Paulsylvester
JF-Expert Member
- Oct 15, 2021
- 1,464
- 3,379
- Thread starter
-
- #101
Unaonaje mkuu yasipozungumziwa haya, itakuwaje.?Wabongo mara nyingi tunapenda kuwa hasi kwa huduma za umma bila kuingia kwa undani..Ndugu umeandika vizuri ila hujasema ulichobaini kuhusu uwiano wa uwingi wa wagonjwa na wahudumu wa afya...Uwepo wa vitendea kazi na madawa.Tufikirie pia na sisi tunakotoa huduma jee hatuwakwazi wateja wetu???Anyway,naamini hilo ni jambo la uongozi kufanyia kazi mapungufu hayo na kuwasimamia watu wao wa chini kwa karibu kama manesi na madokta ili wasifanye uzembe.
Kilichokuwa kinatakiwa ni kinga ya maradhi sio kujenga magodown ya hospitali.Mtanikumbuka kwa mazuri si kwa mabaya --- The late JPM
AiseeKilichokuwa kinatakiwa ni kinga ya maradhi sio kujenga magodown ya hospitali.
Zipo nchi nyingi gonjwa ni cancer au blood pressure. wamefunga hospitali na kuzigeuza gym au vaccination centers.
Sisi tunakiwa kudhibiti uchafu wa mazingira,utapiamlo,dini za kiini macho,elimu ya uzazazi wa mpango,mazoezi ya viungo n.k
Ukisikia wizara inaongeza hospitali ujue taifa lipo ICU
Mkuu ni rahisi sana kudhibiti magonjwa kuliko tiba.ije serikali na hoja hiyo tunaweza kupunguza gharama by 60% even more.Aisee