Huenda hii ndio sababu ya kisayansi kwanini Kaini alimuua Habili (Abeli)

Huenda hii ndio sababu ya kisayansi kwanini Kaini alimuua Habili (Abeli)

Kuna maeneo katika hii dunia mpaka leo hawajawahi kusikia hizi ngano za kale....
Wanaishi kivyavyao...na maisha yanakwenda mbele kama kawaida...
Nyinyi weusi mmerogwa na nani.....
 
Nyoka_mzee njoo huku ndugu yangu ..Hiki kisakimeelezwa vema kabisa ,,njoo utuwekee facts
Adam na Eva
- Wakaedit ikawa Adam na Hawa
Yesu
- Alizaliwa kwenye holi la ng'ombe, alikufa msalabani, akazikwa na kufufuka. Wakaedit Issa bin nani sijui alizaliwa chini ya mtende mwisho akapaa
Habili na kaini
- wameedit nani vile?
 
KWA mujibu wa maandiko Kaini na Habili wali share the same father with their mother. Yani baba wa Kaini na Habili ndio huyo huyo alikuwa baba wa mama mzazi wa Kaini na Habili.
Kwahio at least they existed, maana Kuna wengine wanakana hata huo uwepo wao
 
Ukisoma kisa cha Kaini na Habili ( watoto wa Adam na HAWA ambao KWA mujibu wa mafundisho ya wakristo, waislamu na Wayahudi ina aminika ndio binadamu wa kwanza duniani jambo ambalo ni kinyume na mafundisho ya imani za jadi za kiafrika)

Utagundua kwamba Cain killed Abel over bullshit. Hakukuwa na sababu yoyote ile ya msingi ya ku mfanya Kaini amuue Habili.

Waulize wachungaji hivi ni sababu GANI hasa iliyo mfanya Kaini amuue nduguye Habili?

Utasikia ooh Kaini aliona wivu KWA Habili KWA sababu sadaka ya Habili ilikubalika mbele za Mungu. . Blah blah blah. Alijuaje kama sadaka ya Habili imekubalika mbele za Mungu?

Kama sadaka ya Habili ilikubalika mbele za Mungu na sadaka ya Kaini haijakubalika kwanini Habili ambae sadaka yake ndo imekubalika (mwenye haki) ndio afe na Kaini ambae sadaka yake haijakubalika (asie na haki) aishi..


Jibu ni moja tu kwamba adhabu ya kutoa sadaka inayo kubalika mbele za Mungu ni kuuwawa.

Now back to my topic

Kaini alikuwa TAAHIRA.

KWANINI KAINI ALIKUWA TAAHIRA?

Ni sababu za kisayansi.

KWA mujibu wa maandiko Kaini na Habili wali share the same father with their mother. Yani baba wa Kaini na Habili ndio huyo huyo alikuwa baba wa mama mzazi wa Kaini na Habili.


Yes KWA mujibu wa maandiko HAWA alikuwa mtoto wa Adam.

Adam alikuwa ndio baba wa HAWA.

Adamu alikuwa ndio mama wa HAWA.

Adamu hakusema " she is flesh of my flesh and bones of my bones" kimakosa.

Without a doubt !!! Eve was a biological daughter of Adam

Sayansi inasema baba na binti au dada na kaka endapo watazaa mtoto basi kuna uwezekano mkubwa sana wakazaa mtoto mwenye matatizo ya akili.

Ndivyo ilivyo kuwa kwa Kaini. Kaini alikuwa na matatizo ya akili. Ningekuwa wakili wa Kaini mbele za Mungu ninge raise defense ya Insanity.

Ningemwambia Mungu kwamba mteja wangu Kaini ana tatizo la akili..wakati anafanya tukio la kumuua ndugu yake his right part of his brain was left and his left part of his brain was not right.

Kama Kaini angekuwa SAWA SAWA kichwani asinge muua ndugu yake.

Ange enda na yeye kutoa sadaka kama aliyo toa Habili. Kaini alikuwa mgonjwa wa akili.period. Je sisi waafrika ni kizazi cha Adam?

The evidence says No.

Mungu hakuumba watu wawili tu duniani. Aliumba a hundred of thousand of couples.( This will be a topic for another day)
Sijaona point ya Maana hapo.
 
Kuna watu Huwa wananena Kwa lugha, ukiwauliza wanasema wanaongea na Mungu, haya maswali wamuulize basi tuondoe mkanganyiko
 
Huyo kazi yake ni kukebehi Ukristo sio kwamba haelewi. Biblia imejitosheleza kuhusu kaini, na imeeleza wazi kila kitu. Hata ungeeleza vipi yupo kwaajili ya kebehi.
Sikebehi dini wala imani ya mtu mkuu nitake radhi please
 
Huenda kaini alishajua kuwa nduguye ndio mwenyew haki (ie mrithi),hiyo inaweza kuwa motive ya mauaji. Kuhusu abeli kufa angalia ana haki, ni kwamba mauti tayari ilishaingia duanian kitokana na kosa la wazee wao. Japo damu ya mwenye haki ikimwagika itadai haki hiyo, kama umesoma maandiko vzr
Dah yani umuue mtu KWA sababu umejua ndo ana haki ILI u achieve kitu GANI?
 
Jifunze kusoma maandiko vzr

Ili kujua sadaka yako imepokelewa au haijapokelewa hiki ndo kilifanyika

Ulipoweka sadaka yako kwenye mawe(kondoo baada ya kuchinjwa moto ulikuwa unatoka mbinguni na kuiteketeka ile kitu mpk inaisha) so kain ya kwake moto haukuwa unashuka

Hii ni kitu iliendelea mpk zama za wana wa israeli
Una amini hayo mazingaombwe mkuu ? Mbona siku hizi haitokei hivyo.


Okay SASA tu assume unacho sema ni kweli.


Mtu mwenye akili timamu ange paswa kuogopa kumdhuru mtu ambae sadaka yake ime weza ku command moto kutoka mbinguni kushuka duniani kui consume.

Bado unatetea point yangu kwamba Kaini dishi lilikuwa limeyumba
 
Hii topic ingenoga kama mtoa mada angekua challenged na wakristo wenye ufahamu mkubwa wa mambo na wenye kuijua vyema Biblia.
Sio lazima ufahamu mkubwa, amesema hapo zipo evidence, aweke hizo evidence badala ya kusema eti hiyo ni topic ya siku nyingine 😃
 
Ukisoma kisa cha Kaini na Habili ( watoto wa Adam na HAWA ambao KWA mujibu wa mafundisho ya wakristo, waislamu na Wayahudi ina aminika ndio binadamu wa kwanza duniani jambo ambalo ni kinyume na mafundisho ya imani za jadi za kiafrika)

Utagundua kwamba Cain killed Abel over bullshit. Hakukuwa na sababu yoyote ile ya msingi ya ku mfanya Kaini amuue Habili.

Waulize wachungaji hivi ni sababu GANI hasa iliyo mfanya Kaini amuue nduguye Habili?

Utasikia ooh Kaini aliona wivu KWA Habili KWA sababu sadaka ya Habili ilikubalika mbele za Mungu. . Blah blah blah. Alijuaje kama sadaka ya Habili imekubalika mbele za Mungu?

Kama sadaka ya Habili ilikubalika mbele za Mungu na sadaka ya Kaini haijakubalika kwanini Habili ambae sadaka yake ndo imekubalika (mwenye haki) ndio afe na Kaini ambae sadaka yake haijakubalika (asie na haki) aishi..


Jibu ni moja tu kwamba adhabu ya kutoa sadaka inayo kubalika mbele za Mungu ni kuuwawa.

Now back to my topic

Kaini alikuwa TAAHIRA.

KWANINI KAINI ALIKUWA TAAHIRA?

Ni sababu za kisayansi.

KWA mujibu wa maandiko Kaini na Habili wali share the same father with their mother. Yani baba wa Kaini na Habili ndio huyo huyo alikuwa baba wa mama mzazi wa Kaini na Habili.


Yes KWA mujibu wa maandiko HAWA alikuwa mtoto wa Adam.

Adam alikuwa ndio baba wa HAWA.

Adamu alikuwa ndio mama wa HAWA.

Adamu hakusema " she is flesh of my flesh and bones of my bones" kimakosa.

Without a doubt !!! Eve was a biological daughter of Adam

Sayansi inasema baba na binti au dada na kaka endapo watazaa mtoto basi kuna uwezekano mkubwa sana wakazaa mtoto mwenye matatizo ya akili.

Ndivyo ilivyo kuwa kwa Kaini. Kaini alikuwa na matatizo ya akili. Ningekuwa wakili wa Kaini mbele za Mungu ninge raise defense ya Insanity.

Ningemwambia Mungu kwamba mteja wangu Kaini ana tatizo la akili..wakati anafanya tukio la kumuua ndugu yake his right part of his brain was left and his left part of his brain was not right.

Kama Kaini angekuwa SAWA SAWA kichwani asinge muua ndugu yake.

Ange enda na yeye kutoa sadaka kama aliyo toa Habili. Kaini alikuwa mgonjwa wa akili.period. Je sisi waafrika ni kizazi cha Adam?

The evidence says No.

Mungu hakuumba watu wawili tu duniani. Aliumba a hundred of thousand of couples.( This will be a topic for another day)
Ukitaka MAJUHA wakuamini anza stori yako na kauli kuwa "Sayansi inasema. ...................
 
Sio kweli, Biblia wameipanga kulingana na Nia ya kitabu na sio umri wa kitabu.

1. Kundi la kwanza vitabu vya torati. Maagano Kati ya Israel na Mungu.
2. Kundi la pili Ni vitabu vya Historia.
3. Kundi la tatu vitabu vya Zaburi
4. Kundi la nne vitabu vya manabii wadogo
5. Kundi la tano vitabu vya manabii wakubwa.

Unaposoma kitabu Cha mwanzo kinatuelekeza Mwanzo wa Dunia ulivoanza, mpango wa Mungu kwa mwandamu, mwandamu wa kwanza,dhambi ya kwanza, mauaji ya kwanza, uasi wa mwandamu wa kwanza, hasira ya Mungu ya kwanza etc.

Kwenye suala la Kaini Biblia inajaribu kutuonesha kwamba dhambi huwa haiji kwa siku moja bali huwa inamnyemelea mtu, na asipokaa vizuri inamvaa. Ndicho kilichotokea kwa kaini.

Uzuri wa Biblia ukiielewa Wala hungaiki lakini usipoielewa utajitungia mambo yako na kilazimisha yawe kweli.
Mkubwa, hebu nisaidie hapa, maana unaonekana wewe ni mtaalamu,,, kwanini yesu aliitwa , "mwana wa DAUDI"?
 
Kuacha moja kwa moja ngumu ila ukiendelea na maombi unaaunaacha

kingine kilichonitesa .mm marafiki yaan nilikuwana marafk wazinzi wenyehela wakiwa na mzgo sinza hata nikisema sikopoa unambiwa chukua pk ukifika unakuta wako restaurant yenye lodge mizgo inakunywa kbaya sikuwa na huruma nikijua nakutananayo nanunua ugoro kwa masai nawadumbukixia..so ilikuwa ngumu llakn nilimwamini Mungu
mpwa mizigoo ya maofisn kabisa nikiona inakunywa safari haitoshi naingia toilet nakinga. ...nasubiri wakakojoe tu wanalo.nawamininia..yaan nilitubu balaa wwamekunywa sana mko...wangu walewe mapema....
Inabidi tukutane unishauri kitu
 
Back
Top Bottom