Huenda Christina Shusho amechanganyikiwa au amelogwa?

Alfu kuna mijitu jpili wako sitti za mbele wakisubiria neno la mchungaji malaya
 
Unasemaje [emoji848]


View: https://www.reddit.com/r/todayilearned/comments/2btglr/til_there_only_three_species_in_the_animal/
 
Unasemaje [emoji848]


View: https://www.reddit.com/r/todayilearned/comments/2btglr/til_there_only_three_species_in_the_animal/View attachment 2962318
 
Unasemaje [emoji848]View attachment 2962318
 
Yupo Ke mmoja Kenya ni msanii kwao kuna mawe sana alishawahi kumtolea nnje huyo Jamaa.
 
Hii ni nini?
Nobody asked you which animal exercises sexual acts for pleasure.

Mjadala ni kwamba wapi science imethibitisha pasipo shaka ya kwamba once ukishakua sexually active basi mpaka unaingia kaburini wewe utaendelea kuhitaji β€œkuingiliwa sexually hata Kama ukiamua mwenyewe kuacha.

Kwamba ni lazima Christina aendelee kukaa kwenye ndoa na mumewe ambaye yeye hamtaki tena Kisa tu tayari alishakua sexually active so anamhitaji Jamaa specifically for that.

Comprende?
 
Kasome production ,sex ina addiction kuzidi hata pombd na sigara
Unatambua ya kwamba addiction yoyote ambayo ni human inflicted inatibika?

Na ni wapi katika topic ya β€œproduction panazungumzia sex addiction?

And how does being sexually active turn into addiction for a human being?

Do you have any idea of how a woman’s body operate?

All facts considered, sex is way different for a woman compared to a man.

Kamsome kwanza kiumbe mwanamke na mwili wake vizuri then urudi hapa kumlazimisha Christina aendelee kukaa kwenye Ndoa eti Kisa anahitaji sex.
 
Anyway
Kwanza lazima tukubali katika vitu wanawake wengi hawawezi kuvihandle pamoja na ndoa basi ni hivi

1-Welth/pesa/utajiri mpaka kwenye level ya kujitosheleza.aisee mwanamke/mke akifikia hiyo level basi mwanaume anabakia kuwa sex object ambaye anatakiwa kuja na kuondoka na sio wa kudumu.Tafuta wanawake 10 wenye pesa kwa level niliyoitaja na bado wako kwenye ndoa.

2-power/madaraka/cheo-hapa ndo balaa zaidi.hawa viumbe akifikia ile level ya kukaa mbele haswa halafu kuna watu wanainama mbele yake,akikohoa mtu anaitika ,akisema njoo watu wanakuja.ndoa haiwezi kuwepo.angalia wabunge,mawaziri,wakuu wa mikoa,wakuu wa wilaya wakike wenye ndoa na ulete takwimu.

3-umaarufu.hapa ndo balaa,the more she grow higher as a celebrity the more she loose her concern kwenye ndoa.pitia majina ya wanawake maarufu tanzania halafu leta takwimu ya wenye ndoa.

Mwisho wa siku mwanaume ili kuishi na mwanamke mwenye pesa,madaraka na umaarufu inahitaji akili na sio moyo.
 
Hivi Beatrice Muhone alisharudiana na mume wake?
 
Kila nikiskia wimbo wake ule "shusha nyavu"

Akili inawaza kitu
 
Shusho ni Malaya kama Malaya wengine sema tofauti yake yeye anaimba nyimbo za injili sijui nani aliwambia kwamba mtu akiimba nyimbo za ijili basi ni mtu wa Mungu huyo ni muhuni tu amabe yuko uko
 
Kwani na wewe ni malaya!?

Unajua kwa mwenye akili kubwa huwa haulizi vyovyote?
Huwa kunakuwa na namna inayompelekea hadi kuuliza swali kwa kuzingatia flow of facts.
Kuna swali ukiuliza tu werevu wanajua Huyu huenda hamnazo πŸ˜›πŸ˜›
Halafu ukute anaeuliza Eti Mwalimu πŸ€”πŸ€” unajiuliza watoto huko shuleni anawajaza vitu gani vichwani mwao ?
Nikimnukuu bwana Mpwayungu village. πŸ˜†πŸ˜†
 
Dini Biashara kama biashara zingine kinachotakiwa ni kuwavuta watu Kwa hali na mali
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…