econonist
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 20,189
- 29,663
Yeah! Stori ya kutunga ni lazima iwe na loose ends nyingi tu.
Nani alitunga?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yeah! Stori ya kutunga ni lazima iwe na loose ends nyingi tu.
Hakunaga
Tupo hapa wakristo tunaoijua vyema biblia.
Wengi sana, Musa, Malaki, Hosea, Jeremia, Isaya, Danyeli Joeli na washkaji kibao yani, wengi wao ni wayahudi..Nani alitunga?
Hamjui maanddiko, kuna jamii iliishi kabla ya adam so tusidhan adam ndo mtu wa kwanza kuishi duniani
Kwani kuwa mkristo ni lazima wote tuwe mbumbumbu kama makondoo tu, tupo wakristo tunaoijua vizuri biblia, kwamba imeandikwa na watu tu, kwa utashi wao, na ina mikanganyiko kibao, kama ilivyo Quruani.Unajiita mkristo wakati hapo juu umetoka kusema Biblia ni stori za kutunga na zina loose ends.
Wengi sana, Musa, Malaki, Hosea, Jeremia, Isaya, Danyeli Joeli na washkaji kibao yani, wengi wao ni wayahudi..
Kwani kuwa mkristo ni lazima wote tuwe mbumbumbu kama makondoo tu, tupo wakristo tunaoijua vizuri biblia, kwamba imeandikwa na watu tu, kwa utashi wao, na ina mikanganyiko kibao, kama ilivyo Quruani.
Humjui huyo mtu Kaka chunga vidole vyako visiandike kwa jazbaDogo wa llb first year bana. Unataka ni establish mens rea na actus reus.
Vyote vipo wazi
Mens rea = kamuua KWA sababu ya wivu kwamba eti sadaka yake imekubaliwa na Mungu.
Actus reus = tendo la kumuua Habili lime fanyika.
Motive ndio inayo FANYA mimi niseme Cain alikuwa insane.
Wewe unaweza kwenda kumuua kaka ako kwa sababu ametoa sadaka kubwa KWA Mwamposa kuliko uliyo itoa wewe?
Ukifanya hivyo tutakosea tukikuita insane?
Subirini jamani kwani hamuwezi kucommunicate na Mungu migogoro na migongano iishe
Huu ndio ukweli wenyewe. Stori za wazungu hizi
Baadhi walitunga, na baadhi walirekodi historia za ukoo wao, Utasikia, "Henoko akamzaa Kenani, Kenani akamzaa Zebedayo, Zebadayo akamzaa sijui nani nakadhalika. Hizo ni historia za ukoo wao wayahudi, waliamua kuziweka kwenye kitabu.Kwa hivyo walikaa Chini wenyewe wakajitungia ya kuandika. Walivyojisikia?
Upo sahih kwenye mtazamo wa mungu kuumba watu wawili walianzaje kuingiliana ndugu kwa ndugu maisha hayana mwanzo yalikuwepo
Sio kweli.... Mambo ya koroho tofauti na elimu za kidunia.Ukisoma kisa cha Kaini na Habili ( watoto wa Adam na HAWA ambao KWA mujibu wa mafundisho ya wakristo, waislamu na Wayahudi ina aminika ndio binadamu wa kwanza duniani jambo ambalo ni kinyume na mafundisho ya imani za jadi za kiafrika)
Utagundua kwamba Cain killed Abel over bullshit. Hakukuwa na sababu yoyote ile ya msingi ya ku mfanya Kaini amuue Habili.
Waulize wachungaji hivi ni sababu GANI hasa iliyo mfanya Kaini amuue nduguye Habili?
Utasikia ooh Kaini aliona wivu KWA Habili KWA sababu sadaka ya Habili ilikubalika mbele za Mungu. . Blah blah blah. Alijuaje kama sadaka ya Habili imekubalika mbele za Mungu?
Kama sadaka ya Habili ilikubalika mbele za Mungu na sadaka ya Kaini haijakubalika kwanini Habili ambae sadaka yake ndo imekubalika (mwenye haki) ndio afe na Kaini ambae sadaka yake haijakubalika (asie na haki) aishi..
Jibu ni moja tu kwamba adhabu ya kutoa sadaka inayo kubalika mbele za Mungu ni kuuwawa.
Now back to my topic
Kaini alikuwa TAAHIRA.
KWANINI KAINI ALIKUWA TAAHIRA?
Ni sababu za kisayansi.
KWA mujibu wa maandiko Kaini na Habili wali share the same father with their mother. Yani baba wa Kaini na Habili ndio huyo huyo alikuwa baba wa mama mzazi wa Kaini na Habili.
Yes KWA mujibu wa maandiko HAWA alikuwa mtoto wa Adam.
Adam alikuwa ndio baba wa HAWA.
Adamu alikuwa ndio mama wa HAWA.
Adamu hakusema " she is flesh of my flesh and bones of my bones" kimakosa.
Without a doubt !!! Eve was a biological daughter of Adam
Sayansi inasema baba na binti au dada na kaka endapo watazaa mtoto basi kuna uwezekano mkubwa sana wakazaa mtoto mwenye matatizo ya akili.
Ndivyo ilivyo kuwa kwa Kaini. Kaini alikuwa na matatizo ya akili. Ningekuwa wakili wa Kaini mbele za Mungu ninge raise defense ya Insanity.
Ningemwambia Mungu kwamba mteja wangu Kaini ana tatizo la akili..wakati anafanya tukio la kumuua ndugu yake his right part of his brain was left and his left part of his brain was not right.
Kama Kaini angekuwa SAWA SAWA kichwani asinge muua ndugu yake.
Ange enda na yeye kutoa sadaka kama aliyo toa Habili. Kaini alikuwa mgonjwa wa akili.period. Je sisi waafrika ni kizazi cha Adam?
The evidence says No.
Mungu hakuumba watu wawili tu duniani. Aliumba a hundred of thousand of couples.( This will be a topic for another day)
Endelea kuisoma Biblia ukiwa openminded, utagundua madudu mengi tu..Nakubishia , Biblia haina mikanganyiko na ipo sahihi kabisa.
Ndo ukweli huo.Kwanza hao Kaini na Habeli nao naona ni hadithi tu. Ukute hawakuwahi hata kuwepo.
Baadhi walitunga, na baadhi walirekodi historia za ukoo wao, Utasikia, "Henoko akamzaa Kenani, Kenani akamzaa Zebedayo, Zebadayo akamzaa sijui nani nakadhalika. Hizo ni historia za ukoo wao wayahudi, waliamua kuziweka kwenye kitabu.
Sehemu zingine wanazungumzia maisha yao tu..., Kama vile Yakobo akamuoa mke mdogo Rahel, Rahel akazaa Yusufu na Benyamini, Yusufu akauzwa utumwani Misri, akafungwa jela kisha akatolewa, akawa waziri mkuu. Hizo ni historia za maisha yao, Wayahudi.
Kwenye agano jipya sehemu kubwa wamerekodi mahubiri ya Yesu, yule mtoto wa fundi seremala.
Endelea kuisoma Biblia ukiwa openminded, utagundua madudu mengi tu..
Ndo ukweli huo.