Huenda hii ndio sababu ya kisayansi kwanini Kaini alimuua Habili (Abeli)

Huenda hii ndio sababu ya kisayansi kwanini Kaini alimuua Habili (Abeli)

LIKUD

JF-Expert Member
Joined
Dec 26, 2012
Posts
18,037
Reaction score
33,681
Ukisoma kisa cha Kaini na Habili ( watoto wa Adam na HAWA ambao KWA mujibu wa mafundisho ya wakristo, waislamu na Wayahudi ina aminika ndio binadamu wa kwanza duniani jambo ambalo ni kinyume na mafundisho ya imani za jadi za kiafrika)

Utagundua kwamba Cain killed Abel over bullshit. Hakukuwa na sababu yoyote ile ya msingi ya ku mfanya Kaini amuue Habili.

Waulize wachungaji hivi ni sababu GANI hasa iliyo mfanya Kaini amuue nduguye Habili?

Utasikia ooh Kaini aliona wivu KWA Habili KWA sababu sadaka ya Habili ilikubalika mbele za Mungu. . Blah blah blah. Alijuaje kama sadaka ya Habili imekubalika mbele za Mungu?

Kama sadaka ya Habili ilikubalika mbele za Mungu na sadaka ya Kaini haijakubalika kwanini Habili ambae sadaka yake ndo imekubalika (mwenye haki) ndio afe na Kaini ambae sadaka yake haijakubalika (asie na haki) aishi..


Jibu ni moja tu kwamba adhabu ya kutoa sadaka inayo kubalika mbele za Mungu ni kuuwawa.

Now back to my topic

Kaini alikuwa TAAHIRA.

KWANINI KAINI ALIKUWA TAAHIRA?

Ni sababu za kisayansi.

KWA mujibu wa maandiko Kaini na Habili wali share the same father with their mother. Yani baba wa Kaini na Habili ndio huyo huyo alikuwa baba wa mama mzazi wa Kaini na Habili.


Yes KWA mujibu wa maandiko HAWA alikuwa mtoto wa Adam.

Adam alikuwa ndio baba wa HAWA.

Adamu alikuwa ndio mama wa HAWA.

Adamu hakusema " she is flesh of my flesh and bones of my bones" kimakosa.

Without a doubt !!! Eve was a biological daughter of Adam

Sayansi inasema baba na binti au dada na kaka endapo watazaa mtoto basi kuna uwezekano mkubwa sana wakazaa mtoto mwenye matatizo ya akili.

Ndivyo ilivyo kuwa kwa Kaini. Kaini alikuwa na matatizo ya akili. Ningekuwa wakili wa Kaini mbele za Mungu ninge raise defense ya Insanity.

Ningemwambia Mungu kwamba mteja wangu Kaini ana tatizo la akili..wakati anafanya tukio la kumuua ndugu yake his right part of his brain was left and his left part of his brain was not right.

Kama Kaini angekuwa SAWA SAWA kichwani asinge muua ndugu yake.

Ange enda na yeye kutoa sadaka kama aliyo toa Habili. Kaini alikuwa mgonjwa wa akili.period. Je sisi waafrika ni kizazi cha Adam?

The evidence says No.

Mungu hakuumba watu wawili tu duniani. Aliumba a hundred of thousand of couples.( This will be a topic for another day)
 
Ifike kipindi mtumie akili jmani

unataka kusema Mzee wetu bw.Adamu alijipa mimba akamzaa Hawa? hebu muwe na adabu kwa Mzee wetu Adamu halafu muwe mnaelewa tafsida za lugha sio mnaropoka tu Adam aliposema "she is flesh of my flesh bones of my bones hakumaanisha kumzaa bi Hawa.

Hii ilimaanisha kuWa na ukaribu wa mahusiano sana kati ya Adamu na Hawa kama nyie mnapo ambiwa kanisani ktk harusi zenu nendeni mkawe mwilimoja. haimaanishi mutaunganisha mili yenu uwe moja, baili muwe na mahusino ya karibu mno.

halafu kusema bi Hawa ni biological daughter of Adam hayo ni matusi kwa Adamu hebu muwe na Adabu kwa Wazee wetu hawa.

MAONI YANGU
Hizo mada ulizo acha akiba usiendelee nazo huna chchote cha maana utakacho elezea kufuatana na mtizamo wa hii mada ya kwamza. pumzika tafuta mada nyepesi nyepesi za mitaani
hizo za UUMBAJI WA MUNGU NI GIZA NENE SAAAAAANA KWAKO
 
Shida inaanzia pale history ya hawa na adamu, imekuta tayari kuna jamii huko mesopotamia, mfano, huriane, akadian, sumerians,, so ukitaka upate asili ya hawa na adamu,
Rudi kwanza upitie civilization, tangu stone age, bronze age, iron age na kuendelea,
Inakaa kama hii story ni ya kipindi cha iron age, ambapo tayari jamii zimeanza kulima na kufuga,,
Automatically hii habari ilitokea tayari kukiwa na civilization kwingine,,
Mfano habari ya moses inakaa kama imetokea kabla watu hawajagundua kuandika kwenye magome ya miti,, watu walikua wakiandika kwenye mawe ama udongo,,
Hivyo kuna timelines conflicts ya hizi habari za akina Adam🤷‍♂️,
Mi nijuavyo Adam alikua ni mmoja wa watawala wa Asyria,, kuna uwezekano kuna watu , waandishi wa kale walikua inspired na huyo mtawala kiasi cha kubuni hii habari ya Adam kiumbe wa kwanza😂🙆‍♀️
 
Kasome habari za Yusuph na ndugu zake uje useme tena ndugu zake walikuwa hawana akili yaani walikiwa mataahira kumuua mdogo wao kisa ndoto
Yes walikuwa mataahira pia kea sababu hata Yusufu mwenyewe ni product ya incest
 
Shida inaanzia pale history ya hawa na adamu, imekuta tayari kuna jamii huko mesopotamia, mfano, huriane, akadian, sumerians,, so ukitaka upate asili ya hawa na adamu,
Rudi kwanza upitie civilization, tangu stone age, bronze age, iron age na kuendelea,
Inakaa kama hii story ni ya kipindi cha iron age, ambapo tayari jamii zimeanza kulima na kufuga,,
Automatically hii habari ilitokea tayari kukiwa na civilization kwingine,,
Mfano habari ya moses inakaa kama imetokea kabla watu hawajagundua kuandika kwenye magome ya miti,, watu walikua wakiandika kwenye mawe ama udongo,,
Hivyo kuna timelines conflicts ya hizi habari za akina Adam🤷‍♂️,
Mi nijuavyo Adam alikua ni mmoja wa watawala wa Asyria,, kuna uwezekano kuna watu , waandishi wa kale walikua inspired na huyo mtawala kiasi cha kubuni hii habari ya Adam kiumbe wa kwanza😂🙆‍♀️
Yes .kuu very possible
 
Ifike kipindi mtumie akili jmani

unataka kusema Mzee wetu bw.Adamu alijipa mimba akamzaa Hawa? hebu muwe na adabu kwa Mzee wetu Adamu halafu muwe mnaelewa tafsida za lugha sio mnaropoka tu Adam aliposema "she is flesh of my flesh bones of my bones hakumaanisha kumzaa bi Hawa.

Hii ilimaanisha kuWa na ukaribu wa mahusiano sana kati ya Adamu na Hawa kama nyie mnapo ambiwa kanisani ktk harusi zenu nendeni mkawe mwilimoja. haimaanishi mutaunganisha mili yenu uwe moja, baili muwe na mahusino ya karibu mno.

halafu kusema bi Hawa ni biological daughter of Adam hayo ni matusi kwa Adamu hebu muwe na Adabu kwa Wazee wetu hawa.

MAONI YANGU
Hizo mada ulizo acha akiba usiendelee nazo huna chchote cha maana utakacho elezea kufuatana na mtizamo wa hii mada ya kwamza. pumzika tafuta mada nyepesi nyepesi za mitaani
hizo za UUMBAJI WA MUNGU NI GIZA NENE SAAAAAANA KWAKO
Ur still a learner
 
Back
Top Bottom