Mad Max
JF-Expert Member
- Oct 21, 2010
- 26,961
- 77,890
Natumia TTCL kama mwaka hivi umepita.
Vifurushi vyao sio vizuri sana na havina options nyingi.
Menu yao mfano tu ya kuangalia Salio la Bundle dah ipo ovyo. Yaani ukitaka kuangalia meseji unaangalia peke yake, ukitaka MB peke yake, dakika peke yake.
Speed ya internet sasa. Ikifika jioni hakuna kitu itasoma LTE ila speed ya 2G.
Vifurushi vyao sio vizuri sana na havina options nyingi.
Menu yao mfano tu ya kuangalia Salio la Bundle dah ipo ovyo. Yaani ukitaka kuangalia meseji unaangalia peke yake, ukitaka MB peke yake, dakika peke yake.
Speed ya internet sasa. Ikifika jioni hakuna kitu itasoma LTE ila speed ya 2G.