Huenda hii ndio sababu ya kisayansi kwanini Kaini alimuua Habili (Abeli)

Huenda hii ndio sababu ya kisayansi kwanini Kaini alimuua Habili (Abeli)

Dogo wa llb first year bana. Unataka ni establish mens rea na actus reus.

Vyote vipo wazi

Mens rea = kamuua KWA sababu ya wivu kwamba eti sadaka yake imekubaliwa na Mungu.


Actus reus = tendo la kumuua Habili lime fanyika.


Motive ndio inayo FANYA mimi niseme Cain alikuwa insane.

Wewe unaweza kwenda kumuua kaka ako kwa sababu ametoa sadaka kubwa KWA Mwamposa kuliko uliyo itoa wewe?

Ukifanya hivyo tutakosea tukikuita insane?
Mimi siyo dogo wa first year ,sawa.Nimeuliza swali Hilo kuchallenge defense yako ya insanity.Umesema Mens Rea ipo ,kama mens Rea ipo anawezaje kujitetea kwa insanity? Insane persons do not know what they are doing refer the case of Thomson Msomali.
 
Ifike kipindi mtumie akili jmani

unataka kusema Mzee wetu bw.Adamu alijipa mimba akamzaa Hawa? hebu muwe na adabu kwa Mzee wetu Adamu halafu muwe mnaelewa tafsida za lugha sio mnaropoka tu Adam aliposema "she is flesh of my flesh bones of my bones hakumaanisha kumzaa bi Hawa.

Hii ilimaanisha kuWa na ukaribu wa mahusiano sana kati ya Adamu na Hawa kama nyie mnapo ambiwa kanisani ktk harusi zenu nendeni mkawe mwilimoja. haimaanishi mutaunganisha mili yenu uwe moja, baili muwe na mahusino ya karibu mno.

halafu kusema bi Hawa ni biological daughter of Adam hayo ni matusi kwa Adamu hebu muwe na Adabu kwa Wazee wetu hawa.

MAONI YANGU
Hizo mada ulizo acha akiba usiendelee nazo huna chchote cha maana utakacho elezea kufuatana na mtizamo wa hii mada ya kwamza. pumzika tafuta mada nyepesi nyepesi za mitaani
hizo za UUMBAJI WA MUNGU NI GIZA NENE SAAAAAANA KWAKO
1. Nani baba ake na Hawa.

2. Nani mama ake na Hawa?


Au nikurahisishie swali. Hawa alitengenezwa kwa kutumia biological materials za nani?
 
Back
Top Bottom