Huenda Joanfaith John Kataraia is best DED of the history, anajituma sana huyu binti

Huenda Joanfaith John Kataraia is best DED of the history, anajituma sana huyu binti

Huyu mleta mada ni mpuuzi sana. Umemuuza dada wa watu ukashindwa kumtetea na umeingia mitini.

Unaanzisha uzi wa hovyo, umesababisha hata ya sirini kuwa hadharani.

Au hukumaanisha Hereni za ng'ombe? Upuuzi huo usiwe unauleta jf huku kuna AKILI KUBWA. Peleka Facebook
 
Huyu mleta mada ni mpuuzi sana. Umemuuza dada wa watu ukashindwa kumtetea na umeingia mitini.

Unaanzisha uzi wa hovyo, umesababisha hata ya sirini kuwa hadharani.

Au hukumaanisha Hereni za ng'ombe? Upuuzi huo usiwe unauleta jf huku kuna AKILI KUBWA. Peleka Facebook
Wewe roho inakuumia nini? Kama Mtu kaona mazuri ya mtu asiyaseme kisa anamapungufu?
Hongera Sana Joanfaith,
Wewe ni DED kinara
 
Mleta mada ww ni chawa mkubwa,mm nadhani utatuambia kuwa wilaya ya Malinyi sasa hivi kumewekwa barabara ya lami na uchumi wa watu wa Malinyi ni mkubwa kwa kujenga nyumba za kisasa,ww unaleta porojo za ng'ombe kuvaa heleni.!!?
Je ng'ombe akivalishwa shanga utamuuza kiasi gani huko nje?
Sisi wana Malinyi tunalia na ukosefu wa barabara ya lami,maji safi tumechoka kutumia maji ya visima (midundiko) na vituo vya afya viongezwe na viwe na dawa na wataalamu.
 
Mleta mada ww ni chawa mkubwa,mm nadhani utatuambia kuwa wilaya ya Malinyi sasa hivi kumewekwa barabara ya lami na uchumi wa watu wa Malinyi ni mkubwa kwa kujenga nyumba za kisasa,ww unaleta porojo za ng'ombe kuvaa heleni.!!?
Je ng'ombe akivalishwa shanga utamuuza kiasi gani huko nje?
Sisi wana Malinyi tunalia na ukosefu wa barabara ya lami,maji safi tumechoka kutumia maji ya visima (midundiko) na vituo vya afya viongezwe na viwe na dawa na wataalamu.
Kila kitu kinafanyika hatua kwa hatua, Usiwe mshamba,
 
Anaweza kuwa anafanya vizuri lakini sio kusema DED bora kati ya Ma DED waliopo..kigezo ulichotumia ni kidogo saana au uelewa wako juu ya uendeshaji wa Halmashauri ni mdogo saana..
Wakurugenzi wa Halmashauri wanapimwa kwa yafuatayo
1.Ukusanyaji wa mapato ya ndani ya Halmashauri
2. Asilimia ngapi ya makusanyo ya ndani ya mapato ya Halmashauri inaenda kwenye utekelezaji wa miradi ya Maendeleo
3.Utoaji wa asilimia 10 ya mapato kwa Vijana, Wanawake na Watu wenye ulemavu
4.Usimamizi wa Miradi ya Maendeleo...

Kwa faida yako katika Taarifa za Robo ya Kwanza, ya Pili na ya Tatu huyo hayupo katika Halmashauri zilizofanya vizuri...hebu fuatilia record za Halmashauri kama Rufiji ( Heko kwa DED Rufiji na CMT Ukweli lazima usemwe) uone wanavyofanya vizuri katika usimamizi wa ukusanyaji mapato, utoaji wa mikopo ya asilimia kumi, usimamizi wa miradi ya Maendeleo.

Hilo ulilosema la kumaliza migogoro ya Wakulima na Wafugaji kwanza ni kazi ya DC..
Hongera kwake pia kama Mkurugenzi, kwa umri wake na uzoefu wake anajitahidi saana, aendeleee kujifunza kwa dada na kaka zake ( Ded ) Wazoefu apate kujijenga, ni kiongozi mzuri aendeleee kupambana
# Mendeleo hayana Chama
# Mungu mbarik Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
 
Kwahiyo hapa hoja tunayoijadili ni uchapakazi wa DED au ubora na umuhimu hereni za ng'ombe kwenye soko la kimataifa?
Vyote viwili vinashabihiana; DED amesimamia vizuri utekelezaji wa ng'ombe kuvishwa heleni ambazo husababisha ng'ombe kupata bei nzuri kwenye soko la kimataifa!
 
Nilijua ametatua kero ya masoko au ameinua ufaulu au basi maji kwa watu wa eneo lake au hata basi barabara za mitaa au basi halmashaur yake imekuwa ya kwanza kimapato labda


Yaan kuwavisha heren ng'ombe tu mweee

Wapi erasto kiwale
 
Huu uzi ungekuwa kwenye forums za majirani.. usinfeenda kijingwa hivi!!! ndio maana wananchi wengi nchini wanasikitisha na hawaachi kulalamika.. kuliko muandike pumbwa zenu si muulize mjifunze mengi kwa uzi huu.. nyie nyie ndio mnatia aibu hii nchi.. wengi ndio nyie nyie.. wadakia mada basi tu muandike upupwu bila kufikiria..
 
Kila kitu kinafanyika hatua kwa hatua, Usiwe mshamba,
Sasa jiulize kati ya ng'ombe kuvishwa hereni na kujenga barabara ya lami kipi kianze? Hujui barabara ikiwa nzuri hata gharama ya kusafirisha ng'ombe wako itapungua?
Hitaji la barabara ya lami ni hitaji la kwanza kwa wana Malinyi.
Acha ujuaji kenge maji wewe.!
 
Sasa jiulize kati ya ng'ombe kuvishwa hereni na kujenga barabara ya lami kipi kianze? Hujui barabara ikiwa nzuri hata gharama ya kusafirisha ng'ombe wako itapungua?
Hitaji la barabara ya lami ni hitaji la kwanza kwa wana Malinyi.
Acha ujuaji kenge maji wewe.!
Kila kimoja ni muhimu, acheni wivu kabisa,
 
Sifa kubwa ya kuteuliwa ni kada wa ccm

Hana sida staili

1.Hakuwa mtumishi wa umma wa kada yeyote hapo kabla

2. Alipaswa ahudumu utumishi kqa miaka sio chini 15(uzoefu)

3. Hata kiumri sidhani kama amekomaa(busara na hekima)

Hii nchi bhana huwa inachekesha sana saa zingine

Sio kwamba tunapinga je wao wanafuata utaratibu!?

Aaagh bhana
 
Back
Top Bottom