Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Y_&666"5"_5_5*&&6*6*6---A topic for the 46bgeeh2hthjhhyrwrrjt another day
Adam na EvaNyoka_mzee njoo huku ndugu yangu ..Hiki kisakimeelezwa vema kabisa ,,njoo utuwekee facts
Kwa mkristo lazima ni waongelee wazungu, hao wengine siwajui.Mambo ya Kaini yapo kwenye imani tatu uyahudi, Ukristo na uislamu. Wazungu wanatokea wapi Hapo?.
Kwahio at least they existed, maana Kuna wengine wanakana hata huo uwepo waoKWA mujibu wa maandiko Kaini na Habili wali share the same father with their mother. Yani baba wa Kaini na Habili ndio huyo huyo alikuwa baba wa mama mzazi wa Kaini na Habili.
Sijaona point ya Maana hapo.Ukisoma kisa cha Kaini na Habili ( watoto wa Adam na HAWA ambao KWA mujibu wa mafundisho ya wakristo, waislamu na Wayahudi ina aminika ndio binadamu wa kwanza duniani jambo ambalo ni kinyume na mafundisho ya imani za jadi za kiafrika)
Utagundua kwamba Cain killed Abel over bullshit. Hakukuwa na sababu yoyote ile ya msingi ya ku mfanya Kaini amuue Habili.
Waulize wachungaji hivi ni sababu GANI hasa iliyo mfanya Kaini amuue nduguye Habili?
Utasikia ooh Kaini aliona wivu KWA Habili KWA sababu sadaka ya Habili ilikubalika mbele za Mungu. . Blah blah blah. Alijuaje kama sadaka ya Habili imekubalika mbele za Mungu?
Kama sadaka ya Habili ilikubalika mbele za Mungu na sadaka ya Kaini haijakubalika kwanini Habili ambae sadaka yake ndo imekubalika (mwenye haki) ndio afe na Kaini ambae sadaka yake haijakubalika (asie na haki) aishi..
Jibu ni moja tu kwamba adhabu ya kutoa sadaka inayo kubalika mbele za Mungu ni kuuwawa.
Now back to my topic
Kaini alikuwa TAAHIRA.
KWANINI KAINI ALIKUWA TAAHIRA?
Ni sababu za kisayansi.
KWA mujibu wa maandiko Kaini na Habili wali share the same father with their mother. Yani baba wa Kaini na Habili ndio huyo huyo alikuwa baba wa mama mzazi wa Kaini na Habili.
Yes KWA mujibu wa maandiko HAWA alikuwa mtoto wa Adam.
Adam alikuwa ndio baba wa HAWA.
Adamu alikuwa ndio mama wa HAWA.
Adamu hakusema " she is flesh of my flesh and bones of my bones" kimakosa.
Without a doubt !!! Eve was a biological daughter of Adam
Sayansi inasema baba na binti au dada na kaka endapo watazaa mtoto basi kuna uwezekano mkubwa sana wakazaa mtoto mwenye matatizo ya akili.
Ndivyo ilivyo kuwa kwa Kaini. Kaini alikuwa na matatizo ya akili. Ningekuwa wakili wa Kaini mbele za Mungu ninge raise defense ya Insanity.
Ningemwambia Mungu kwamba mteja wangu Kaini ana tatizo la akili..wakati anafanya tukio la kumuua ndugu yake his right part of his brain was left and his left part of his brain was not right.
Kama Kaini angekuwa SAWA SAWA kichwani asinge muua ndugu yake.
Ange enda na yeye kutoa sadaka kama aliyo toa Habili. Kaini alikuwa mgonjwa wa akili.period. Je sisi waafrika ni kizazi cha Adam?
The evidence says No.
Mungu hakuumba watu wawili tu duniani. Aliumba a hundred of thousand of couples.( This will be a topic for another day)
Dah yani umuue mtu KWA sababu umejua ndo ana haki ILI u achieve kitu GANI?Huenda kaini alishajua kuwa nduguye ndio mwenyew haki (ie mrithi),hiyo inaweza kuwa motive ya mauaji. Kuhusu abeli kufa angalia ana haki, ni kwamba mauti tayari ilishaingia duanian kitokana na kosa la wazee wao. Japo damu ya mwenye haki ikimwagika itadai haki hiyo, kama umesoma maandiko vzr
Una amini hayo mazingaombwe mkuu ? Mbona siku hizi haitokei hivyo.Jifunze kusoma maandiko vzr
Ili kujua sadaka yako imepokelewa au haijapokelewa hiki ndo kilifanyika
Ulipoweka sadaka yako kwenye mawe(kondoo baada ya kuchinjwa moto ulikuwa unatoka mbinguni na kuiteketeka ile kitu mpk inaisha) so kain ya kwake moto haukuwa unashuka
Hii ni kitu iliendelea mpk zama za wana wa israeli
Sio lazima ufahamu mkubwa, amesema hapo zipo evidence, aweke hizo evidence badala ya kusema eti hiyo ni topic ya siku nyingine 😃Hii topic ingenoga kama mtoa mada angekua challenged na wakristo wenye ufahamu mkubwa wa mambo na wenye kuijua vyema Biblia.
Ukitaka MAJUHA wakuamini anza stori yako na kauli kuwa "Sayansi inasema. ...................Ukisoma kisa cha Kaini na Habili ( watoto wa Adam na HAWA ambao KWA mujibu wa mafundisho ya wakristo, waislamu na Wayahudi ina aminika ndio binadamu wa kwanza duniani jambo ambalo ni kinyume na mafundisho ya imani za jadi za kiafrika)
Utagundua kwamba Cain killed Abel over bullshit. Hakukuwa na sababu yoyote ile ya msingi ya ku mfanya Kaini amuue Habili.
Waulize wachungaji hivi ni sababu GANI hasa iliyo mfanya Kaini amuue nduguye Habili?
Utasikia ooh Kaini aliona wivu KWA Habili KWA sababu sadaka ya Habili ilikubalika mbele za Mungu. . Blah blah blah. Alijuaje kama sadaka ya Habili imekubalika mbele za Mungu?
Kama sadaka ya Habili ilikubalika mbele za Mungu na sadaka ya Kaini haijakubalika kwanini Habili ambae sadaka yake ndo imekubalika (mwenye haki) ndio afe na Kaini ambae sadaka yake haijakubalika (asie na haki) aishi..
Jibu ni moja tu kwamba adhabu ya kutoa sadaka inayo kubalika mbele za Mungu ni kuuwawa.
Now back to my topic
Kaini alikuwa TAAHIRA.
KWANINI KAINI ALIKUWA TAAHIRA?
Ni sababu za kisayansi.
KWA mujibu wa maandiko Kaini na Habili wali share the same father with their mother. Yani baba wa Kaini na Habili ndio huyo huyo alikuwa baba wa mama mzazi wa Kaini na Habili.
Yes KWA mujibu wa maandiko HAWA alikuwa mtoto wa Adam.
Adam alikuwa ndio baba wa HAWA.
Adamu alikuwa ndio mama wa HAWA.
Adamu hakusema " she is flesh of my flesh and bones of my bones" kimakosa.
Without a doubt !!! Eve was a biological daughter of Adam
Sayansi inasema baba na binti au dada na kaka endapo watazaa mtoto basi kuna uwezekano mkubwa sana wakazaa mtoto mwenye matatizo ya akili.
Ndivyo ilivyo kuwa kwa Kaini. Kaini alikuwa na matatizo ya akili. Ningekuwa wakili wa Kaini mbele za Mungu ninge raise defense ya Insanity.
Ningemwambia Mungu kwamba mteja wangu Kaini ana tatizo la akili..wakati anafanya tukio la kumuua ndugu yake his right part of his brain was left and his left part of his brain was not right.
Kama Kaini angekuwa SAWA SAWA kichwani asinge muua ndugu yake.
Ange enda na yeye kutoa sadaka kama aliyo toa Habili. Kaini alikuwa mgonjwa wa akili.period. Je sisi waafrika ni kizazi cha Adam?
The evidence says No.
Mungu hakuumba watu wawili tu duniani. Aliumba a hundred of thousand of couples.( This will be a topic for another day)
Huu siyo utetezi sahihi..Sio kweli.... Mambo ya koroho tofauti na elimu za kidunia.
Mkubwa, hebu nisaidie hapa, maana unaonekana wewe ni mtaalamu,,, kwanini yesu aliitwa , "mwana wa DAUDI"?Sio kweli, Biblia wameipanga kulingana na Nia ya kitabu na sio umri wa kitabu.
1. Kundi la kwanza vitabu vya torati. Maagano Kati ya Israel na Mungu.
2. Kundi la pili Ni vitabu vya Historia.
3. Kundi la tatu vitabu vya Zaburi
4. Kundi la nne vitabu vya manabii wadogo
5. Kundi la tano vitabu vya manabii wakubwa.
Unaposoma kitabu Cha mwanzo kinatuelekeza Mwanzo wa Dunia ulivoanza, mpango wa Mungu kwa mwandamu, mwandamu wa kwanza,dhambi ya kwanza, mauaji ya kwanza, uasi wa mwandamu wa kwanza, hasira ya Mungu ya kwanza etc.
Kwenye suala la Kaini Biblia inajaribu kutuonesha kwamba dhambi huwa haiji kwa siku moja bali huwa inamnyemelea mtu, na asipokaa vizuri inamvaa. Ndicho kilichotokea kwa kaini.
Uzuri wa Biblia ukiielewa Wala hungaiki lakini usipoielewa utajitungia mambo yako na kilazimisha yawe kweli.
Inabidi tukutane unishauri kituKuacha moja kwa moja ngumu ila ukiendelea na maombi unaaunaacha
kingine kilichonitesa .mm marafiki yaan nilikuwana marafk wazinzi wenyehela wakiwa na mzgo sinza hata nikisema sikopoa unambiwa chukua pk ukifika unakuta wako restaurant yenye lodge mizgo inakunywa kbaya sikuwa na huruma nikijua nakutananayo nanunua ugoro kwa masai nawadumbukixia..so ilikuwa ngumu llakn nilimwamini Mungu
mpwa mizigoo ya maofisn kabisa nikiona inakunywa safari haitoshi naingia toilet nakinga. ...nasubiri wakakojoe tu wanalo.nawamininia..yaan nilitubu balaa wwamekunywa sana mko...wangu walewe mapema....