Huenda hii ndio sababu ya kisayansi kwanini Kaini alimuua Habili (Abeli)

Huenda hii ndio sababu ya kisayansi kwanini Kaini alimuua Habili (Abeli)

Kwa mantiki hii kwenye biblia Kuna matahira wengi.

This topic is beyond your capability
 
Hii topic ingenoga kama mtoa mada angekua challenged na wakristo wenye ufahamu mkubwa wa mambo na wenye kuijua vyema Biblia.
 
Utopian Thinking plus ujinga iz iko to rubbish. This is what you have written here - RUBBISH
 
Ushahidi utacorroborate vipi ikiwa hakuna hata tendo au Tabia za kabla na after the fact zinazoonesha kwamba Cain was insane? Je,mens Rea ya Actus reus ya Cain inathibitika ama haithibitiki? Cain akijua alichokuwa anafanya ,kidogo ungeniambia provocation ingawa nayo inagoma Kwa kuwa Mungu alikuwa wa wote na wote walipewa haki sawa ya kutoa sadaka.
 
NILIWAHII KUANDIKA POST MOJA WAZIRI HUSIKA SHUGHULIKIA HIZI POMBE ZA DOUBLE KICK/SMART GIN/ANGOBEL NK MTAZALISHA VICHAA 2024 TUNARUDI KUPISHANA NA VICHAA KAMA MIAKA ILE KABLA AWAJAPELEKWA KWA KINA KAKOBE.MWAMPOSA GWAJHMA KUOMBEWA

HIZI POMBE HAZIJAWAHI MUACHAMTU SALAMA MOJA YA SIFA WANASIFIA HUAMKI NA HANGOVER HAHAHAAA...

JTAHIDI MWANDISHI UKIPIGA VILE KUWE N NYAMA NYAMA PEMBEN USIJALI HATA KAMA N ILE.MISHIKAKI YA MBWA MWENGE LAKN TUMBO INAKUWA NA KITU
Smart Gin ni sumu zimenifanya kila mara nahisi harufu yake.Mwenye suluhisho anisaidie.
 
Smart Gin ni sumu zimenifanya kila mara nahisi harufu yake.Mwenye suluhisho anisaidie.
KWA MUNGU YAAWEZEKANA BR...NTUMIE JINA LA UKWELI PM TUOMBEANE...M NMEPIGA SANA KONYI KUBWA NAIOGOPA KAMA.....UKI.....AMINI MUNGU INAWEZEKANA UKAACHA
 
KWA MUNGU YAAWEZEKANA BR...NTUMIE JINA LA UKWELI PM TUOMBEANE...M NMEPIGA SANA KONYI KUBWA NAIOGOPA KAMA.....UKI.....AMINI MUNGU INAWEZEKANA UKAACHA
Nataka kwanza niondoe hiyo harufu kwanza kabla sijaacha.
 
Kuacha moja kwa moja ngumu ila ukiendelea na maombi unaaunaacha

kingine kilichonitesa .mm marafiki yaan nilikuwana marafk wazinzi wenyehela wakiwa na mzgo sinza hata nikisema sikopoa unambiwa chukua pk ukifika unakuta wako restaurant yenye lodge mizgo inakunywa kbaya sikuwa na huruma nikijua nakutananayo nanunua ugoro kwa masai nawadumbukixia..so ilikuwa ngumu llakn nilimwamini Mungu
mpwa mizigoo ya maofisn kabisa nikiona inakunywa safari haitoshi naingia toilet nakinga. ...nasubiri wakakojoe tu wanalo.nawamininia..yaan nilitubu balaa wwamekunywa sana mko...wangu walewe mapema....
 
Ukisoma kisa cha Kaini na Habili ( watoto wa Adam na HAWA ambao KWA mujibu wa mafundisho ya wakristo, waislamu na Wayahudi ina aminika ndio binadamu wa kwanza duniani jambo ambalo ni kinyume na mafundisho ya imani za jadi za kiafrika)

Utagundua kwamba Cain killed Abel over bullshit. Hakukuwa na sababu yoyote ile ya msingi ya ku mfanya Kaini amuue Habili.

Waulize wachungaji hivi ni sababu GANI hasa iliyo mfanya Kaini amuue nduguye Habili?

Utasikia ooh Kaini aliona wivu KWA Habili KWA sababu sadaka ya Habili ilikubalika mbele za Mungu. . Blah blah blah. Alijuaje kama sadaka ya Habili imekubalika mbele za Mungu?

Kama sadaka ya Habili ilikubalika mbele za Mungu na sadaka ya Kaini haijakubalika kwanini Habili ambae sadaka yake ndo imekubalika (mwenye haki) ndio afe na Kaini ambae sadaka yake haijakubalika (asie na haki) aishi..


Jibu ni moja tu kwamba adhabu ya kutoa sadaka inayo kubalika mbele za Mungu ni kuuwawa.

Now back to my topic

Kaini alikuwa TAAHIRA.

KWANINI KAINI ALIKUWA TAAHIRA?

Ni sababu za kisayansi.

KWA mujibu wa maandiko Kaini na Habili wali share the same father with their mother. Yani baba wa Kaini na Habili ndio huyo huyo alikuwa baba wa mama mzazi wa Kaini na Habili.


Yes KWA mujibu wa maandiko HAWA alikuwa mtoto wa Adam.

Adam alikuwa ndio baba wa HAWA.

Adamu alikuwa ndio mama wa HAWA.

Adamu hakusema " she is flesh of my flesh and bones of my bones" kimakosa.

Without a doubt !!! Eve was a biological daughter of Adam

Sayansi inasema baba na binti au dada na kaka endapo watazaa mtoto basi kuna uwezekano mkubwa sana wakazaa mtoto mwenye matatizo ya akili.

Ndivyo ilivyo kuwa kwa Kaini. Kaini alikuwa na matatizo ya akili. Ningekuwa wakili wa Kaini mbele za Mungu ninge raise defense ya Insanity.

Ningemwambia Mungu kwamba mteja wangu Kaini ana tatizo la akili..wakati anafanya tukio la kumuua ndugu yake his right part of his brain was left and his left part of his brain was not right.

Kama Kaini angekuwa SAWA SAWA kichwani asinge muua ndugu yake.

Ange enda na yeye kutoa sadaka kama aliyo toa Habili. Kaini alikuwa mgonjwa wa akili.period. Je sisi waafrika ni kizazi cha Adam?

The evidence says No.

Mungu hakuumba watu wawili tu duniani. Aliumba a hundred of thousand of couples.( This will be a topic for another day)
Sourc? : Trust me bro
 
"The evidence says no"..... Where are those evidence....???
It shows that you have a problem with singularity and prurality in your english my friend. Re read the post especially on the part of "THE EVIDENCE SAYS NO"
 
Ushahidi utacorroborate vipi ikiwa hakuna hata tendo au Tabia za kabla na after the fact zinazoonesha kwamba Cain was insane? Je,mens Rea ya Actus reus ya Cain inathibitika ama haithibitiki? Cain akijua alichokuwa anafanya ,kidogo ungeniambia provocation ingawa nayo inagoma Kwa kuwa Mungu alikuwa wa wote na wote walipewa haki sawa ya kutoa sadaka.
Dogo wa llb first year bana. Unataka ni establish mens rea na actus reus.

Vyote vipo wazi

Mens rea = kamuua KWA sababu ya wivu kwamba eti sadaka yake imekubaliwa na Mungu.


Actus reus = tendo la kumuua Habili lime fanyika.


Motive ndio inayo FANYA mimi niseme Cain alikuwa insane.

Wewe unaweza kwenda kumuua kaka ako kwa sababu ametoa sadaka kubwa KWA Mwamposa kuliko uliyo itoa wewe?

Ukifanya hivyo tutakosea tukikuita insane?
 
Kasome habari za Yusuph na ndugu zake uje useme tena ndugu zake walikuwa hawana akili yaani walikiwa mataahira kumuua mdogo wao kisa ndoto
Yusuph hakuuawa na mtu yeyote, iwe ndugu zake ama watu baki. Kuwa makini unapotoa hoja.
 
Shida inaanzia pale history ya hawa na adamu, imekuta tayari kuna jamii huko mesopotamia, mfano, huriane, akadian, sumerians,, so ukitaka upate asili ya hawa na adamu,
Rudi kwanza upitie civilization, tangu stone age, bronze age, iron age na kuendelea,
Inakaa kama hii story ni ya kipindi cha iron age, ambapo tayari jamii zimeanza kulima na kufuga,,
Automatically hii habari ilitokea tayari kukiwa na civilization kwingine,,
Mfano habari ya moses inakaa kama imetokea kabla watu hawajagundua kuandika kwenye magome ya miti,, watu walikua wakiandika kwenye mawe ama udongo,,
Hivyo kuna timelines conflicts ya hizi habari za akina Adam🤷‍♂️,
Mi nijuavyo Adam alikua ni mmoja wa watawala wa Asyria,, kuna uwezekano kuna watu , waandishi wa kale walikua inspired na huyo mtawala kiasi cha kubuni hii habari ya Adam kiumbe wa kwanza😂🙆‍♀️
Yeah! Stori ya kutunga ni lazima iwe na loose ends nyingi tu.
 
Hamjui maanddiko, kuna jamii iliishi kabla ya adam so tusidhan adam ndo mtu wa kwanza kuishi duniani
 
Back
Top Bottom