Uchaguzi 2020 Huenda CCM na Dkt. Magufuli hawakujiandaa kwa upinzani huu

Hali mbaya, Gwajima anaongea kwa sauti ya kinyonge kama hajala wiki mbili, kazi wanayo.
Gwajima simwelewi kabisa, huyu jamaa anayetangaza kuwa anao uwezo wa kufanya miujiza, hata kufufua wafu anashindwaje kupata kura za miujiza????.... Atumie neno lilomuweka mjini miaka yote aache uzembe.
 
Jidanganye,sio rahisi kihivo,
 
Pumba.. kwahio magu aliandaliwa au alisukumizwa
 
Gwajima simwelewi kabisa, huyu jamaa anayetangaza kuwa anao uwezo wa kufanya miujiza, hata kufufua wafu anashindwaje kupata kura za miujiza????.... Atumie neno lilomuweka mjini miaka yote aache uzembe.
Anakosaje nguvu za kuzuia mafuriko jimbo lake la ugombea?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…