Gwajima simwelewi kabisa, huyu jamaa anayetangaza kuwa anao uwezo wa kufanya miujiza, hata kufufua wafu anashindwaje kupata kura za miujiza????.... Atumie neno lilomuweka mjini miaka yote aache uzembe.Hali mbaya, Gwajima anaongea kwa sauti ya kinyonge kama hajala wiki mbili, kazi wanayo.