Huenda Christina Shusho amechanganyikiwa au amelogwa?

Miaka ya 90 mwishoni Anko wangu alikuwa na ugomvi mkubwa na mkewe baada ya mkewe kubadili dini toka RC kwenda SDA. Siku moja mida ya mchana akapata ugeni kutoka SDA church.. anko aliwapokea vizuri na kuwakaribisha sebuleni. Walikuwepo watu wa makamo kadhaa na jamaa mwingine ambaye alikuwa kijana kama wa early 30s. Yule kijana ndo alikuwa mzungumzaji mkuu kumshauri anko kuhusu mambo ya ndoa na mambo mengine ya kiimani. Mwisho wa mazungumzo Anko akamuuliza kijana kama ameoa... akajibu HAJAOA na bado yupo chuo anasomea uchungaji. Anko alipandwa na hasira na kuanza kutembeza mkong'oto kwa huyo dogo na waliokuwepo. Walifanikiwa kukimbia ila hawakuwahi kurudi tena kwa ishu ya ushauri.

KIMSINGI Christina akiwa kama malaya wa karne amekengeuka kabisa. Hafai kusikilizwa na mstaarabu yeyote. Hao waumini wa kanisa lake ni misukule kama ilivyo misukule mingine.
 
She is a BTCH ila anajifichia kwenye dini, Samwel Sitta alikula sana mpaka akatungiwa na wimbo
 
sasa muelekeo umebadilika na kuwa kutafuta followers kwenye social media, kutrend kibongo flavour, kutengeneza kick na kuupiga chini ulokole mazima.
Mwelekeo umebadilika baada ya hilo kanisa kuwa mali ya Wasafi media.

Christina ni lishangazi linalotumiwa na Wasafi media kuleta wateja wa kilokole kwa Mond.
 
Amechanganyikiwa kwa sababu anawaza tofauti na watu wengine? Au kwa sababu anawaza tofauti na wewe?
Soma andika langu vyema utanielewa.
Yaani Christina anasema Mungu amempa wito ambao ndani yake unamtaka avunje ndoa yake!

Pia anasema wito wake ni uchungaji, lakini hapo hapo anachukia mnoo kuitwa mchungaji!
 
Mwanamke alishaangushwa kitambo kule eden na anatumiwa sana na shetani, hakuna jipya leo hii.
 
Malaya tu kama Malaya wengine aliona atabanwa katika kudanga kwake
Mimi nampenda pamoja na makandokando yake Ila ni Mwanamke mmoja kila Mwanaume ana-wish kua nae oh men mumewe alikua anafaidi sio mchezo yaan with that big asset ma-men Mange Kimambi wa kuvujisha takataka chafu za hapa Mjini naomba asimfikie
 
Christina shusho, Martha Baraka, Martha mwaipaja, Bahati Bukuku, Uchungaji wameutoa wapi? Mungu aliwapa Karama ya kuimba na kupitia kuimba Mungu aliwainua kutoka viwango mpaka viwango nani amewaroga kukimbilia uchungaji? ni tamaa ya pesa au Mungu kawaambia?
 
Imepita kama miaka kumi nilipata kumuuliza bimkubwa wangu namna ambavyo wasanii wa gospel especially wanawake wanavyovurugikiwa wakiwa katika peak..alikuwepo jennifer mgendi, beatrice muhone, nikaona upendo nkone anatumia mikorogo, rose muhando ilisemekana hadi madawa ya kulevya, bahati bukuku ndio ilikuwa haeleweki tena..
Katika kipindi hicho alibakia martha mwaipaja na huyu Shusho..

Bi mkubwa akanipa story kama hadithi ili nimuelewe vizuri..akaniambia hapo kale shetani lucifer alikuwa mkuu wa malaika. Alikuwa anamuimbia Mungu hadi kiti kinatikisika. Ila sifa zilipozidi akataka ukuu wa Mungu, ndipo Mungu akamtupilia mbali. Kwa hiyo yeyote anayemuimbia Mungu kwa kiwango cha juu basi Lucifer anamuwinda ili amvuruge na kumuondoa kwenye uwepo wa Mungu.

NIlianza kuangalia mwenendo wa Christina nikakumbuka hii hadithi. Alianza kuipenda dunia zaidi na kujiona mzuri na ana sauti nzuri na kusahau kazi kuu..huyu mama kajaliwa sana kuijua biblia na nyimbo zake 90% ni maandiko. Ila zamu yake kwa lucifer imefika. Anahitaji kurudi njia kuu mapema iwezekanavyo..mavazi ya kubana stejini ili kuvutia halaiki hayatamuacha salama kama beatrice muhone.
 
Kama huyo bahati bukuku namjuwa kimgongomngongo
Tokea anaingia mjini namuona
Eti leo mchungaji nabii

Ova
 
Hiyo namba 5 mm mwenyewe sijamuelewa pengine ana ufafanuzi zaid
 
Ndoa hufungishwa na wachungaji sasa yeye atawapaje huduma waumini wakati kajiondoa kwenye hilo jukumu
Marehemu mch,mb, Dr rwakatare alikuwa anawafungisha ndoa mbona? Bulldozer anafungisha ndoa afu yeye hana
 
Kwani ile picha nimeona ikitrend yuko na mumewe kumbe sio mumewe ni boyfriend?
 
La mume anatafuta sababu kama ni wito wa kanisa si angefungua TAWI kwa aliloanzisha mume wake,uenda tamaa ya pesa,wanawake wengi mume kipato kikipungua utafuta sababu ya kuwaacha waume zao.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…