KERO Huduma ya tiGO Pesa Mastercard kuna changamoto kubwa sana ambayo nimekuwa nikitoa taarifa kwa huduma kwa wateja hawashughulikii

KERO Huduma ya tiGO Pesa Mastercard kuna changamoto kubwa sana ambayo nimekuwa nikitoa taarifa kwa huduma kwa wateja hawashughulikii

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua
A

Anonymous

Guest
Nimeongea leo na huduma kwa wateja wanadai niongee na Kampuni niliyolipia wanipe ARN.

Sasa mbona zamani ilikuwa hakuna mambo kama haya ya ARN ilikuwa muamala ukifeli pesa zinarudi directly Tigopesa. Naongea hivi kwasababu hili tatizo limeanza kutokea kipindi hiki cha week 2 hizi nimefanya miamala mingi bila mafanikio. Nawaomba mfanye marekebisho Kuna hitirafu kwenye upande wa Mastercard...

Nikianza kuorodhesha changamoto
1. Kusitisha card inaleta sms error
2. Kusitisha card inaleta meseji card locked status unchanged
3. Ukifanya muamala ukiwa refunded haufiki kwenye Tigopesa account ni jambo ambalo hapo awali halikuwepo
4. Kufuta card pia imekuwa changamoto pia inaleta error
5. Pia kutengeneza card inaleta kadi haijaundwa Hali ambayo inanilazimu kusajili simcard nyingine kutengeneza card.
Naomba kuwasilisha hizi changamoto mpeleke idara husika kutatua changamoto hizo maana imekuwa mtihani sasahv kufanya huduma mbalimbali kupitia Tigo Mastercard...

NAOMBA KUWASILISHA NA PIA TUNAOMBA UTEKELEZAJI KATIKA HILO TUENDELEE KUTUMIA TIGOPESA MASTERCARD
 
Tulishatoa angalizo, mtandao bora kwa ajili ya malipo ya mtandaoni ni Vodacom kupitia huduma yao ya Mpesa Visa Card.

Kwanza, huduma ya card haipo linked moja kwa moja na mobile wallet. Na muamala ukifeli huwa unarudishwa instantly.

Kama kuna changamoto huwa wanatatua bila kona kona nyingi utaoleta usumbufu kwa mteja.

Airtel ni wezi.
Kwanzaz huduma yao ili kutengeneza card basi unakuwa charged 2000, alafu ukifanya malipo wanakata bado. Alafu ghafla huduma inasitishwa bila taarifa.

Huduma kwa wateja wala hawana uelewa na huduma husika. Yaani ni laymans kabisa. Bogus?.

Pole sana, hamia Vodacom.
 
Kwa malipo ya mtandaoni tumia Visacard ya M pesa. Tigo utakuja kulizwa maana kilichopo kwenye Tigo pesa yako ndio kipo kwenye wallet yako ya Mastercard ikifika siku ya malipo utashituka hela haipo.
 
Nimeongea leo na huduma kwa wateja wanadai niongee na Kampuni niliyolipia wanipe ARN.

Sasa mbona zamani ilikuwa hakuna mambo kama haya ya ARN ilikuwa muamala ukifeli pesa zinarudi directly Tigopesa. Naongea hivi kwasababu hili tatizo limeanza kutokea kipindi hiki cha week 2 hizi nimefanya miamala mingi bila mafanikio. Nawaomba mfanye marekebisho Kuna hitirafu kwenye upande wa Mastercard...

Nikianza kuorodhesha changamoto
1. Kusitisha card inaleta sms error
2. Kusitisha card inaleta meseji card locked status unchanged
3. Ukifanya muamala ukiwa refunded haufiki kwenye Tigopesa account ni jambo ambalo hapo awali halikuwepo
4. Kufuta card pia imekuwa changamoto pia inaleta error
5. Pia kutengeneza card inaleta kadi haijaundwa Hali ambayo inanilazimu kusajili simcard nyingine kutengeneza card.
Naomba kuwasilisha hizi changamoto mpeleke idara husika kutatua changamoto hizo maana imekuwa mtihani sasahv kufanya huduma mbalimbali kupitia Tigo Mastercard...

NAOMBA KUWASILISHA NA PIA TUNAOMBA UTEKELEZAJI KATIKA HILO TUENDELEE KUTUMIA TIGOPESA MASTERCARD
TIGO ni wezi jamani😭😭😭😭
 
Tulishatoa angalizo, mtandao bora kwa ajili ya malipo ya mtandaoni ni Vodacom kupitia huduma yao ya Mpesa Visa Card.

Kwanza, huduma ya card haipo linked moja kwa moja na mobile wallet. Na muamala ukifeli huwa unarudishwa instantly.

Kama kuna changamoto huwa wanatatua bila kona kona nyingi utaoleta usumbufu kwa mteja.

Airtel ni wezi.
Kwanzaz huduma yao ili kutengeneza card basi unakuwa charged 2000, alafu ukifanya malipo wanakata bado. Alafu ghafla huduma inasitishwa bila taarifa.

Huduma kwa wateja wala hawana uelewa na huduma husika. Yaani ni laymans kabisa. Bogus?.

Pole sana, hamia Vodacom.
Mimi nilshahama Tigo na Airtel Kitambo SANA.Huwa Sipendi huduma za ubabaishaji.
 
Je ulipata pesa yako mm pia nmeomba refund alibaba wao wanaona hela imekujq mm siioni nikawapa ARN kwahio nasubiri bado
Hivi pesa uliokua refunded haiwezi ingia direct mpka uwapigie simu au? nna changamoto kma yko apa
 
Tumieni mamlaka husika mtapata haki zenu, nimetumia anuani hizo kupeleka malalamiko yangu pamoja na ushahidi tayari refund yangu 626,000 imerudi, mapambano yalianza toka 28 December 24. Nawashkuru sana BOT.
17225.png
17226.png
 
Back
Top Bottom