Uchaguzi 2020 Huenda CCM na Dkt. Magufuli hawakujiandaa kwa upinzani huu

Uchaguzi 2020 Huenda CCM na Dkt. Magufuli hawakujiandaa kwa upinzani huu

Umeongea mengi mazuri sana ila la kuhusu Membe umekosea. Membe alitaka kweli kumng'oa Jiwe kupitia humohumo ndani ya CCM, sama bahati mbaya Jiwe alisaidiwa na usalama kuzima higo attempt la sivyo walikuwa wameshamuweka kwenye corner.

CCM wangekuwa na akili wasingemsumbua Membe kwa kumfungia vyazo vyake vya pesa ili azitumie pesa hizo kupiga kampeni, Kama angepiga kampeni huenda angegawa kura za Lissu hasa mikoa ya kusini.

But Membe ni mtu mwenye akili sana, na tangu alipoingia upinzani alisema wazi kuwa yuko tayari kuungana na yeyote mwenye nguvu ili kumng'oa Jiwe. It seems Membe ameamua kwa dhati kumuunga mkono Lissu, na mbinu aliyotumia ni kuacha kufanya kampeni ili kumsaidia Lissu.

Kama Membe angekuwa ni CCM, basi CCM wangemuwezesha kwa kumpa hela ya kampeni ili kugawa kura za Lissu
 
Subirini kunyolewa October 28, ni JPM TENA MIAKA MITANO TENAAA.

October 28 kura zote kwa JPM

JPM ANATOSHA
CCM KWA MAENDELEO YA TANZANIA
 
Kitu pekee ninacho kipenda CCM wana mikakati ya kudumu na endelevu.

Mfano: kabla hata rais kutoka madarakani huwa kuna kijana anaandaliwa zaidi ya miaka mitano a kuwa mgombea wa urais miaka ijayo.
Na hii ndio hufanya CCM kuwa stable kila Mwaka.

Lakini hili kimbilio la wapotevu "CHADEMA" hawajawahi kuwa na long plan yeyote ili kusaidia chama chao.
Bali wao hujikuta tu anayetaka kuwa mgombea wao wa urais anajichagua tu kama mnaada vile.

Angali mh. Lowassa katoka zake CCM kaenda mnadani CHADEMA akasema nataka kuwa rais WAKAMKUBALIA..akakosa urais akaamua kusepa zake "Wakabaki midomo wazi" hahaha [emoji23]
tuondolee utopolo wako hapa.
 
Wanajamvi Salam,

Zikiwa zimebaki siku kumi na nne (14) tu kwenda kushuhudia historia ikiandikwa Tanzania, kwa ama wananchi kuendelea kuchagua ccm ambayo kiukweli imeshindwa kutatua matatizo yanayowakabili watanzania walio wengi au wananchi kwenda kuchagua Uhuru Haki na Maendeleo yao kwa kufanya mabadiliko ya uongozi hasa katika nafasi nyeti ya uraisi wa jamuhuri ya Muungano wa Tanzania

Kampeni za vyama vyote shindani zinaendelea na huku wadadisi na wachambuzi wa kisiasa wakipima upepo wa kisiasa hasa kwa kuangalia Sera za vyama vyote na idadi ya watu wanaohudhuria katika mikutano ya kampeni kwa vyama tofauti. Hali imekuwa si shwari kwa chama tawala, imekuwa kana kwamba wanapumulia mashine. Kampeni zao zimekuwa zikiratibiwa kwa kiasi kikubwa nje ya chama, hapa nikimaanisha kwa kutumia vyombo vya Dora pamoja na wasanii. Huku upande wa chama kikuu Cha upinzani CHADEMA Mambo ni bul bul. Hali hii imekuja baada ya ccm kukosea hapa

1. Wamefanya siasa kwa miaka mitano peke yao, hivyo ni Kama vile wananchi wamewachoka, wananchi wanataka kusikia mawazo mapya. Wanataka kusikia kile ambacho walikuwa wanafichwa kuambiwa kwa miaka mitano huku ccm wakisema peke yao. Ndiyo maana unaona kwenye mikutano ya chama kikuu Cha upinzani wananchi wanajazana pasi na aina yoyote ya ushawishi wa wasanii. Kwenye hili ccm imewakinaisha wananchi hivyo wanataka mawazo mapya.

2. Kizazi kilichokuwa ccm kufa na kuzikana kinazidi kuisha. Wale wazee waliokuwa 60+ mwaka 2015 wakati Magufuli anaingia madarakani wamezidi kuisha, hivyo kuja damu mpya ambayo bado haioni hayo maendeleo ambayo ccm wanajivuna kuwaletea wananchi zaidi ya maumivu makali kila uchwao.

3. Ccm wanecheza karata mbaya kwa Bernard Kamiliud Membe. Najua hii ndiyo ilikuwa kete pekee ya ccm kwenye uchaguzi huu. Maandalizi makubwa waliyafanya hapa kwa kumuweka Membe kuwa Kama kibaraka kwa wapinzani, lakini CHADEMA waliliona hilo wakaruka kihunzi hicho. Rejea maneno ya Membe baada ya kikao maalumu Cha kuhojiwa na kamati ya nidhamu ya chama. " Tumeongea Mambo mazuri kwa mustakabari wa taifa letu na chama chetu." Lakini pia wanaccm waliokuwa wakimshinikiza Membe kwenda upinzani walikuwa ni wengi kuliko upinzani wenyewe. Hii maana yake walijipanga kwenye hili.

4. Magufuli amechagua timu mbovu ya kampeni ambayo haina uzoefu na masuala haya ya pilika pilika. Watu wengi ikiwemo Mimi, tulitarajia kwenye timu ya kampeni ya ccm mwaka huu wangeweka full mkoko. Pale Kuna Nape, Makamba, Mzee Mangula pamoja na viongozi wengine wabobezi ndanibya chama. Lakini uwepo wa watu Kama Polepole na Bashiru kumefanya timu ya kampeni kupwaya sana ndani ya CCM. Angalia hata upangaji wa ratiba tu unawacost.

Sioni wapi CCM watashinda iwapo uchaguzi huu utafanywa kwa kufuata misingi ya Sheria ambazo wao wenyewe ndiyo wameziweka. Iwapo tume watakuwa tayari kumtangaza hata wasiyempenda, sioni CCM watashinda vipi.

Asalam Alleykum
Kigogo anasema, msione kimya kuna timu ya kina nape makamba junior na wengine, wapo mafichoni dodoma wakiset mitambo ili kuchakachua matokeo kabla hayajafika tume
 
CCM walitumia miaka mitano kununua wabunge na madiwani wenye njaa wa upinzani...wakajenga chuki ndani ya chama chao kati ya wahamiaji na wafia chama...wahamiaji wakafika na kuanza kula kuku huku wafia chama wakilalia dona bamia.

Wakafikiri kazi imeisha sasa kimbuga hiki kinamuondoa mtu magogoni...
 
 
Jakaya alikuwa anatumbukiza kipande cha Mkate kwenye banda waparulane wao kwa wao

mf. Alihakikisha Mbowe hakosi kupata kandarasi ya ubebaji wa vifurushi pale KIA, hakosi matangazo kwny Tanzania Daima lake, halipi kodi ya NHC pale bilicanus, Zitto akawa mwenykt wa kudumu wa PAC n.k

, Wazalendo walipoingia wakawa wanamtoa kuku mmoja wanampa mkate ale, matokeo yake waliobaki wakawa wanazidi kuwa wamoja kwa kuwa njaa inawaunganisha
CCM walitumia miaka mitano kununua wabunge na madiwani wenye njaa wa upinzani...wakajenga chuki ndani ya chama chao kati ya wahamiaji na wafia chama...wahamiaji wakafika na kuanza kula kuku huku wafia chama wakilalia dona bamia.

Wakafikiri kazi imeisha sasa kimbuga hiki kinamuondoa mtu magogoni...
 
Kitu pekee ninacho kipenda CCM wana mikakati ya kudumu na endelevu.

Mfano: kabla hata rais kutoka madarakani huwa kuna kijana anaandaliwa zaidi ya miaka mitano a kuwa mgombea wa urais miaka ijayo.
Na hii ndio hufanya CCM kuwa stable kila Mwaka.

Lakini hili kimbilio la wapotevu "CHADEMA" hawajawahi kuwa na long plan yeyote ili kusaidia chama chao.
Bali wao hujikuta tu anayetaka kuwa mgombea wao wa urais anajichagua tu kama mnaada vile.

Angali mh. Lowassa katoka zake CCM kaenda mnadani CHADEMA akasema nataka kuwa rais WAKAMKUBALIA..akakosa urais akaamua kusepa zake "Wakabaki midomo wazi" hahaha [emoji23]
Sasa mbona Magufuli anaongea ovyo kama si rais mpaka leo?
 
Wanajamvi Salam,

Zikiwa zimebaki siku kumi na nne (14) tu kwenda kushuhudia historia ikiandikwa Tanzania, kwa ama wananchi kuendelea kuchagua ccm ambayo kiukweli imeshindwa kutatua matatizo yanayowakabili watanzania walio wengi au wananchi kwenda kuchagua Uhuru Haki na Maendeleo yao kwa kufanya mabadiliko ya uongozi hasa katika nafasi nyeti ya uraisi wa jamuhuri ya Muungano wa Tanzania

Kampeni za vyama vyote shindani zinaendelea na huku wadadisi na wachambuzi wa kisiasa wakipima upepo wa kisiasa hasa kwa kuangalia Sera za vyama vyote na idadi ya watu wanaohudhuria katika mikutano ya kampeni kwa vyama tofauti. Hali imekuwa si shwari kwa chama tawala, imekuwa kana kwamba wanapumulia mashine. Kampeni zao zimekuwa zikiratibiwa kwa kiasi kikubwa nje ya chama, hapa nikimaanisha kwa kutumia vyombo vya Dora pamoja na wasanii. Huku upande wa chama kikuu Cha upinzani CHADEMA Mambo ni bul bul. Hali hii imekuja baada ya ccm kukosea hapa

1. Wamefanya siasa kwa miaka mitano peke yao, hivyo ni Kama vile wananchi wamewachoka, wananchi wanataka kusikia mawazo mapya. Wanataka kusikia kile ambacho walikuwa wanafichwa kuambiwa kwa miaka mitano huku ccm wakisema peke yao. Ndiyo maana unaona kwenye mikutano ya chama kikuu Cha upinzani wananchi wanajazana pasi na aina yoyote ya ushawishi wa wasanii. Kwenye hili ccm imewakinaisha wananchi hivyo wanataka mawazo mapya.

2. Kizazi kilichokuwa ccm kufa na kuzikana kinazidi kuisha. Wale wazee waliokuwa 60+ mwaka 2015 wakati Magufuli anaingia madarakani wamezidi kuisha, hivyo kuja damu mpya ambayo bado haioni hayo maendeleo ambayo ccm wanajivuna kuwaletea wananchi zaidi ya maumivu makali kila uchwao.

3. Ccm wanecheza karata mbaya kwa Bernard Kamiliud Membe. Najua hii ndiyo ilikuwa kete pekee ya ccm kwenye uchaguzi huu. Maandalizi makubwa waliyafanya hapa kwa kumuweka Membe kuwa Kama kibaraka kwa wapinzani, lakini CHADEMA waliliona hilo wakaruka kihunzi hicho. Rejea maneno ya Membe baada ya kikao maalumu Cha kuhojiwa na kamati ya nidhamu ya chama. " Tumeongea Mambo mazuri kwa mustakabari wa taifa letu na chama chetu." Lakini pia wanaccm waliokuwa wakimshinikiza Membe kwenda upinzani walikuwa ni wengi kuliko upinzani wenyewe. Hii maana yake walijipanga kwenye hili.

4. Magufuli amechagua timu mbovu ya kampeni ambayo haina uzoefu na masuala haya ya pilika pilika. Watu wengi ikiwemo Mimi, tulitarajia kwenye timu ya kampeni ya ccm mwaka huu wangeweka full mkoko. Pale Kuna Nape, Makamba, Mzee Mangula pamoja na viongozi wengine wabobezi ndanibya chama. Lakini uwepo wa watu Kama Polepole na Bashiru kumefanya timu ya kampeni kupwaya sana ndani ya CCM. Angalia hata upangaji wa ratiba tu unawacost.

Sioni wapi CCM watashinda iwapo uchaguzi huu utafanywa kwa kufuata misingi ya Sheria ambazo wao wenyewe ndiyo wameziweka. Iwapo tume watakuwa tayari kumtangaza hata wasiyempenda, sioni CCM watashinda vipi.

Asalam Alleykum
Hawakujua...hawakujua....FidQ 2010
 
Kwahiyo una maana hata jiwe aliaandaliwa kuwa Rais miaka mitano nyuma?
Kumbuka alisema yeye alikuwa anajaribu tu lakini akasukumiziwa ndani
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent from my Infinix X680 using JamiiForums mobile app
Kama magu ndio kaandaliwa hao wengine ndani ya hicho cham sijui wana sifa gani?
 
Wanajamvi Salam,

Zikiwa zimebaki siku kumi na nne (14) tu kwenda kushuhudia historia ikiandikwa Tanzania, kwa ama wananchi kuendelea kuchagua ccm ambayo kiukweli imeshindwa kutatua matatizo yanayowakabili watanzania walio wengi au wananchi kwenda kuchagua Uhuru Haki na Maendeleo yao kwa kufanya mabadiliko ya uongozi hasa katika nafasi nyeti ya uraisi wa jamuhuri ya Muungano wa Tanzania

Kampeni za vyama vyote shindani zinaendelea na huku wadadisi na wachambuzi wa kisiasa wakipima upepo wa kisiasa hasa kwa kuangalia Sera za vyama vyote na idadi ya watu wanaohudhuria katika mikutano ya kampeni kwa vyama tofauti. Hali imekuwa si shwari kwa chama tawala, imekuwa kana kwamba wanapumulia mashine. Kampeni zao zimekuwa zikiratibiwa kwa kiasi kikubwa nje ya chama, hapa nikimaanisha kwa kutumia vyombo vya Dora pamoja na wasanii. Huku upande wa chama kikuu Cha upinzani CHADEMA Mambo ni bul bul. Hali hii imekuja baada ya ccm kukosea hapa

1. Wamefanya siasa kwa miaka mitano peke yao, hivyo ni Kama vile wananchi wamewachoka, wananchi wanataka kusikia mawazo mapya. Wanataka kusikia kile ambacho walikuwa wanafichwa kuambiwa kwa miaka mitano huku ccm wakisema peke yao. Ndiyo maana unaona kwenye mikutano ya chama kikuu Cha upinzani wananchi wanajazana pasi na aina yoyote ya ushawishi wa wasanii. Kwenye hili ccm imewakinaisha wananchi hivyo wanataka mawazo mapya.

2. Kizazi kilichokuwa ccm kufa na kuzikana kinazidi kuisha. Wale wazee waliokuwa 60+ mwaka 2015 wakati Magufuli anaingia madarakani wamezidi kuisha, hivyo kuja damu mpya ambayo bado haioni hayo maendeleo ambayo ccm wanajivuna kuwaletea wananchi zaidi ya maumivu makali kila uchwao.

3. Ccm wanecheza karata mbaya kwa Bernard Kamiliud Membe. Najua hii ndiyo ilikuwa kete pekee ya ccm kwenye uchaguzi huu. Maandalizi makubwa waliyafanya hapa kwa kumuweka Membe kuwa Kama kibaraka kwa wapinzani, lakini CHADEMA waliliona hilo wakaruka kihunzi hicho. Rejea maneno ya Membe baada ya kikao maalumu Cha kuhojiwa na kamati ya nidhamu ya chama. " Tumeongea Mambo mazuri kwa mustakabari wa taifa letu na chama chetu." Lakini pia wanaccm waliokuwa wakimshinikiza Membe kwenda upinzani walikuwa ni wengi kuliko upinzani wenyewe. Hii maana yake walijipanga kwenye hili.

4. Magufuli amechagua timu mbovu ya kampeni ambayo haina uzoefu na masuala haya ya pilika pilika. Watu wengi ikiwemo Mimi, tulitarajia kwenye timu ya kampeni ya ccm mwaka huu wangeweka full mkoko. Pale Kuna Nape, Makamba, Mzee Mangula pamoja na viongozi wengine wabobezi ndanibya chama. Lakini uwepo wa watu Kama Polepole na Bashiru kumefanya timu ya kampeni kupwaya sana ndani ya CCM. Angalia hata upangaji wa ratiba tu unawacost.

Sioni wapi CCM watashinda iwapo uchaguzi huu utafanywa kwa kufuata misingi ya Sheria ambazo wao wenyewe ndiyo wameziweka. Iwapo tume watakuwa tayari kumtangaza hata wasiyempenda, sioni CCM watashinda vipi.

Asalam Alleykum
Nimesoma mada yako lakini nashindwa kukuelewa. Mara umesema imechoka kwa kuwashikilia wakongwe, huku vijana wakiachwa nyuma. Wakati huo huo unalaumu timu ya wabobevu wake na Makamba na Mangula kuachwa, lakini tena unawebeza vijana wake na Bashiru na Polepole. Au wewe ni bora kuandika nikiwa namaana wewe ni kuponda bila kuangalia unajiponda.

Mimi nakubaliana na wewe kuwa CCM kabla ya Magufuli ilikuwa imeshindwa kutatua matatizo ya watu na ilijikita katika ufisadi na wizi. CCM sasa hivi wamejitahidi kuondoa ufisadi na wizi, lakini tukumbuke kuwa hiyo siyo kazi yenye mafanikio ya siku moja. Mimi naweza kusema bila kuongopa wala kukosea kuwa wizi na ufisadi hautaweza kufutwa Tanzania au nchi yopyopte duniani. Tunachojitahidi ni kuupunguza kufika kiwango kidogo. Anayedhani wizi na ufisadi utafutwa anaota ndoto ya mchana. Kumbuka Uarabuni wezi na mafisadi hukatwa mikono au kunyongwa lakini bado hayo yapo. Huko (Ulaya/USA) tunakodhani ufisadi na wizi hakuna, lakini ukweli ni kuwa upo. Lengo ni kufuta, lakini ipo kazi. Upinzani nao nina hakika na imani wakipata uongozi watajitahidi kuwa na lengo la kuutokomeza ufisadi na wizi, lakini hilo litabaki kuwa lengo, ukweli ni kuwa hao ndiyo watakaokuwa na njaa kali na kwa hiyo watashambulia mali na rasilimali yetu kama fisi anayeshambulia mzoga. Mtu kama Mbowe ambaye anaimaliza ruzuku ya CHADEMA kwa ujanjaujanja umkabithi sehemu yenye mwanya kuiba eti aziache.
 
Wanajamvi Salam,

Zikiwa zimebaki siku kumi na nne (14) tu kwenda kushuhudia historia ikiandikwa Tanzania, kwa ama wananchi kuendelea kuchagua ccm ambayo kiukweli imeshindwa kutatua matatizo yanayowakabili watanzania walio wengi au wananchi kwenda kuchagua Uhuru Haki na Maendeleo yao kwa kufanya mabadiliko ya uongozi hasa katika nafasi nyeti ya uraisi wa jamuhuri ya Muungano wa Tanzania

Kampeni za vyama vyote shindani zinaendelea na huku wadadisi na wachambuzi wa kisiasa wakipima upepo wa kisiasa hasa kwa kuangalia Sera za vyama vyote na idadi ya watu wanaohudhuria katika mikutano ya kampeni kwa vyama tofauti. Hali imekuwa si shwari kwa chama tawala, imekuwa kana kwamba wanapumulia mashine. Kampeni zao zimekuwa zikiratibiwa kwa kiasi kikubwa nje ya chama, hapa nikimaanisha kwa kutumia vyombo vya Dora pamoja na wasanii. Huku upande wa chama kikuu Cha upinzani CHADEMA Mambo ni bul bul. Hali hii imekuja baada ya ccm kukosea hapa

1. Wamefanya siasa kwa miaka mitano peke yao, hivyo ni Kama vile wananchi wamewachoka, wananchi wanataka kusikia mawazo mapya. Wanataka kusikia kile ambacho walikuwa wanafichwa kuambiwa kwa miaka mitano huku ccm wakisema peke yao. Ndiyo maana unaona kwenye mikutano ya chama kikuu Cha upinzani wananchi wanajazana pasi na aina yoyote ya ushawishi wa wasanii. Kwenye hili ccm imewakinaisha wananchi hivyo wanataka mawazo mapya.

2. Kizazi kilichokuwa ccm kufa na kuzikana kinazidi kuisha. Wale wazee waliokuwa 60+ mwaka 2015 wakati Magufuli anaingia madarakani wamezidi kuisha, hivyo kuja damu mpya ambayo bado haioni hayo maendeleo ambayo ccm wanajivuna kuwaletea wananchi zaidi ya maumivu makali kila uchwao.

3. Ccm wanecheza karata mbaya kwa Bernard Kamiliud Membe. Najua hii ndiyo ilikuwa kete pekee ya ccm kwenye uchaguzi huu. Maandalizi makubwa waliyafanya hapa kwa kumuweka Membe kuwa Kama kibaraka kwa wapinzani, lakini CHADEMA waliliona hilo wakaruka kihunzi hicho. Rejea maneno ya Membe baada ya kikao maalumu Cha kuhojiwa na kamati ya nidhamu ya chama. " Tumeongea Mambo mazuri kwa mustakabari wa taifa letu na chama chetu." Lakini pia wanaccm waliokuwa wakimshinikiza Membe kwenda upinzani walikuwa ni wengi kuliko upinzani wenyewe. Hii maana yake walijipanga kwenye hili.

4. Magufuli amechagua timu mbovu ya kampeni ambayo haina uzoefu na masuala haya ya pilika pilika. Watu wengi ikiwemo Mimi, tulitarajia kwenye timu ya kampeni ya ccm mwaka huu wangeweka full mkoko. Pale Kuna Nape, Makamba, Mzee Mangula pamoja na viongozi wengine wabobezi ndanibya chama. Lakini uwepo wa watu Kama Polepole na Bashiru kumefanya timu ya kampeni kupwaya sana ndani ya CCM. Angalia hata upangaji wa ratiba tu unawacost.

Sioni wapi CCM watashinda iwapo uchaguzi huu utafanywa kwa kufuata misingi ya Sheria ambazo wao wenyewe ndiyo wameziweka. Iwapo tume watakuwa tayari kumtangaza hata wasiyempenda, sioni CCM watashinda vipi.

Asalam Alleykum
Siongezi neno
 
Nimesoma mada yako lakini nashindwa kukuelewa. Mara umesema imechoka kwa kuwashikilia wakongwe, huku vijana wakiachwa nyuma. Wakati huo huo unalaumu timu ya wabobevu wake na Makamba na Mangula kuachwa, lakini tena unawebeza vijana wake na Bashiru na Polepole. Au wewe ni bora kuandika nikiwa namaana wewe ni kuponda bila kuangalia unajiponda.

Mimi nakubaliana na wewe kuwa CCM kabla ya Magufuli ilikuwa imeshindwa kutatua matatizo ya watu na ilijikita katika ufisadi na wizi. CCM sasa hivi wamejitahidi kuondoa ufisadi na wizi, lakini tukumbuke kuwa hiyo siyo kazi yenye mafanikio ya siku moja. Mimi naweza kusema bila kuongopa wala kukosea kuwa wizi na ufisadi hautaweza kufutwa Tanzania au nchi yopyopte duniani. Tunachojitahidi ni kuupunguza kufika kiwango kidogo. Anayedhani wizi na ufisadi utafutwa anaota ndoto ya mchana. Kumbuka Uarabuni wezi na mafisadi hukatwa mikono au kunyongwa lakini bado hayo yapo. Huko (Ulaya/USA) tunakodhani ufisadi na wizi hakuna, lakini ukweli ni kuwa upo. Lengo ni kufuta, lakini ipo kazi. Upinzani nao nina hakika na imani wakipata uongozi watajitahidi kuwa na lengo la kuutokomeza ufisadi na wizi, lakini hilo litabaki kuwa lengo, ukweli ni kuwa hao ndiyo watakaokuwa na njaa kali na kwa hiyo watashambulia mali na rasilimali yetu kama fisi anayeshambulia mzoga. Mtu kama Mbowe ambaye anaimaliza ruzuku ya CHADEMA kwa ujanjaujanja umkabithi sehemu yenye mwanya kuiba eti aziache.
unalalamika , unalia au unabisha ?
 
Wadada, wamama na mashangazi weusi wote, tunajambo letu hiyo tarehe!!!
Tuliosimgiziwa vyeti feki, wanafunzi 10000 tuliofukuziwa kwenye giza usku UDOM na kuitwa vilaza tuna jambo letu 0October 28 .Tuliopigwa na polisi, tuliopotezewa ndugu zetu MKIRu tumejiandaa kupambana na wezi wa kura come 28!
 
Walijiandaa kuuwa upinzani matokeo yake wanakufa wao trh 28 kwenye sanduku.
ccm haiwezi kukabidhi madaraka kiurahisi rahisi namna hiyo

kitakachofanyika Tanzania kwenye mabadiliko ya uongozi kitafanana na yaliyotokea Kenya

Anakufa baba anazaliwa mwana

ccm wakiona wamechokwa kwa asilimia zaidi ya 60%, kitatengenezwa chama cha upinzani chenye nguvu zaidi ya chama chochote nchini na kukabidhiwa madaraka

Watabakia ccm walewale ila jina tu ndio litakuwa limebadilika
 
Kama magu ndio kaandaliwa hao wengine ndani ya hicho cham sijui wana sifa gani?
Katibu Mkuu wa CCM mwenyewe kasema kuna tatizo CCM vijana hawaandaliwi.

Rejea Bashiru alivyomzodoa Makonda baada ya Makonda kuharibu hotuba ya tazia kwa Marehemu Reginald Mengi.

Halafu anakuja kifulambute anakwambia CCM inaandaa viongozi.

Ina maana huyu anayesemq hilo anaijua CCM kuliko Katibu Mkuu wa CCM?
 
Back
Top Bottom