Masulupwete
JF-Expert Member
- Feb 15, 2012
- 2,366
- 2,424
Sio Milioni bali ni BILIONI 2 sijui walizopata wapi?Hawa jamaa mi walimiacha hoi walivopeleka milioni kazaa kwa magu halaf apoapo wakaomba wapewe bilion kadhaa jamaa hawa c wazma hawa[emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Sio siri ngoja niende kwenya mada moja kwa moja.
Huu mtandao una matatizo mengi sana kama yafuatayo:
1. Huduma ya T PESA
Aisee huu mtandao kama utatuma hela siku ya Ijumaa usiku ghafla litokee tatizo wallah utakuja kuhudumiwa siku ya Jumatatu.
Hili tatuzo limenipata juzi hapa Ijumaa tarehe 7 yaani nilitamani kulia wallah.
2. Vifurushi
Hawa majamaa ukitaka uende nao sawa kwenye masuala ya MBs nakushauri tafuta kitambulisho cha chuo.
Aisee yaani GB 5 kwa Tsh 5000 mwezi mzima.
3. Vocha
Asikwambie mtu, TTCL hawana vocha aisee. Jana nimeenda pale Makao Makuu niliulizia vocha ya 500 hakuna wanasema zipo za 1,000.
Aisee ukienda kuulizia madukani yaani muuzaji anaweza akashangaa maana hiyo vocha ya TTCL ndiyo kwanza anaisikia kwako.
Kilichonipata jana
Nilijiapiza nikaonane na Afisa Masoko pale Makao Makuu pale Posta ili nimshauri kitu kimoja tu. Yaani nikafika mapokezi nikaonana na mama ana sura ngumu.
Yule mama wa mapokezi aliongea sana mpaka wakati naondoka nikamtukana kwa sauti ya chini. Maana shida yangu nilitaka kuonana na Afisa Masoko au CEO wao.
Nilichotaka kumwambia afisa masoko
Nilitaka nimwambie kama vocha mtaani ni ngumu basi katika option ya kununua bando mteja achague alipe upitia T PESA au salio la kawaida.
Shirika la Jiwe😂😂😂😂😂Hata kitu kiwe cha hovyo namna gani lazima kitapata washabiki,nawaona wanavyotiririka humu kulipaisha shirika la Jiwe,lakini kiukweli TTCL huduma ni mbovu sana
NKAPANYA?!!Naishi Nkapanya na huku ni kama Newyork vile na huu mtandao wa TTCL.
Karibu nakapanya boss.NKAPANYA?!!
Unapatikana wapi?Wewe muongo mkubwa.mimi nimehama tigo nikajiunga na ttcl mambo safi na huwa natumia vocha 500 mb300 bila kikomo. Vocha za 500 kila duka zipo
Sent using Jamii Forums mobile app
Nahisi harufu ya u tecno apa[emoji36][emoji36][emoji36]storage running out ..kanunue simu kwanza ndo urudi apa
Sent using Jamii Forums mobile app
Hebu tujuze mkuu kwa hili. Kwa faida ya wengi wataokokaSimu ina gb 8 ram itakuwa 1:mkuu tatizo ni simu sio TTCL Kwa storage hiyo lazma ije E . ...MAPS GO....GOOGLE GO ogopa hizo simu
Sent using Jamii Forums mobile app
Simu ina gb 8 ram itakuwa 1:mkuu tatizo ni simu sio TTCL Kwa storage hiyo lazma ije E . ...MAPS GO....GOOGLE GO ogopa hizo simu
Sent using Jamii Forums mobile app