Huenda Joanfaith John Kataraia is best DED of the history, anajituma sana huyu binti

Huenda Joanfaith John Kataraia is best DED of the history, anajituma sana huyu binti

View attachment 2232603

Nawasalimu kwa jina la JMT,

Mnyonge mnyongeni ila haki yake mpeni,Huyu Mkurugenzi deserves better tuache unafiki,

Wakati Rais Samia Suluhu Hassan anamteua binti huyu mdogo mrembo minong'ono ilikuwa mingi hasa humu mitandaoni,nikiwamo na Mimi,

Majuzi nilifanikiwa kufika Wilaya ya Malinyi kwenye halmashauri ya Malinyi kwaajili ya kununua mifugo,

Awali sikuwa na kumbukumbu ni nani Mkurugenzi wa wilaya ya Malinyi inayoonekana kupiga hatua za kimaendeleo kwa kasi sana nadhani hili wote tuliofika Malinyi mtakubaliana na Mimi,

Nilipodadisi kutaka kumjua,mkurugenzi wa hapa ni nani nikaambiwa anaitwa Joanfaith,

Nilipo -google kutaka kumjua huyo Joanfaith nikakuta kumbe ni yule binti mdogo mrembo uteuzi wake uliyezua mijadala mikali mitandaoni,

Regardless umri wake huyu dada ni kiongozi mahiri sana,na Rais hakukosea kumteua nimeridhika,

Baadhi ya mambo yaliyonifurahisha toka kwa Mkurugenzi huyu ni haya,

1. Nimeshangaa kuona mifugo ya Malinyi inavishwa hereni ( eartags ) bora kabisa kama zile nilizowahi kuziona USA miaka 2016,

Hili limenivutia sana ndio maana nikamwona dada huyu anastahili kuwa juu zaidi ya hapa,

Mkoa mzima ni yeye peke yake na eartags,

Wale tuliofanya biashara ya nyama nje ya nchi tunafahamu huwa tunanunua ng'ombe Tanzania na kuwapeleka Uganda na kuwawekea hizo eartags then tunawauza nje kwa bei ambayo ni maratano zaidi,

Iko hivi, Nikinunua ng'ombe hapa Tanzania kwa shilingi milioni moja asiye na eartag ukimpeleka Uganda na kumuweka eartag unamuuza nje kwa zaidi ya shilingi milioni nne za Tanzania,

Kitendo cha huyu dada kuamua kuweka mifugo yake hereni amenisaidia sana Mimi kama mfanyabiashara wa ng'ombe wa kimataifa,

Sasa nitanunua ng'ombe hapa Malinyi na kuwauza moja kwa moja kwa wateja wangu walioko nje ya nchi, hapa lazima niseme huyu dada ni Mkurugenzi bora kabisa,

Kama kuna mtu wanamalinyi hasa wafugaji wanaweza kumshukuru basi ni huyu dada Joanfaith,

Huenda tukaanza kushuhudia ng'ombe anauzwa hadi milioni tatu hapa hapa Malinyi,

2. Ujenzi wa ghorofa kwaajili ya Halmashauri ya Malinyi, yaani she is doing wonders aise, njooni Malinyi na ninyi mjionee haya ninayoyasema,

3. Kamaliza migogoro ya makulima na wafugaji kabisa hapa,

Natamani halmashauri zingine nao waamke, mkoa mzima wa Morogoro ni huyu binti tu kanifurahisha zaidi hasa kwa Eartags,

Hongera dada mzuri kwa kazi nzuri sana ya kuwasaidia wafugaji na wanachi wako,
Umekuja kujipigia promo? Kwanini hukusema mkuu wa wilaya ndio kafanya kazi?
 
Umekuja kujipigia promo? Kwanini hukusema mkuu wa wilaya ndio kafanya kazi?
Acha ushamba,Mkuu wa Wilaya tangu lini akawa ni mtendaji?

Kama mtu anafanya vizuri kusifiwa ubaya uko wapi?

Mkurugenzi chapa Kazi ya kutekeleza Ilani ya CCM,
Umekuja kujipigia promo? Kwanini hukusema mkuu wa wilaya ndio kafanya kazi?
 
Acha ushamba,Mkuu wa Wilaya tangu lini akawa ni mtendaji?

Kama mtu anafanya vizuri kusifiwa ubaya uko wapi?

Mkurugenzi chapa Kazi ya kutekeleza Ilani ya CCM,
Uende kwenye wilaya halafu uone ng'ombe na akili yako ikwambie sifa ni kwa DeD? Acha kujitoa ufahamu.
 
View attachment 2232603

Nawasalimu kwa jina la JMT,

Mnyonge mnyongeni ila haki yake mpeni,Huyu Mkurugenzi deserves better tuache unafiki,

Wakati Rais Samia Suluhu Hassan anamteua binti huyu mdogo mrembo minong'ono ilikuwa mingi hasa humu mitandaoni,nikiwamo na Mimi,

Majuzi nilifanikiwa kufika Wilaya ya Malinyi kwenye halmashauri ya Malinyi kwaajili ya kununua mifugo,

Awali sikuwa na kumbukumbu ni nani Mkurugenzi wa wilaya ya Malinyi inayoonekana kupiga hatua za kimaendeleo kwa kasi sana nadhani hili wote tuliofika Malinyi mtakubaliana na Mimi,

Nilipodadisi kutaka kumjua,mkurugenzi wa hapa ni nani nikaambiwa anaitwa Joanfaith,

Nilipo -google kutaka kumjua huyo Joanfaith nikakuta kumbe ni yule binti mdogo mrembo uteuzi wake uliyezua mijadala mikali mitandaoni,

Regardless umri wake huyu dada ni kiongozi mahiri sana,na Rais hakukosea kumteua nimeridhika,

Baadhi ya mambo yaliyonifurahisha toka kwa Mkurugenzi huyu ni haya,

1. Nimeshangaa kuona mifugo ya Malinyi inavishwa hereni ( eartags ) bora kabisa kama zile nilizowahi kuziona USA miaka 2016,

Hili limenivutia sana ndio maana nikamwona dada huyu anastahili kuwa juu zaidi ya hapa,

Mkoa mzima ni yeye peke yake na eartags,

Wale tuliofanya biashara ya nyama nje ya nchi tunafahamu huwa tunanunua ng'ombe Tanzania na kuwapeleka Uganda na kuwawekea hizo eartags then tunawauza nje kwa bei ambayo ni maratano zaidi,

Iko hivi, Nikinunua ng'ombe hapa Tanzania kwa shilingi milioni moja asiye na eartag ukimpeleka Uganda na kumuweka eartag unamuuza nje kwa zaidi ya shilingi milioni nne za Tanzania,

Kitendo cha huyu dada kuamua kuweka mifugo yake hereni amenisaidia sana Mimi kama mfanyabiashara wa ng'ombe wa kimataifa,

Sasa nitanunua ng'ombe hapa Malinyi na kuwauza moja kwa moja kwa wateja wangu walioko nje ya nchi, hapa lazima niseme huyu dada ni Mkurugenzi bora kabisa,

Kama kuna mtu wanamalinyi hasa wafugaji wanaweza kumshukuru basi ni huyu dada Joanfaith,

Huenda tukaanza kushuhudia ng'ombe anauzwa hadi milioni tatu hapa hapa Malinyi,

2. Ujenzi wa ghorofa kwaajili ya Halmashauri ya Malinyi, yaani she is doing wonders aise, njooni Malinyi na ninyi mjionee haya ninayoyasema,

3. Kamaliza migogoro ya makulima na wafugaji kabisa hapa,

Natamani halmashauri zingine nao waamke, mkoa mzima wa Morogoro ni huyu binti tu kanifurahisha zaidi hasa kwa Eartags,

Hongera dada mzuri kwa kazi nzuri sana ya kuwasaidia wafugaji na wanachi wako,
[emoji41][emoji41][emoji41]
 
View attachment 2232603

Nawasalimu kwa jina la JMT,

Mnyonge mnyongeni ila haki yake mpeni,Huyu Mkurugenzi deserves better tuache unafiki,

Wakati Rais Samia Suluhu Hassan anamteua binti huyu mdogo mrembo minong'ono ilikuwa mingi hasa humu mitandaoni,nikiwamo na Mimi,

Majuzi nilifanikiwa kufika Wilaya ya Malinyi kwenye halmashauri ya Malinyi kwaajili ya kununua mifugo,

Awali sikuwa na kumbukumbu ni nani Mkurugenzi wa wilaya ya Malinyi inayoonekana kupiga hatua za kimaendeleo kwa kasi sana nadhani hili wote tuliofika Malinyi mtakubaliana na Mimi,

Nilipodadisi kutaka kumjua,mkurugenzi wa hapa ni nani nikaambiwa anaitwa Joanfaith,

Nilipo -google kutaka kumjua huyo Joanfaith nikakuta kumbe ni yule binti mdogo mrembo uteuzi wake uliyezua mijadala mikali mitandaoni,

Regardless umri wake huyu dada ni kiongozi mahiri sana,na Rais hakukosea kumteua nimeridhika,

Baadhi ya mambo yaliyonifurahisha toka kwa Mkurugenzi huyu ni haya,

1. Nimeshangaa kuona mifugo ya Malinyi inavishwa hereni ( eartags ) bora kabisa kama zile nilizowahi kuziona USA miaka 2016,

Hili limenivutia sana ndio maana nikamwona dada huyu anastahili kuwa juu zaidi ya hapa,

Mkoa mzima ni yeye peke yake na eartags,

Wale tuliofanya biashara ya nyama nje ya nchi tunafahamu huwa tunanunua ng'ombe Tanzania na kuwapeleka Uganda na kuwawekea hizo eartags then tunawauza nje kwa bei ambayo ni maratano zaidi,

Iko hivi, Nikinunua ng'ombe hapa Tanzania kwa shilingi milioni moja asiye na eartag ukimpeleka Uganda na kumuweka eartag unamuuza nje kwa zaidi ya shilingi milioni nne za Tanzania,

Kitendo cha huyu dada kuamua kuweka mifugo yake hereni amenisaidia sana Mimi kama mfanyabiashara wa ng'ombe wa kimataifa,

Sasa nitanunua ng'ombe hapa Malinyi na kuwauza moja kwa moja kwa wateja wangu walioko nje ya nchi, hapa lazima niseme huyu dada ni Mkurugenzi bora kabisa,

Kama kuna mtu wanamalinyi hasa wafugaji wanaweza kumshukuru basi ni huyu dada Joanfaith,

Huenda tukaanza kushuhudia ng'ombe anauzwa hadi milioni tatu hapa hapa Malinyi,

2. Ujenzi wa ghorofa kwaajili ya Halmashauri ya Malinyi, yaani she is doing wonders aise, njooni Malinyi na ninyi mjionee haya ninayoyasema,

3. Kamaliza migogoro ya makulima na wafugaji kabisa hapa,

Natamani halmashauri zingine nao waamke, mkoa mzima wa Morogoro ni huyu binti tu kanifurahisha zaidi hasa kwa Eartags,

Hongera dada mzuri kwa kazi nzuri sana ya kuwasaidia wafugaji na wananchi wako wa Malinyi,
===
Hongera RC,
Hongera RAS,
Hongera DC,
Hongera DAS,
mtu ana mwaka mmoja tu tangu awe ded, bado anakamilisha mipango ya waliomtangulia kisha umeshalipuka unamsifia. Ungejua hizo eartags mwanzilishi ni lowasa mwenye ranch kubwa huko usingepiga hizi kelele au labda umetumwa
 
mtu ana mwaka mmoja tu tangu awe ded, bado anakamilisha mipango ya waliomtangulia kisha umeshalipuka unamsifia. Ungejua hizo eartags mwanzilishi ni lowasa mwenye ranch kubwa huko usingepiga hizi kelele au labda umetumwa
Acheni wivu, Mbona halmashauri zingine hawana hii kitu, kwanini tusimsifie huyu Dada?
 
mtu ana mwaka mmoja tu tangu awe ded, bado anakamilisha mipango ya waliomtangulia kisha umeshalipuka unamsifia. Ungejua hizo eartags mwanzilishi ni lowasa mwenye ranch kubwa huko usingepiga hizi kelele au labda umetumwa
Punguza wivu kijana,huwezi kupanda kwa kumshusha mwenzako,
 
View attachment 2232603

Nawasalimu kwa jina la JMT,

Mnyonge mnyongeni ila haki yake mpeni,Huyu Mkurugenzi deserves better tuache unafiki,

Wakati Rais Samia Suluhu Hassan anamteua binti huyu mdogo mrembo minong'ono ilikuwa mingi hasa humu mitandaoni,nikiwamo na Mimi,

Majuzi nilifanikiwa kufika Wilaya ya Malinyi kwenye halmashauri ya Malinyi kwaajili ya kununua mifugo,

Awali sikuwa na kumbukumbu ni nani Mkurugenzi wa wilaya ya Malinyi inayoonekana kupiga hatua za kimaendeleo kwa kasi sana nadhani hili wote tuliofika Malinyi mtakubaliana na Mimi,

Nilipodadisi kutaka kumjua,mkurugenzi wa hapa ni nani nikaambiwa anaitwa Joanfaith,

Nilipo -google kutaka kumjua huyo Joanfaith nikakuta kumbe ni yule binti mdogo mrembo uteuzi wake uliyezua mijadala mikali mitandaoni,

Regardless umri wake huyu dada ni kiongozi mahiri sana,na Rais hakukosea kumteua nimeridhika,

Baadhi ya mambo yaliyonifurahisha toka kwa Mkurugenzi huyu ni haya,

1. Nimeshangaa kuona mifugo ya Malinyi inavishwa hereni ( eartags ) bora kabisa kama zile nilizowahi kuziona USA miaka 2016,

Hili limenivutia sana ndio maana nikamwona dada huyu anastahili kuwa juu zaidi ya hapa,

Mkoa mzima ni yeye peke yake na eartags,

Wale tuliofanya biashara ya nyama nje ya nchi tunafahamu huwa tunanunua ng'ombe Tanzania na kuwapeleka Uganda na kuwawekea hizo eartags then tunawauza nje kwa bei ambayo ni maratano zaidi,

Iko hivi, Nikinunua ng'ombe hapa Tanzania kwa shilingi milioni moja asiye na eartag ukimpeleka Uganda na kumuweka eartag unamuuza nje kwa zaidi ya shilingi milioni nne za Tanzania,

Kitendo cha huyu dada kuamua kuweka mifugo yake hereni amenisaidia sana Mimi kama mfanyabiashara wa ng'ombe wa kimataifa,

Sasa nitanunua ng'ombe hapa Malinyi na kuwauza moja kwa moja kwa wateja wangu walioko nje ya nchi, hapa lazima niseme huyu dada ni Mkurugenzi bora kabisa,

Kama kuna mtu wanamalinyi hasa wafugaji wanaweza kumshukuru basi ni huyu dada Joanfaith,

Huenda tukaanza kushuhudia ng'ombe anauzwa hadi milioni tatu hapa hapa Malinyi,

2. Ujenzi wa ghorofa kwaajili ya Halmashauri ya Malinyi, yaani she is doing wonders aise, njooni Malinyi na ninyi mjionee haya ninayoyasema,

3. Kamaliza migogoro ya makulima na wafugaji kabisa hapa,

Natamani halmashauri zingine nao waamke, mkoa mzima wa Morogoro ni huyu binti tu kanifurahisha zaidi hasa kwa Eartags,

Hongera dada mzuri kwa kazi nzuri sana ya kuwasaidia wafugaji na wananchi wako wa Malinyi,
===
Hongera RC,
Hongera RAS,
Hongera DC,
Hongera DAS,
Naona dada amekaza, Hongera zake,
 
Tupia namba mkuu, tuweze kumpongeza mheshimiwa DED.....
 
Acheni wivu, Mbona halmashauri zingine hawana hii kitu, kwanini tusimsifie huyu Dada?
dada ndiye kaanzisha au ameikuta? Acha kulipuka mkuu.
Huo utaratibu uko hiyo wilaya miaka mingi na hiyo wilaya inauza ng'ombe sana nchini Kenya hata kabla ya huyo binti hajafika hapo.

Umekwenda mara ya kwanza tayari milipuko kibao as if hiyo wilaya imeanzishwa jana. Sema binti amejitahidi kutoharibu walichoanzisha watangulizi wenzake.

Jifunze kuwa na kiasi unaposifia mtu.
 
Punguza wivu kijana,huwezi kupanda kwa kumshusha mwenzako

Punguza wivu kijana,huwezi kupanda kwa kumshusha mwenzako,
nimemshusha nani. ikiwa huwezi kuubeba ukweli unanyamaza. binti ametauliwa mwaka jana. badala ya kumsifu kuwa amehakikisha utaratibu haujaharibika na anaendelea kuusimamia vizuri, mnaleta sifa za kijinga kuwe yeye ndiye mwanzilishi.

jifunzeni kuwa na kiasi mnaposifia
 
View attachment 2232603

Nawasalimu kwa jina la JMT,

Mnyonge mnyongeni ila haki yake mpeni,Huyu Mkurugenzi deserves better tuache unafiki,

Wakati Rais Samia Suluhu Hassan anamteua binti huyu mdogo mrembo minong'ono ilikuwa mingi hasa humu mitandaoni,nikiwamo na Mimi,

Majuzi nilifanikiwa kufika Wilaya ya Malinyi kwenye halmashauri ya Malinyi kwaajili ya kununua mifugo,

Awali sikuwa na kumbukumbu ni nani Mkurugenzi wa wilaya ya Malinyi inayoonekana kupiga hatua za kimaendeleo kwa kasi sana nadhani hili wote tuliofika Malinyi mtakubaliana na Mimi,

Nilipodadisi kutaka kumjua,mkurugenzi wa hapa ni nani nikaambiwa anaitwa Joanfaith,

Nilipo -google kutaka kumjua huyo Joanfaith nikakuta kumbe ni yule binti mdogo mrembo uteuzi wake uliyezua mijadala mikali mitandaoni,

Regardless umri wake huyu dada ni kiongozi mahiri sana,na Rais hakukosea kumteua nimeridhika,

Baadhi ya mambo yaliyonifurahisha toka kwa Mkurugenzi huyu ni haya,

1. Nimeshangaa kuona mifugo ya Malinyi inavishwa hereni ( eartags ) bora kabisa kama zile nilizowahi kuziona USA miaka 2016,

Hili limenivutia sana ndio maana nikamwona dada huyu anastahili kuwa juu zaidi ya hapa,

Mkoa mzima ni yeye peke yake na eartags,

Wale tuliofanya biashara ya nyama nje ya nchi tunafahamu huwa tunanunua ng'ombe Tanzania na kuwapeleka Uganda na kuwawekea hizo eartags then tunawauza nje kwa bei ambayo ni maratano zaidi,

Iko hivi, Nikinunua ng'ombe hapa Tanzania kwa shilingi milioni moja asiye na eartag ukimpeleka Uganda na kumuweka eartag unamuuza nje kwa zaidi ya shilingi milioni nne za Tanzania,

Kitendo cha huyu dada kuamua kuweka mifugo yake hereni amenisaidia sana Mimi kama mfanyabiashara wa ng'ombe wa kimataifa,

Sasa nitanunua ng'ombe hapa Malinyi na kuwauza moja kwa moja kwa wateja wangu walioko nje ya nchi, hapa lazima niseme huyu dada ni Mkurugenzi bora kabisa,

Kama kuna mtu wanamalinyi hasa wafugaji wanaweza kumshukuru basi ni huyu dada Joanfaith,

Huenda tukaanza kushuhudia ng'ombe anauzwa hadi milioni tatu hapa hapa Malinyi,

2. Ujenzi wa ghorofa kwaajili ya Halmashauri ya Malinyi, yaani she is doing wonders aise, njooni Malinyi na ninyi mjionee haya ninayoyasema,

3. Kamaliza migogoro ya makulima na wafugaji kabisa hapa,

Natamani halmashauri zingine nao waamke, mkoa mzima wa Morogoro ni huyu binti tu kanifurahisha zaidi hasa kwa Eartags,

Hongera dada mzuri kwa kazi nzuri sana ya kuwasaidia wafugaji na wananchi wako wa Malinyi,
===
Hongera RC,
Hongera RAS,
Hongera DC,
Hongera DAS,
Nafasi za wakuu wa mikoa zimejaa kwasasa
 
Back
Top Bottom