Huduma katika hospitali za umma ni mbovu sana na zinatesa wananchi!

Huduma katika hospitali za umma ni mbovu sana na zinatesa wananchi!

MBWA nyie huyo jiwe mbona hakutengeneza mifumo ambayo ingedumu vizazi na vizazi by the way hata enzi zake hakuna kilichokua kimebadilika.
Kwanza hakuajiri watumishi wa kutosha kwenye sekta ya Afya na pia kwa miaka 5 alijenga vituo vya afya 304 na hospital 77 ambazo zilikuwa majengo tuu bila watumishi wala vitendea kazi.
 
Mbona uko na hasira mkuu! Unadhani mchango wako huu unaendana na bandiko la Uzi huu
Toa utaahira wako, kipindi cha Jiwe hadi chanjo za watoto ziliadimika achilia mbali condom..

Na watu hawakuthubutu kuongea wakihifia maisha zaidi ya pambio na taarabu za kitaahira.
 
daktari mmoja wagonjwa 200 unategemea huduna nzuri hapo?
Watu waongew tuu ukweli kwamba Jiwe aliharibu sekta ya Afya,hakuajiri kabisa kiasi kwamba sasa hivi ndio SSH anahangaika kupunguza uhaba kwa ajira za wataalamu zaidi ya 15,000 kwa mpigo..

Jiwe alikuwa anasema anajenga sgr at expense of life of poor people .
 
Hali ni mbaya katika hospital za serikali,

Huduma ni za taabu sana, Jamani, binadamu kukaguliwa na homa, ni hali ya kawaida, Ila Inapotokea hali hiyo mtu umekaguliwa, basi angalau ukutane na huduma ya haraka!

Kwa sasa, mgonjwa kukaa masaa 6 mapokezi ni hali ya kawaida na masaa manne akisubiri vipimo ni hali ya kawaida! Na ninpoongea hili Niko hospitali moja ya (W) na ninayoandika haya, ndiyo nayaona na yananitokea nikiwa na mgonjwa akiwa na hali mbaya sana, nimefika SAA 1:30 mpaka muda huu wa SAA 4:53 bado sjahudumiwa chochote! Inauma sana!

Na Kwa macho yangu nikiwa hapa hapa, kaletwa mgonjwa, Kwa huduma kucheleweshewa, amefariki akiwa mapokezi! Maana yake inaonyesha hali hii imekita mizizi! Hili halikubaliki jamani.

Hali hii inaweza kumfanya mgonjwa afie mapokezi au akisubiri kipimo Kwa muda mrefu, na inakuwa mtu akiwa na mtu anayefahamiana naye, unaona tuu anachukuliwa katikati ya foleni, Mara tu unaona anatoka amekwisha hudumiwa,na hii hali, inashawishi utoaji wa rushwa!!

Wahudumu kupiga story wakiwa ofsini na wasijali kama kuna watu wanapaswa kuwahudumia imekuwa ni kawaida.

Lakini unajiuliza: Je, wao hali kama hiyo ikiwakuta na wao kutokuhudumiwa watajisikiaje?

Lakini, Kwa nini tunarudi nyuma kwenye kero ambazo tulikuwa tumeanza kuzisahau?

Je, Ni kweli sisi ni watu wa kusukumwa ili tufanye kazi na ndiyo maana ajira za nje zinatutema.?
Tujitahid kutoa taarifa za kina, taja jina la hospitali ili wahusika waamini kuwa ni kweli na sio uzushi vinginevyo inaonekana ni uzushi
 
Hatua zimechukuliwa tayari wa wahusika 👇
 

Attachments

  • Screenshot_20220702-155334.png
    Screenshot_20220702-155334.png
    100.9 KB · Views: 2
Tujitahid kutoa taarifa za kina, taja jina la hospitali ili wahusika waamini kuwa ni kweli na sio uzushi vinginevyo inaonekana ni uzushi
Niliyoandika ni sahihi, naamini pia kila mmoja wetu ni shuhuda wa haya, na ndiyo maana kuna mmoja huko katoa sababu za kuwa, watumishi huwa hawapendi kufanya kazi chini ya kiwango, inafanyika hivyo ni kwa sababu wahudumu mahosipitalini ni wachache

Ila swali la kujiuliza, ni kivipi sector binafis zitoe huduma bora, je wao wanajitoshereza wahuhudumu?
 
Ni wapumbavu tuu ndio watamkumbuka kwa sababu hakuna nafuu iliwahi jitokeza ikiwa ni pamoja na Serikali kung'ang'ania maiti Kisa wafiwa kushindwa kulipia,haya yalifanyika awamu ya 5.
Wauza ngada, vyeti feki, wafanyakazi hewa, wazembe na wezi, ni watu wapumbavu sana, na ndiyo hao hawawezi kumkumbuka, ila maumivu ya ujinga wao hawatamsahau mwamba! Na ndio hao wachaache wanaoshinda mitandaoni kumkashifu kiboko yao
 
Naishauri serikali waitumie hospital ya Ikonda Makete kama sehemu ya kufundishia customer care wahudumu wake kwa vitendo

I dare to say Ikonda Consolata Fathers Hospital is the cleanest and best caring place
Usisahau DCMC - DODOMA
 
Watu waongew tuu ukweli kwamba Jiwe aliharibu sekta ya Afya,hakuajiri kabisa kiasi kwamba sasa hivi ndio SSH anahangaika kupunguza uhaba kwa ajira za wataalamu zaidi ya 15,000 kwa mpigo..

Jiwe alikuwa anasema anajenga sgr at expense of life of poor people .
Uharibifu wa jiwe unafahamika mbona!

Waulize wezi wa majina ya watu, yaani vyeti feki, wauza ngada, wezi, wazembe makazini, na wanud
Naishauri serikali waitumie hospital ya Ikonda Makete kama sehemu ya kufundishia customer care wahudumu wake kwa vitendo

I dare to say Ikonda Consolata Fathers Hospital is the cleanest and best caring place
Ushauri mzuri sana huu
 
Hali ni mbaya katika hospital za serikali,

Huduma ni za taabu sana, Jamani, binadamu kukaguliwa na homa, ni hali ya kawaida, Ila Inapotokea hali hiyo mtu umekaguliwa, basi angalau ukutane na huduma ya haraka!

Kwa sasa, mgonjwa kukaa masaa 6 mapokezi ni hali ya kawaida na masaa manne akisubiri vipimo ni hali ya kawaida! Na ninpoongea hili Niko hospitali moja ya (W) na ninayoandika haya, ndiyo nayaona na yananitokea nikiwa na mgonjwa akiwa na hali mbaya sana, nimefika SAA 1:30 mpaka muda huu wa SAA 4:53 bado sjahudumiwa chochote! Inauma sana!

Na Kwa macho yangu nikiwa hapa hapa, kaletwa mgonjwa, Kwa huduma kucheleweshewa, amefariki akiwa mapokezi! Maana yake inaonyesha hali hii imekita mizizi! Hili halikubaliki jamani.

Hali hii inaweza kumfanya mgonjwa afie mapokezi au akisubiri kipimo Kwa muda mrefu, na inakuwa mtu akiwa na mtu anayefahamiana naye, unaona tuu anachukuliwa katikati ya foleni, Mara tu unaona anatoka amekwisha hudumiwa,na hii hali, inashawishi utoaji wa rushwa!!

Wahudumu kupiga story wakiwa ofsini na wasijali kama kuna watu wanapaswa kuwahudumia imekuwa ni kawaida.

Lakini unajiuliza: Je, wao hali kama hiyo ikiwakuta na wao kutokuhudumiwa watajisikiaje?

Lakini, Kwa nini tunarudi nyuma kwenye kero ambazo tulikuwa tumeanza kuzisahau?

Je, Ni kweli sisi ni watu wa kusukumwa ili tufanye kazi na ndiyo maana ajira za nje zinatutema.?
Mkuu tutafika salama na majeraha mengi
 
Mambo ni mazito, jana nilikwenda Sekou Toure-Mwanza, nilikuwa sijaenda pale takribani mwaka hivi, nilifika pale nikakuta wamehamia kwenye jengo jipya la ghorofa.

Cha kusikitisha ni kwamba nilipita kwenye chumba cha dharula kwa ajili ya kupata huduma za kiofisi, ghafla kaletwa mgonjwa wa dharula akiwa amebebwa juu, juu akiwa amepoteza fahamu, nikasikia nesi akiuliza walo mleta;

Nesi:Huyo wa kike au kiume

Walombeba mgonjwa:Wa kiume.

Nesi:Hii wodi ya kiume imejaa, mpelekeni kule wodi ya kike, litakalo kuwa na liwe hatuna vyumba vya kutosha hapa chumba cha dharula.

Mimi nilijua kwakuwa jengo ni jipya labda huduma zitakuwa zimetengamaa, sasa ndiyo uone tupo wapi....
 
Back
Top Bottom