Huduma katika hospitali za umma ni mbovu sana na zinatesa wananchi!

Huduma katika hospitali za umma ni mbovu sana na zinatesa wananchi!

Hali ni mbaya katika hospital za serikali,

Huduma ni za taabu sana, Jamani, binadamu kukaguliwa na homa, ni hali ya kawaida, Ila Inapotokea hali hiyo mtu umekaguliwa, basi angalau ukutane na huduma ya haraka!

Kwa sasa, mgonjwa kukaa masaa 6 mapokezi ni hali ya kawaida na masaa manne akisubiri vipimo ni hali ya kawaida! Na ninpoongea hili Niko hospitali moja ya (W) na ninayoandika haya, ndiyo nayaona na yananitokea nikiwa na mgonjwa akiwa na hali mbaya sana, nimefika SAA 1:30 mpaka muda huu wa SAA 4:53 bado sjahudumiwa chochote! Inauma sana!

Na Kwa macho yangu nikiwa hapa hapa, kaletwa mgonjwa, Kwa huduma kucheleweshewa, amefariki akiwa mapokezi! Maana yake inaonyesha hali hii imekita mizizi! Hili halikubaliki jamani,

Hali hii inaweza kumfanya mgonjwa afie mapokezi au akisubiri kipimo Kwa muda mrefu, na hii hali, ni ya rushwa!!

Wahudumu kupiga story wakiwa ofsini na wasijali kama kuna watu wanapaswa kuwahudumia imekuwa ni kawaida

Lakini unajiuliza, Je wao hali kama hiyo ikiwakuta na wao kutokuhudumiwa watajisikiaje..?

Lakini, Kwa nini tunarudi nyuma kwenye kero ambazo tulikuwa tumeanza kuzisahau??

Je, Ni kweli sisi ni watu wa kusukumwa ili tufanye kazi na ndiyo maana ajira za nje zinatutema.?
Hospital nyingi za serikali hasa za wilayani ni majanga leo nimempeleka wife na mtoto akachomwe chanjo kufika tunaambiwa eti hawana syringe mpaka waagize
 
Hali ni mbaya katika hospital za serikali,

Huduma ni za taabu sana, Jamani, binadamu kukaguliwa na homa, ni hali ya kawaida, Ila Inapotokea hali hiyo mtu umekaguliwa, basi angalau ukutane na huduma ya haraka!

Kwa sasa, mgonjwa kukaa masaa 6 mapokezi ni hali ya kawaida na masaa manne akisubiri vipimo ni hali ya kawaida! Na ninpoongea hili Niko hospitali moja ya (W) na ninayoandika haya, ndiyo nayaona na yananitokea nikiwa na mgonjwa akiwa na hali mbaya sana, nimefika SAA 1:30 mpaka muda huu wa SAA 4:53 bado sjahudumiwa chochote! Inauma sana!

Na Kwa macho yangu nikiwa hapa hapa, kaletwa mgonjwa, Kwa huduma kucheleweshewa, amefariki akiwa mapokezi! Maana yake inaonyesha hali hii imekita mizizi! Hili halikubaliki jamani,

Hali hii inaweza kumfanya mgonjwa afie mapokezi au akisubiri kipimo Kwa muda mrefu, na hii hali, ni ya rushwa!!

Wahudumu kupiga story wakiwa ofsini na wasijali kama kuna watu wanapaswa kuwahudumia imekuwa ni kawaida

Lakini unajiuliza, Je wao hali kama hiyo ikiwakuta na wao kutokuhudumiwa watajisikiaje..?

Lakini, Kwa nini tunarudi nyuma kwenye kero ambazo tulikuwa tumeanza kuzisahau??

Je, Ni kweli sisi ni watu wa kusukumwa ili tufanye kazi na ndiyo maana ajira za nje zinatutema.?
Hii lazima ni Mwananyamara hapo.
 
Yupo mwana jf mmoja alileta kilio chake humu kwa kifo cha binti yake mdogo akiwa amecheleweshewa huduma hospital.

Nchi imekuwa ngumu, no where to breath, sembe 1800 kipande cha sabuni 900, hospital huduma mbovu.

Tumlilie nani.
 
Hali ni mbaya katika hospital za serikali,

Huduma ni za taabu sana, Jamani, binadamu kukaguliwa na homa, ni hali ya kawaida, Ila Inapotokea hali hiyo mtu umekaguliwa, basi angalau ukutane na huduma ya haraka!

Kwa sasa, mgonjwa kukaa masaa 6 mapokezi ni hali ya kawaida na masaa manne akisubiri vipimo ni hali ya kawaida! Na ninpoongea hili Niko hospitali moja ya (W) na ninayoandika haya, ndiyo nayaona na yananitokea nikiwa na mgonjwa akiwa na hali mbaya sana, nimefika SAA 1:30 mpaka muda huu wa SAA 4:53 bado sjahudumiwa chochote! Inauma sana!

Na Kwa macho yangu nikiwa hapa hapa, kaletwa mgonjwa, Kwa huduma kucheleweshewa, amefariki akiwa mapokezi! Maana yake inaonyesha hali hii imekita mizizi! Hili halikubaliki jamani,

Hali hii inaweza kumfanya mgonjwa afie mapokezi au akisubiri kipimo Kwa muda mrefu, na hii hali, ni ya rushwa!!

Wahudumu kupiga story wakiwa ofsini na wasijali kama kuna watu wanapaswa kuwahudumia imekuwa ni kawaida

Lakini unajiuliza, Je wao hali kama hiyo ikiwakuta na wao kutokuhudumiwa watajisikiaje..?

Lakini, Kwa nini tunarudi nyuma kwenye kero ambazo tulikuwa tumeanza kuzisahau??

Je, Ni kweli sisi ni watu wa kusukumwa ili tufanye kazi na ndiyo maana ajira za nje zinatutema.?
Wapinzani walituchelewesha bwana , Acha muisome namba
 
Tulishauri hospital za umma zifungwe cctv camera ili kubaini uzembe wa watoa huduma
Alafu hizo video za kwenye cctv camera atakuwa anaziangalia malaika Gabriel maana watendaji wote kuanzia kwa Hangaya ni wabovuuuuu! Eti "watumishi walimuogopa Simba wa Yuda na kuwa na nidhami ya woga..." hahaha endeleeni kufurahia nidhamu "natural" ya watanzania!
 
Alafu hizo video za kwenye cctv camera atakuwa anaziangalia malaika Gabriel maana watendaji wote kuanzia kwa Hangaya ni wabovuuuuu! Eti "watumishi walimuogopa Simba wa Yuda na kuwa na nidhami ya woga..." hahaha endeleeni kufurahia nidhamu "natural" ya watanzania!
Nidhamu natural ni ya mtu na kazi zake tuu!

Na kama kuna awaye yote aseme eti watumishi wanapaswa wawe na nidhamu bila kusimamiwa na kushushwa cheyo Kwa uzembe, hili halitatokea kwenye ofis zote!

Watu wanaukashifu mfumo wa kusimamiwa Kwa karibu, kushushwa cheyo na kutimliwa Kwa wazembe, ili tuu kuhalalisha uzembe wao ulio kwenye damu zao

Nidhamu ya uwogo ndio kila kitu, maana mtu akitii katika hali ya uwoga, na anafanya kazi, kunakuwa na tatizo lipi Kwa mwajiri?
 
kuna hospitali mfan mtwara referal hospitali inaoaswa kuwa na watumishi 200 ila wapo chini ya 50 unategemea huduna gani?
 
Nidhamu natural ni ya mtu na kazi zake tuu!

Na kama kuna awaye yote aseme eti watumishi wanapaswa wawe na nidhamu bila kusimamiwa na kushushwa cheyo Kwa uzembe, hili halitatokea kwenye ofis zote!

Watu wanaukashifu mfumo wa kusimamiwa Kwa karibu, kushushwa cheyo na kutimliwa Kwa wazembe, ili tuu kuhalalisha uzembe wao ulio kwenye damu zao

Nidhamu ya uwogo ndio kila kitu, maana mtu akitii katika hali ya uwoga, na anafanya kazi, kunakuwa na tatizo lipi Kwa mwajiri?
Ufinyu wa wahudumu, Fikiria mfano hospitari ya rufaa ya mtwara inapaswa kuwa na wahudumu 200+ lakini inao 48 tu, unategemea nini hapo?

jamaa anasema wahudumu wanakaa ofisini kupiga stori sio kweli hakuna mtu anayeweza kukaa tu huku watu wamemsubiri labda yeye kaona wanaopiga story ni watu wa OPD wakati mgonjwa yupo wodini hvyi ni vitengo viwili tofauti
 
Hali ni mbaya katika hospital za serikali,

Huduma ni za taabu sana, Jamani, binadamu kukaguliwa na homa, ni hali ya kawaida, Ila Inapotokea hali hiyo mtu umekaguliwa, basi angalau ukutane na huduma ya haraka!

Kwa sasa, mgonjwa kukaa masaa 6 mapokezi ni hali ya kawaida na masaa manne akisubiri vipimo ni hali ya kawaida! Na ninpoongea hili Niko hospitali moja ya (W) na ninayoandika haya, ndiyo nayaona na yananitokea nikiwa na mgonjwa akiwa na hali mbaya sana, nimefika SAA 1:30 mpaka muda huu wa SAA 4:53 bado sjahudumiwa chochote! Inauma sana!

Na Kwa macho yangu nikiwa hapa hapa, kaletwa mgonjwa, Kwa huduma kucheleweshewa, amefariki akiwa mapokezi! Maana yake inaonyesha hali hii imekita mizizi! Hili halikubaliki jamani,

Hali hii inaweza kumfanya mgonjwa afie mapokezi au akisubiri kipimo Kwa muda mrefu, na hii hali, ni ya rushwa!!

Wahudumu kupiga story wakiwa ofsini na wasijali kama kuna watu wanapaswa kuwahudumia imekuwa ni kawaida

Lakini unajiuliza, Je wao hali kama hiyo ikiwakuta na wao kutokuhudumiwa watajisikiaje..?

Lakini, Kwa nini tunarudi nyuma kwenye kero ambazo tulikuwa tumeanza kuzisahau??

Je, Ni kweli sisi ni watu wa kusukumwa ili tufanye kazi na ndiyo maana ajira za nje zinatutema.?
Jamaa popoma sana Wafanyakazi wanafanya kazi 24 hours.Lakini bado wanapiga kazi kama Kawa.Yeye ajaribi kukesha hata siku moja aone moto wake.Watanzania ni watu wakulalamika sana.Alitaka akifika ahudumiwe yeye kwanza wengine 100 waachwe.
 
Back
Top Bottom