata faida ipi Kwa kumwita Binadamu mwenzako mmbwa?
Mpumbavu huyo achana nae! Kazi yake kutetea ujinga wa bibi ushungi!

Thanks Quote Reply
Report
[IMG alt="muafi"]https://www.jamiiforums.com/data/avatars/m/329/329726.jpg?1609073888[/IMG]

muafi

JF-Expert Member​

kuna hospitali mfan mtwara referal hospitali inaoaswa kuwa na watumishi 200 ila wapo chini ya 50 unategemea huduna gani?

Thanks Quote Reply
Report
[IMG alt="muafi"]https://www.jamiiforums.com/data/avatars/m/329/329726.jpg?1609073888[/IMG]

muafi

JF-Expert Member​

Nidhamu natural ni ya mtu na kazi zake tuu!

Na kama kuna awaye yote aseme eti watumishi wanapaswa wawe na nidhamu bila kusimamiwa na kushushwa cheyo Kwa uzembe, hili halitatokea kwenye ofis zote!

Watu wanaukashifu mfumo wa kusimamiwa Kwa karibu, kushushwa cheyo na kutimliwa Kwa wazembe, ili tuu kuhalalisha uzembe wao ulio kwenye damu zao

Nidhamu ya uwogo ndio kila kitu, maana mtu akitii katika hali ya uwoga, na anafanya kazi, kunakuwa na tatizo lipi Kwa mwajiri?
Click to expand...
Ufinyu wa wahudumu, Fikiria mfano hospitari ya rufaa ya mtwara inapaswa kuwa na wahudumu 200+ lakini inao 48 tu, unategemea nini hapo?

jamaa anasema wahudumu wanakaa ofisini kupiga stori sio kweli hakuna mtu anayeweza kukaa tu huku watu wamemsubiri labda yeye kaona wanaopiga story ni watu wa OPD wakati mgonjwa yupo wodini hvyi ni vitengo viwili tofauti

Thanks Thanks Quote Reply
Report
  • Thanks
Reactions:You
N

Ntulunga

JF-Expert Member​

Hali ni mbaya katika hospital za serikali,

Huduma ni za taabu sana, Jamani, binadamu kukaguliwa na homa, ni hali ya kawaida, Ila Inapotokea hali hiyo mtu umekaguliwa, basi angalau ukutane na huduma ya haraka!

Kwa sasa, mgonjwa kukaa masaa 6 mapokezi ni hali ya kawaida na masaa manne akisubiri vipimo ni hali ya kawaida! Na ninpoongea hili Niko hospitali moja ya (W) na ninayoandika haya, ndiyo nayaona na yananitokea nikiwa na mgonjwa akiwa na hali mbaya sana, nimefika SAA 1:30 mpaka muda huu wa SAA 4:53 bado sjahudumiwa chochote! Inauma sana!

Na Kwa macho yangu nikiwa hapa hapa, kaletwa mgonjwa, Kwa huduma kucheleweshewa, amefariki akiwa mapokezi! Maana yake inaonyesha hali hii imekita mizizi! Hili halikubaliki jamani,

Hali hii inaweza kumfanya mgonjwa afie mapokezi au akisubiri kipimo Kwa muda mrefu, na hii hali, ni ya rushwa!!

Wahudumu kupiga story wakiwa ofsini na wasijali kama kuna watu wanapaswa kuwahudumia imekuwa ni kawaida

Lakini unajiuliza, Je wao hali kama hiyo ikiwakuta na wao kutokuhudumiwa watajisikiaje..?

Lakini, Kwa nini tunarudi nyuma kwenye kero ambazo tulikuwa tumeanza kuzisahau??

Je, Ni kweli sisi ni watu wa kusukumwa ili tufanye kazi na ndiyo maana ajira za nje zinatutema.?
Click to expand...
Jamaa popoma sana Wafanyakazi wanafanya kazi 24 hours.Lakini bado wanapiga kazi kama Kawa.Yeye ajaribi kukesha hata siku moja aone moto wake.Watanzania ni watu wakulalamika sana.Alitaka akifika ahudumiwe yeye kwanza wengine 100 waachwe.

Thanks Quote Reply
Report
P

Paulsylvester

JF-Expert Member​

Jamaa popoma sana Wafanyakazi wanafanya kazi 24 hours.Lakini bado wanapiga kazi kama Kawa.Yeye ajaribi kukesha hata siku moja aone moto wake.Watanzania ni watu wakulalamika sana.Alitaka akifika ahudumiwe yeye kwanza wengine 100 waachwe.
Click to expand...
Mkuu, unafikiri hali zilizopo hizo! Wananchi wakae kimya tuu Kwa kuogopa nini yani!

Suala sio mtu kupiga kazi masaa 24, suala ni huduma kuwa mbovu!

Unafikiri anayejibu hoja za huduma kuwa mbovu na upungufu wa wafanya kazi ni Nani!?


Nadhani, wewe ndo ungekuja na majibu ya Kwa nini huduma ni mbovu na Nani wa kulaumiwa, sisi wananchi, huwa hatufahamu hicho kiwango cha upungufu wa wafanya kazi, sisi huwa tunaelewa, serikali ikifungua hospital, ikaleta wafanya kazi, basi wananchi kazi yao ni kwenda kupata huduma wakiamini, kila kitu kiko sawa!

Na Kwa nini mnakubali kuwa wachache kuliko inavyotakiwa? Tumlaumu Nani hapa?

Chapeni kazi, acheni kulalamika, na malalamiko mnayeleta nyinyi na Waziri wa hii

Quote Reply
Report Edit Delete

[IMG alt="Toyota escudo"]https://www.jamiiforums.com/data/avatars/m/392/392165.jpg?1500451956[/IMG]

Toyota escudo

JF-Expert Member​

Mgonjwa wa hali mbaya sana, anatakiwa aende kitengo cha dharula moja kwa moja.

Ni kipi kimesababisha wewe usimpeleke mgonjwa wako huko?

Thanks Quote Reply
Report
C

Chifu Sanze

JF-Expert Member​

Mtanikumbuka kwa mazuri si kwa mabaya --- The late JPM
Hata alivyokuwepo yeye huyo mungu wako hali ilikuwa hivyo hivyo, acheni kumtukuza sana huyo mungu wenu.
Ni vyema mkamuombea kwa muumba wake ampunguzie adhabu kwa ukatili mkubwa alioufanya hapa duniani.

Thanks Quote Reply
Report
[IMG alt="Marco Polo"]https://www.jamiiforums.com/data/avatars/m/200/200244.jpg?1395645880[/IMG]

Marco Polo

JF-Expert Member​

Asilimia kubwa ya wafanyakaz wa serikali wanakula mshahara wa bure tu

Thanks Quote Reply
Report
[IMG alt="Bepari2020"]https://www.jamiiforums.com/data/avatars/m/614/614957.jpg?1656658606[/IMG]

Bepari2020

JF-Expert Member​

Mfumo mbovu huu wa kutegemea Rais awajibishe manesi na madaktari wa hospitalini. Wa kulaumiwa ni Nyerere aliyeuleta huu mfomu mbovu ili atawale kidikteta. Kila tatizo tumtegemee alitatue yeye.

Thanks Quote Reply
Report
[IMG alt="MANG'ONYI"]https://www.jamiiforums.com/data/avatars/m/150/150352.jpg?1605610716[/IMG]

MANG'ONYI

JF-Expert Member​

Mfumo mbovu huu wa kutegemea Rais awajibishe manesi na madaktari wa hospitalini. Wa kulaumiwa ni Nyerere aliyeuleta huu mfomu mbovu ili atawale kidikteta. Kila tatizo tumtegemee alitatue yeye.
Tutakuwa watu wa ajabu sana kumlaumu mtu ambaye ameshaondoka zake kitambo kirefu. Ina maana vichwa vyetu ni mafuu ya naszi yaliyojaa maji hatuwezi kufikiri kuboresha kisa tu watangulizi walifanya vile. Kama ni hivyo Nyerere alikuwa na akili sana manake sisi tumeshindwa bado tunamlilia yeye.

Thanks Quote Reply
Report

J

jaranono

JF-Expert Member​

Hali ni mbaya katika hospital za serikali,

Huduma ni za taabu sana, Jamani, binadamu kukaguliwa na homa, ni hali ya kawaida, Ila Inapotokea hali hiyo mtu umekaguliwa, basi angalau ukutane na huduma ya haraka!

Kwa sasa, mgonjwa kukaa masaa 6 mapokezi ni hali ya kawaida na masaa manne akisubiri vipimo ni hali ya kawaida! Na ninpoongea hili Niko hospitali moja ya (W) na ninayoandika haya, ndiyo nayaona na yananitokea nikiwa na mgonjwa akiwa na hali mbaya sana, nimefika SAA 1:30 mpaka muda huu wa SAA 4:53 bado sjahudumiwa chochote! Inauma sana!

Na Kwa macho yangu nikiwa hapa hapa, kaletwa mgonjwa, Kwa huduma kucheleweshewa, amefariki akiwa mapokezi! Maana yake inaonyesha hali hii imekita mizizi! Hili halikubaliki jamani,

Hali hii inaweza kumfanya mgonjwa afie mapokezi au akisubiri kipimo Kwa muda mrefu, na hii hali, ni ya rushwa!!

Wahudumu kupiga story wakiwa ofsini na wasijali kama kuna watu wanapaswa kuwahudumia imekuwa ni kawaida

Lakini unajiuliza, Je wao hali kama hiyo ikiwakuta na wao kutokuhudumiwa watajisikiaje..?

Lakini, Kwa nini tunarudi nyuma kwenye kero ambazo tulikuwa tumeanza kuzisahau??

Je, Ni kweli sisi ni watu wa kusukumwa ili tufanye kazi na ndiyo maana ajira za nje zinatutema.?
Click to expand...
Tutajie hiyo hospitali ili waanze nayo! Huko kuficha inatiashaka kuwa nawe ni mdau ila mishe zimepita chaka!! Sasa tuma jinale
emoji16.png
emoji16.png


Thanks Quote Reply
Report
[IMG alt="The Palm Beach"]https://www.jamiiforums.com/data/avatars/m/346/346459.jpg?1652379053[/IMG]

The Palm Beach

JF-Expert Member​

Mwanza kuna hospitali binafsi inaitwa KAMANGA HOSPITAL. Inasemekana, hii ni hospitali ya madaktari bingwa kadhaa wa BUGANDO walioungana na kutumia fursa ya udhaifu wa huduma mbovu ktk hospitali za umma ili kupiga pesa...

Ni hospitali nzuri sana. Wanatoa huduma katika standard za kimataifa. Mgonjwa ukifika au ukipeleka mgonjwa wako pale namna anavyopokelewa tu inampa tumaini la kupona...

Hawa jamaa [wenye hospitali hizi] kwa kuwa wanahudumu Hospitali za serikali za Bugando na wengine toka hospitali ya rufaa ya mkoa wa Mwanza, Sekotoure wakiku - attend na kuona namna gani vipi, wanakupa appointment ya kwenda kwenye hospitali yao...

Huko wanakuwa tofauti kabisa. Wanakuwa more hospital than wanapokuwa huko serikalini. Na nadhani, hospitali hizi za umma zina matatizo ya ukosefu au upungufu au kutokuwepo kabisa kwa;

✓ Dawa

✓ Vifaa tiba.

✓ Wataalamu mbalimbali mfano CT - SCAN, X - Ray, RMI machine nk nk..

✓ Mlundikano mkubwa au uwingi wa wagonjwa nk nk..

✓ Malipo duni

Kwa sababu hizi, basi efficiency yao inakuwa compromised

Changamoto kubwa ya hospitali za binafsi na za mashirika ya dini kama hii tunayoijadili hapa ni gharama kubwa ya matibabu na vipimo.

Hata hivyo, tukubali tu kuwa, ni kweli kabisa kuwa huduma ktk hospitali za umma au za serikali ni duni/mbovu sana hasa ukosefu au kutokuwepo kwa dawa kabisa...

Mtu anaweza kujiuliza, swali hili;

Kwamba, hivi utaitaje majengo fulani ni "hospitali ya serikali" iwapo wagonjwa wanapokwenda kupata huduma ya matababu ili kuokoa maisha yao wanaishia kutazamwa tu na madaktari huku kukiwa hakuna vipimo wala dawa ktk hosiptali hizo?
 
Mfumo mbovu huu wa kutegemea Rais awajibishe manesi na madaktari wa hospitalini. Wa kulaumiwa ni Nyerere aliyeuleta huu mfomu mbovu ili atawale kidikteta. Kila tatizo tumtegemee alitatue yeye.
Mlitaka Nyerere awatafunie kila kitu ili mje kumeza tuu siyo?

Haya mambo ya kulaumu wazazi ni Kwa nini ni masikini na wakati umezaliwa umekamilika na huna ulemavu, ni upumbavu uliopitiliza
 
daktari mmoja wagonjwa 200 unategemea huduna nzuri hapo?
Mkuu, tunataka Tiba ya jambo hili sasa!

Halafu, mambo ya kulalamika tuu bila kutatua hizo changamito, sio kigezo cha wananchi kuwaona mko sawa!

Na kwa nini mnakubali kuajiriwa kwenye eneo hilo?

Kama mmekubali kuwa wachache, acheni kulalamika, hudumieni kama ilivyo taranta yenu mkuu
 
Mlitaka Nyerere awatafunie kila kitu ili mje kumeza tuu siyo?

Haya mambo ya kulaumu wazazi ni Kwa nini ni masikini na wakati umezaliwa umekamilika na huna ulemavu, ni upumbavu uliopitiliza

Si tulisema zidumu fikra za mwenyekiti? Ndiyo hivyo tena fikra zake zimedumu kweli kama ametuloga. Hata wewe angalia ulivyopaniki baada ya kuambiwa ukweli juu ya Nyerere.
 
Si tulisema zidumu fikra za mwenyekiti? Ndiyo hivyo tena fikra zake zimedumu kweli kama ametuloga. Hata wewe angalia ulivyopaniki baada ya kuambiwa ukweli juu ya Nyerere.
Mkuu, hatuwezi kubaki hapohapo tukiendelea kumlalamikia mtu ambaye hayuko nasi

Yatubidi tuwe watendaji kuliko kunung'unika
 
Enzi za Jiwe na miezi ya mwanzoni ya awamu hii ya Hangaya tulishuhudia Maaskofu wakilalamika kupoteza wateja wa hospitali zao(sio Siri hospitali nyingi hapa nchini wamiliki wake ni makanisa hasa wakatoliki). Walifika hatua wakaomba TRA iwasamehe madeni yao maana wagonjwa wengi wanatibiwa serikalini na hivyo vituo vya afya /hospitali zao hazina wateja kabisa.

Wahaya Wana msemo eti "windo limegeuka sungura anamuwinda mbwa" sasa mambo ni tofauti, wagonjwa wanakimbia kutafuta huduma kwenye hospitali binafsi na bado CHAWA wanampaka mafuta mama kwa mgongo wa chupa mama eti "anaupiga mwingi"
Muda ni hakimu mzuri, subirini hapo hapo mtaona matokeo
 
Hali ni mbaya katika hospital za serikali,

Huduma ni za taabu sana, Jamani, binadamu kukaguliwa na homa, ni hali ya kawaida, Ila Inapotokea hali hiyo mtu umekaguliwa, basi angalau ukutane na huduma ya haraka!

Kwa sasa, mgonjwa kukaa masaa 6 mapokezi ni hali ya kawaida na masaa manne akisubiri vipimo ni hali ya kawaida! Na ninpoongea hili Niko hospitali moja ya (W) na ninayoandika haya, ndiyo nayaona na yananitokea nikiwa na mgonjwa akiwa na hali mbaya sana, nimefika SAA 1:30 mpaka muda huu wa SAA 4:53 bado sjahudumiwa chochote! Inauma sana!

Na Kwa macho yangu nikiwa hapa hapa, kaletwa mgonjwa, Kwa huduma kucheleweshewa, amefariki akiwa mapokezi! Maana yake inaonyesha hali hii imekita mizizi! Hili halikubaliki jamani.

Hali hii inaweza kumfanya mgonjwa afie mapokezi au akisubiri kipimo Kwa muda mrefu, na inakuwa mtu akiwa na mtu anayefahamiana naye, unaona tuu anachukuliwa katikati ya foleni, Mara tu unaona anatoka amekwisha hudumiwa,na hii hali, inashawishi utoaji wa rushwa!!

Wahudumu kupiga story wakiwa ofsini na wasijali kama kuna watu wanapaswa kuwahudumia imekuwa ni kawaida.

Lakini unajiuliza: Je, wao hali kama hiyo ikiwakuta na wao kutokuhudumiwa watajisikiaje?

Lakini, Kwa nini tunarudi nyuma kwenye kero ambazo tulikuwa tumeanza kuzisahau?

Je, Ni kweli sisi ni watu wa kusukumwa ili tufanye kazi na ndiyo maana ajira za nje zinatutema.?
Zitakuaje nzuri wakati kwanza ndio kimbilio la watu wa chini Kwa sababu ya nafuu ya gharama hivyo kupeleka kuwa na msongamano mkubwa..

Pili msongamano unasababishwa na uchache wa vituo vya kutokea huduma,uchache wa watoa huduma nk..

Aidha kuna changamoto za upungufu wa dawa,vitendea kazi na vifaa tiba ..

Nadhani serikali inafanya jitihada za kutatua hili.
 
Acha undezi, hakukuwa na mabadiliko hata kipindi cha jiwe, hali ni mbaya siku zote, CCM mmelaanika kabisa umbwa nyie
Na ndio kipindi ambacho ukithubutu kuonyesha picha za wamama wakiwa wamerundikana kwenye vitanda utaona moto kama sio kupotea kabisa..

Serikali sasa inajitahidi kukabiliana na changamoto hizi,na shida pia ni Kasi ya uzazi ni kubwa kuliko Kasi ya huduma.
 
Tulishauri hospital za umma zifungwe cctv camera ili kubaini uzembe wa watoa huduma
Uzembe upo kwa kiasi ila ukweli ni kwamba wamezidiwa na wingi wa wagonjwa..

Unadhani kwa nini watu hawendi Sana private hospital? Kule gharama ziko juu Sana.
 
Naishauri serikali waitumie hospital ya Ikonda Makete kama sehemu ya kufundishia customer care wahudumu wake kwa vitendo

I dare to say Ikonda Consolata Fathers Hospital is the cleanest and best caring place
Pale kuna wahudumu wa Afya wa kutosha ,hakuna msongamano wala ukosefu wa dawa na vitendea kazi..

Kwa hiyo customer care haihitaji kwenda kujifunza huko bali iwe ni sehemu ya mafunzo huko hospital..

Pia kuna lundo la Taasisi zinazotoa taaluma ya Afya ambazo hazizingatii mafunzo stahiki ,huu ni uzembe wa Serikali kupitia wasimamizi.
 
Back
Top Bottom