LIKUD
JF-Expert Member
- Dec 26, 2012
- 18,037
- 33,681
Ukisoma kisa cha Kaini na Habili ( watoto wa Adam na HAWA ambao KWA mujibu wa mafundisho ya wakristo, waislamu na Wayahudi ina aminika ndio binadamu wa kwanza duniani jambo ambalo ni kinyume na mafundisho ya imani za jadi za kiafrika)
Utagundua kwamba Cain killed Abel over bullshit. Hakukuwa na sababu yoyote ile ya msingi ya ku mfanya Kaini amuue Habili.
Waulize wachungaji hivi ni sababu GANI hasa iliyo mfanya Kaini amuue nduguye Habili?
Utasikia ooh Kaini aliona wivu KWA Habili KWA sababu sadaka ya Habili ilikubalika mbele za Mungu. . Blah blah blah. Alijuaje kama sadaka ya Habili imekubalika mbele za Mungu?
Kama sadaka ya Habili ilikubalika mbele za Mungu na sadaka ya Kaini haijakubalika kwanini Habili ambae sadaka yake ndo imekubalika (mwenye haki) ndio afe na Kaini ambae sadaka yake haijakubalika (asie na haki) aishi..
Jibu ni moja tu kwamba adhabu ya kutoa sadaka inayo kubalika mbele za Mungu ni kuuwawa.
Now back to my topic
Kaini alikuwa TAAHIRA.
KWANINI KAINI ALIKUWA TAAHIRA?
Ni sababu za kisayansi.
KWA mujibu wa maandiko Kaini na Habili wali share the same father with their mother. Yani baba wa Kaini na Habili ndio huyo huyo alikuwa baba wa mama mzazi wa Kaini na Habili.
Yes KWA mujibu wa maandiko HAWA alikuwa mtoto wa Adam.
Adam alikuwa ndio baba wa HAWA.
Adamu alikuwa ndio mama wa HAWA.
Adamu hakusema " she is flesh of my flesh and bones of my bones" kimakosa.
Without a doubt !!! Eve was a biological daughter of Adam
Sayansi inasema baba na binti au dada na kaka endapo watazaa mtoto basi kuna uwezekano mkubwa sana wakazaa mtoto mwenye matatizo ya akili.
Ndivyo ilivyo kuwa kwa Kaini. Kaini alikuwa na matatizo ya akili. Ningekuwa wakili wa Kaini mbele za Mungu ninge raise defense ya Insanity.
Ningemwambia Mungu kwamba mteja wangu Kaini ana tatizo la akili..wakati anafanya tukio la kumuua ndugu yake his right part of his brain was left and his left part of his brain was not right.
Kama Kaini angekuwa SAWA SAWA kichwani asinge muua ndugu yake.
Ange enda na yeye kutoa sadaka kama aliyo toa Habili. Kaini alikuwa mgonjwa wa akili.period. Je sisi waafrika ni kizazi cha Adam?
The evidence says No.
Mungu hakuumba watu wawili tu duniani. Aliumba a hundred of thousand of couples.( This will be a topic for another day)
Utagundua kwamba Cain killed Abel over bullshit. Hakukuwa na sababu yoyote ile ya msingi ya ku mfanya Kaini amuue Habili.
Waulize wachungaji hivi ni sababu GANI hasa iliyo mfanya Kaini amuue nduguye Habili?
Utasikia ooh Kaini aliona wivu KWA Habili KWA sababu sadaka ya Habili ilikubalika mbele za Mungu. . Blah blah blah. Alijuaje kama sadaka ya Habili imekubalika mbele za Mungu?
Kama sadaka ya Habili ilikubalika mbele za Mungu na sadaka ya Kaini haijakubalika kwanini Habili ambae sadaka yake ndo imekubalika (mwenye haki) ndio afe na Kaini ambae sadaka yake haijakubalika (asie na haki) aishi..
Jibu ni moja tu kwamba adhabu ya kutoa sadaka inayo kubalika mbele za Mungu ni kuuwawa.
Now back to my topic
Kaini alikuwa TAAHIRA.
KWANINI KAINI ALIKUWA TAAHIRA?
Ni sababu za kisayansi.
KWA mujibu wa maandiko Kaini na Habili wali share the same father with their mother. Yani baba wa Kaini na Habili ndio huyo huyo alikuwa baba wa mama mzazi wa Kaini na Habili.
Yes KWA mujibu wa maandiko HAWA alikuwa mtoto wa Adam.
Adam alikuwa ndio baba wa HAWA.
Adamu alikuwa ndio mama wa HAWA.
Adamu hakusema " she is flesh of my flesh and bones of my bones" kimakosa.
Without a doubt !!! Eve was a biological daughter of Adam
Sayansi inasema baba na binti au dada na kaka endapo watazaa mtoto basi kuna uwezekano mkubwa sana wakazaa mtoto mwenye matatizo ya akili.
Ndivyo ilivyo kuwa kwa Kaini. Kaini alikuwa na matatizo ya akili. Ningekuwa wakili wa Kaini mbele za Mungu ninge raise defense ya Insanity.
Ningemwambia Mungu kwamba mteja wangu Kaini ana tatizo la akili..wakati anafanya tukio la kumuua ndugu yake his right part of his brain was left and his left part of his brain was not right.
Kama Kaini angekuwa SAWA SAWA kichwani asinge muua ndugu yake.
Ange enda na yeye kutoa sadaka kama aliyo toa Habili. Kaini alikuwa mgonjwa wa akili.period. Je sisi waafrika ni kizazi cha Adam?
The evidence says No.
Mungu hakuumba watu wawili tu duniani. Aliumba a hundred of thousand of couples.( This will be a topic for another day)