Uchaguzi 2020 Huenda CCM na Dkt. Magufuli hawakujiandaa kwa upinzani huu

Naangalia mkutano wa jpm kawe, nafikiri upinzani hamjaamka toka usingizi wa pono! Kwa kuanza tu sidhani kama dar mna chenu...
 
Yaani jamaa kaandika nimemzarau sana Yaani huyo Dah
 
Ina maana ccm ilimuandaa ba j?? Wewe ni kilaza mzoefu
 
Mungu Hadhihakiwi
 
CCM imejiandaa vizuri Sana, kwa mambo yaliyofanywa na serikali ya Magufuli hayaitaji nguvu Sana kujinadi wananchi wamemkubali na kumuelewa Magufuli pasipo kutumia nguvu hiyo mwandishi unayohitaji..
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ™Š
 
Mkuu, succession plan ingekuwepo kusingekuwa na mivutano kiasi kile.

Kwa J.K, tunaona kabisa aliandaliwa, na iko wazi!
 
Tunaoteseka na kukosa fao la kujitoa mpaka sasa hatujapata stahiki zetu.... Tuna jambo letu 28/10.

Tupige kura kwa wingi tuwaondoe hawa madhalimu....
 
Hiyo ndio sababu ya Visa vyote hivyo,Sasa msichokijua ni kuwa mnazidi kuwaudhi wanaowawezesha nyie Kula,au wapiga kura.
Walifikiri JK, BWM, watangulizi wake walikuwa mapoyoyo, kwa kujaribu kuwa na staha na uvumilivu na lugha ya kubembeleza wapiga kura, lugha isiyo na vitisho, wala kejeli wala ubaguzi wa wazi.

Wakae wajitafakari, inafikia mahala watu wanachoka, ndiyo maana watu hupigania uhuru hata walishapata uhuru toka kwa wakoloni.

Everyday is Saturday............................... 😎
 
Wanajidanganyaga Wanajidanganyaga Sana Hawa.
Ingekua hivyo Lowassa asingehangaika hivyo kutafuta urais.
Na urafiki wake na Kikwete usinge yumba.
 
Kila 'SUB' wanayofanya CHADEMA ni moto wa kuotea mbali.
 
Una hakika kama Magufuli aliandaliwa na ccm?

Sent from my Nokia 6.1 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…