Huenda Joanfaith John Kataraia is best DED of the history, anajituma sana huyu binti

Huenda Joanfaith John Kataraia is best DED of the history, anajituma sana huyu binti

Kwa kumuonaga huyo binti sidhani kama ana maajabu sana naona kama umetumwa uje umuandike ili atrend sababu mnajua mama huwa anapitia mitandaoni.

Hana cha ajabu alichokifanya malinyi zaidi ya kusafiri kuja mjini kwa mzee wake mpaka akakoswa na ajali.
 
Kwa kumuonaga huyo binti sidhani kama ana maajabu sana naona kama umetumwa uje umuandike ili atrend sababu mnajua mama huwa anapitia mitandaoni.

Hana cha ajabu alichokifanya malinyi zaidi ya kusafiri kuja mjini kwa mzee wake mpaka akakoswa na ajali.
Wewe unamaajabu gani? Tuacheni wivu wa kijinga, dada anapiga kazi aise,
 
View attachment 2232603

Nawasalimu kwa jina la JMT,

Mnyonge mnyongeni ila haki yake mpeni,Huyu Mkurugenzi deserves better tuache unafiki,

Wakati Rais Samia Suluhu Hassan anamteua binti huyu mdogo mrembo minong'ono ilikuwa mingi hasa humu mitandaoni,nikiwamo na Mimi,

Majuzi nilifanikiwa kufika Wilaya ya Malinyi kwenye halmashauri ya Malinyi kwaajili ya kununua mifugo,

Awali sikuwa na kumbukumbu ni nani Mkurugenzi wa wilaya ya Malinyi inayoonekana kupiga hatua za kimaendeleo kwa kasi sana nadhani hili wote tuliofika Malinyi mtakubaliana na Mimi,

Nilipodadisi kutaka kumjua,mkurugenzi wa hapa ni nani nikaambiwa anaitwa Joanfaith,

Nilipo -google kutaka kumjua huyo Joanfaith nikakuta kumbe ni yule binti mdogo mrembo uteuzi wake uliyezua mijadala mikali mitandaoni,

Regardless umri wake huyu dada ni kiongozi mahiri sana,na Rais hakukosea kumteua nimeridhika,

Baadhi ya mambo yaliyonifurahisha toka kwa Mkurugenzi huyu ni haya,

1. Nimeshangaa kuona mifugo ya Malinyi inavishwa hereni ( eartags ) bora kabisa kama zile nilizowahi kuziona USA miaka 2016,

Hili limenivutia sana ndio maana nikamwona dada huyu anastahili kuwa juu zaidi ya hapa,

Mkoa mzima ni yeye peke yake na eartags,

Wale tuliofanya biashara ya nyama nje ya nchi tunafahamu huwa tunanunua ng'ombe Tanzania na kuwapeleka Uganda na kuwawekea hizo eartags then tunawauza nje kwa bei ambayo ni maratano zaidi,

Iko hivi, Nikinunua ng'ombe hapa Tanzania kwa shilingi milioni moja asiye na eartag ukimpeleka Uganda na kumuweka eartag unamuuza nje kwa zaidi ya shilingi milioni nne za Tanzania,

Kitendo cha huyu dada kuamua kuweka mifugo yake hereni amenisaidia sana Mimi kama mfanyabiashara wa ng'ombe wa kimataifa,

Sasa nitanunua ng'ombe hapa Malinyi na kuwauza moja kwa moja kwa wateja wangu walioko nje ya nchi, hapa lazima niseme huyu dada ni Mkurugenzi bora kabisa,

Kama kuna mtu wanamalinyi hasa wafugaji wanaweza kumshukuru basi ni huyu dada Joanfaith,

Huenda tukaanza kushuhudia ng'ombe anauzwa hadi milioni tatu hapa hapa Malinyi,

2. Ujenzi wa ghorofa kwaajili ya Halmashauri ya Malinyi, yaani she is doing wonders aise, njooni Malinyi na ninyi mjionee haya ninayoyasema,

3. Kamaliza migogoro ya makulima na wafugaji kabisa hapa,

Natamani halmashauri zingine nao waamke, mkoa mzima wa Morogoro ni huyu binti tu kanifurahisha zaidi hasa kwa Eartags,

Hongera dada mzuri kwa kazi nzuri sana ya kuwasaidia wafugaji na wananchi wako wa Malinyi,
===
Hongera RC,
Hongera RAS,
Hongera DC,
Hongera DAS,
kwa hiyo hayo ma eartag ndo yanamfanya anakuwa best DED of the history...make ncheke kwanza....aisee bado tuna safari ndefu
 
View attachment 2232603

Nawasalimu kwa jina la JMT,

Mnyonge mnyongeni ila haki yake mpeni,Huyu Mkurugenzi deserves better tuache unafiki,

Wakati Rais Samia Suluhu Hassan anamteua binti huyu mdogo mrembo minong'ono ilikuwa mingi hasa humu mitandaoni,nikiwamo na Mimi,

Majuzi nilifanikiwa kufika Wilaya ya Malinyi kwenye halmashauri ya Malinyi kwaajili ya kununua mifugo,

Awali sikuwa na kumbukumbu ni nani Mkurugenzi wa wilaya ya Malinyi inayoonekana kupiga hatua za kimaendeleo kwa kasi sana nadhani hili wote tuliofika Malinyi mtakubaliana na Mimi,

Nilipodadisi kutaka kumjua,mkurugenzi wa hapa ni nani nikaambiwa anaitwa Joanfaith,

Nilipo -google kutaka kumjua huyo Joanfaith nikakuta kumbe ni yule binti mdogo mrembo uteuzi wake uliyezua mijadala mikali mitandaoni,

Regardless umri wake huyu dada ni kiongozi mahiri sana,na Rais hakukosea kumteua nimeridhika,

Baadhi ya mambo yaliyonifurahisha toka kwa Mkurugenzi huyu ni haya,

1. Nimeshangaa kuona mifugo ya Malinyi inavishwa hereni ( eartags ) bora kabisa kama zile nilizowahi kuziona USA miaka 2016,

Hili limenivutia sana ndio maana nikamwona dada huyu anastahili kuwa juu zaidi ya hapa,

Mkoa mzima ni yeye peke yake na eartags,

Wale tuliofanya biashara ya nyama nje ya nchi tunafahamu huwa tunanunua ng'ombe Tanzania na kuwapeleka Uganda na kuwawekea hizo eartags then tunawauza nje kwa bei ambayo ni maratano zaidi,

Iko hivi, Nikinunua ng'ombe hapa Tanzania kwa shilingi milioni moja asiye na eartag ukimpeleka Uganda na kumuweka eartag unamuuza nje kwa zaidi ya shilingi milioni nne za Tanzania,

Kitendo cha huyu dada kuamua kuweka mifugo yake hereni amenisaidia sana Mimi kama mfanyabiashara wa ng'ombe wa kimataifa,

Sasa nitanunua ng'ombe hapa Malinyi na kuwauza moja kwa moja kwa wateja wangu walioko nje ya nchi, hapa lazima niseme huyu dada ni Mkurugenzi bora kabisa,

Kama kuna mtu wanamalinyi hasa wafugaji wanaweza kumshukuru basi ni huyu dada Joanfaith,

Huenda tukaanza kushuhudia ng'ombe anauzwa hadi milioni tatu hapa hapa Malinyi,

2. Ujenzi wa ghorofa kwaajili ya Halmashauri ya Malinyi, yaani she is doing wonders aise, njooni Malinyi na ninyi mjionee haya ninayoyasema,

3. Kamaliza migogoro ya makulima na wafugaji kabisa hapa,

Natamani halmashauri zingine nao waamke, mkoa mzima wa Morogoro ni huyu binti tu kanifurahisha zaidi hasa kwa Eartags,

Hongera dada mzuri kwa kazi nzuri sana ya kuwasaidia wafugaji na wananchi wako wa Malinyi,
===
Hongera RC,
Hongera RAS,
Hongera DC,
Hongera DAS,
Apart from la huyo DED kama kiongozi mahiri kama ulivyo sema, natamani uje na maelezo kuhusu hizo eartags kwenye ng'ombe, uhusiano wa hizo eartags kwenye ng'ombe na bei za kuuzia hasa kwenye soko la kimataifa. Tueleze hilo, ni elimu muhimu kwetu humu JF please.
 
Umekuja kujipigia promo? Kwanini hukusema mkuu wa wilaya ndio kafanya kazi?
Hapana yuko sawa kumsemea huyu DED na hata kumsifia kwani hawa ndi WATENDAJI, hao MA -DC ni political figures tu wenye kazi ya kusimamia sera na kufuatilia utekelezaji na utendaji BASI!
 
Du Basi mje na Mimi kunipongeza..Mana mbuzi zangu zote nimeziwekea hereni
 
Chadema wapuuzi sana watakuja kuuliza ana mume
 
Bro umezingua sana. Kuwekwa hereni tu kwa mang'ombe kashakuwa DED bora. Hizo ear tags ni Sera na mipango mikakati ya Wizara ya mifgo na Uvuvi. Halmashauri hawanaga hizo bajet. Kwenye hili unasimulia usichokijua.

Tangu lini Halmashauri ikawa na uwezo wa kujenga jengo la ofisi la ghorofa. ? Ww hujui unasifisifia tu.
 
Back
Top Bottom