Huenda Joanfaith John Kataraia is best DED of the history, anajituma sana huyu binti

Aise, Sifa zote ni kwa Mama Samia Suluhu Hassan na Mashimba Ndaki,

Huyu binti mtekelezaji tu
 
Aiseeeee itabidi tuanze kuwa visha heleni ng'ombe zetu wapi tunazipata hizo mzee maana tangazo lako tumesha lisoma na kulielewa
 
Mimi nimesema nilichokiona Malinyi kwenye biashara zangu za ng'ombe,
Tittle ya uzi wako unakosana na content. Kwenye content umezama deep kuelezea faida za hereni za mifugo jambo ambalo ni muhimu na ungelianzishia uzi wake . Umesababisha watu hawamjadili DED kamaulivyokusudia wanajadili hereni mana wengi walikuwa hawajui. Hivyo umeibua kitu kidogo kimekuwa kikubwa kuliko kikubwa ulichokusudia. Ni kama kuna nyuzi mbili moja inamuhusu DED nyingine inahusu hereni
 
Aiseeeee itabidi tuanze kuwa visha heleni ng'ombe zetu wapi tunazipata hizo mzee maana tangazo lako tumesha lisoma na kulielewa
hata Mimi sijui, Nadhani cheki na DED mwenyewe ,
 
Mimi nijadili mambo yanayomfanya huyu binti kuwa DED bora,
 
Hiyo wilaya Ina ukurasa facebook/Instagram au YouTube tukafanye review ya mambo ya maendeleo anayofanya huko? Maana Kila wilaya Ina Afisa habari, anatakiwa kuonyesha delivery ya halmashauri katika maendeleo, au weka link hapa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…