Mtuturas
JF-Expert Member
- Apr 18, 2017
- 456
- 867
kwa hiyo huko duniani nyama inaenda na eartag embu acheni upumbavu wenuHuko duniani watu hawanunui nyama bila historical back ground ya mifugo yenu,
Mimi nashawishika it might be true
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kwa hiyo huko duniani nyama inaenda na eartag embu acheni upumbavu wenuHuko duniani watu hawanunui nyama bila historical back ground ya mifugo yenu,
Mimi nashawishika it might be true
hakuna uhusiano wowote huyo jamaa ni mpuuzi fulani hiviApart from la huyo DED kama kiongozi mahiri kama ulivyo sema, natamani uje na maelezo kuhusu hizo eartags kwenye ng'ombe, uhusiano wa hizo eartags kwenye ng'ombe na bei za kuuzia hasa kwenye soko la kimataifa. Tueleze hilo, ni elimu muhimu kwetu humu JF please.
wapuuzi sana hawa wana ccm ulaya wana mashine maalumu za kupima ubora wa nyama sasa sijui hiyo eartag itasaidia vipi kuboresha mifugo inayosagwa porini kienyeji.Kwa hoja zako ni dhahiri hujawahi kufanya biashara ya kuuza ng'ombe nje ya nchi....sekta ya mifugo nchini inahitaji mageuzi makubwa na sio eartag ili kufikia walipo wenzetu kama Botswana.
acha uongo basi mkuu pale kibaha kuna machinjio ng'ombe wanaletwa kuchinjwa hawana hayo ma eartag na jamaa nyama Zao wanapeleka uarabuni( halal) na nyingine ulayaSiyo mashindano mkuu ndio utaratibu wa serikali huo! Kila ng'ombe wa nchi hii kazina awekewe hereni vinginevyo hataruhusiwa kukanyaga masoko ya Tanzania!
Sasa uongo wangu uko wapi hapo? Tatizo vijana wa Kitanzania huwa hamtaki kusoma mkaelewa. Unafikri kazi ya kuweka ear tag ni ya siku moja? Hili ni zoezi endelevu. Regulations za sheria ya "animal identification and tressability" ndivyo inavyotaka. Kwamba ng'ombe asiyekuwa na ear tag asikanyage sokoni. Muda ukifika amri itaanza kutekelezwa!!acha uongo basi mkuu pale kibaha kuna machinjio ng'ombe wanaletwa kuchinjwa hawana hayo ma eartag na jamaa nyama Zao wanapeleka uarabuni( halal) na nyingine ulaya
Hii umeitoa wapi?Sifa kubwa ya kuteuliwa ni kada wa ccm
Hana sida staili
1.Hakuwa mtumishi wa umma wa kada yeyote hapo kabla
2. Alipaswa ahudumu utumishi kqa miaka sio chini 15(uzoefu)
3. Hata kiumri sidhani kama amekomaa(busara na hekima)
Hii nchi bhana huwa inachekesha sana saa zingine
Sio kwamba tunapinga je wao wanafuata utaratibu!?
Aaagh bhana
Itakuwa nzuri sana,Sasa uongo wangu uko wapi hapo? Tatizo vijana wa Kitanzania huwa hamtaki kusoma mkaelewa. Unafikri kazi ya kuweka ear tag ni ya siku moja? Hili ni zoezi endelevu. Regulations za sheria ya "animal identification and tressability" ndivyo inavyotaka. Kwamba ng'ombe asiyekuwa na ear tag asikanyage sokoni. Muda ukifika amri itaanza kutekelezwa!!
Nchi ngumu kwelikweli hiiSasa uongo wangu uko wapi hapo? Tatizo vijana wa Kitanzania huwa hamtaki kusoma mkaelewa. Unafikri kazi ya kuweka ear tag ni ya siku moja? Hili ni zoezi endelevu. Regulations za sheria ya "animal identification and tressability" ndivyo inavyotaka. Kwamba ng'ombe asiyekuwa na ear tag asikanyage sokoni. Muda ukifika amri itaanza kutekelezwa!!
Ndio umesema lkn tueleze Kuna uhusiano gan wa heleno na bei ya ngombeMimi nimesema nilichokiona Malinyi kwenye biashara zangu za ng'ombe,
Umefanyiwa sarcasm Mkuu.Hakika anastaili,
Aaaaah mimi hilo sijui!hakuna uhusiano wowote huyo jamaa ni mpuuzi fulani hivi
Safi sana JoanfaithView attachment 2232603
Nawasalimu kwa jina la JMT,
Mnyonge mnyongeni ila haki yake mpeni,Huyu Mkurugenzi deserves better tuache unafiki,
Wakati Rais Samia Suluhu Hassan anamteua binti huyu mdogo mrembo minong'ono ilikuwa mingi hasa humu mitandaoni,nikiwamo na Mimi,
Majuzi nilifanikiwa kufika Wilaya ya Malinyi kwenye halmashauri ya Malinyi kwaajili ya kununua mifugo,
Awali sikuwa na kumbukumbu ni nani Mkurugenzi wa wilaya ya Malinyi inayoonekana kupiga hatua za kimaendeleo kwa kasi sana nadhani hili wote tuliofika Malinyi mtakubaliana na Mimi,
Nilipodadisi kutaka kumjua,mkurugenzi wa hapa ni nani nikaambiwa anaitwa Joanfaith,
Nilipo -google kutaka kumjua huyo Joanfaith nikakuta kumbe ni yule binti mdogo mrembo uteuzi wake uliyezua mijadala mikali mitandaoni,
Regardless umri wake huyu dada ni kiongozi mahiri sana,na Rais hakukosea kumteua nimeridhika,
Baadhi ya mambo yaliyonifurahisha toka kwa Mkurugenzi huyu ni haya,
1. Nimeshangaa kuona mifugo ya Malinyi inavishwa hereni ( eartags ) bora kabisa kama zile nilizowahi kuziona USA miaka 2016,
Hili limenivutia sana ndio maana nikamwona dada huyu anastahili kuwa juu zaidi ya hapa,
Mkoa mzima ni yeye peke yake na eartags,
Wale tuliofanya biashara ya nyama nje ya nchi tunafahamu huwa tunanunua ng'ombe Tanzania na kuwapeleka Uganda na kuwawekea hizo eartags then tunawauza nje kwa bei ambayo ni maratano zaidi,
Iko hivi, Nikinunua ng'ombe hapa Tanzania kwa shilingi milioni moja asiye na eartag ukimpeleka Uganda na kumuweka eartag unamuuza nje kwa zaidi ya shilingi milioni nne za Tanzania,
Kitendo cha huyu dada kuamua kuweka mifugo yake hereni amenisaidia sana Mimi kama mfanyabiashara wa ng'ombe wa kimataifa,
Sasa nitanunua ng'ombe hapa Malinyi na kuwauza moja kwa moja kwa wateja wangu walioko nje ya nchi, hapa lazima niseme huyu dada ni Mkurugenzi bora kabisa,
Kama kuna mtu wanamalinyi hasa wafugaji wanaweza kumshukuru basi ni huyu dada Joanfaith,
Huenda tukaanza kushuhudia ng'ombe anauzwa hadi milioni tatu hapa hapa Malinyi,
2. Ujenzi wa ghorofa kwaajili ya Halmashauri ya Malinyi, yaani she is doing wonders aise, njooni Malinyi na ninyi mjionee haya ninayoyasema,
3. Kamaliza migogoro ya makulima na wafugaji kabisa hapa,
Natamani halmashauri zingine nao waamke, mkoa mzima wa Morogoro ni huyu binti tu kanifurahisha zaidi hasa kwa Eartags,
Hongera dada mzuri kwa kazi nzuri sana ya kuwasaidia wafugaji na wananchi wako wa Malinyi,
===
Hongera RC,
Hongera RAS,
Hongera DC,
Hongera DAS,
Vp ameolewa huyu.View attachment 2232603
Nawasalimu kwa jina la JMT,
Mnyonge mnyongeni ila haki yake mpeni,Huyu Mkurugenzi deserves better tuache unafiki,
Wakati Rais Samia Suluhu Hassan anamteua binti huyu mdogo mrembo minong'ono ilikuwa mingi hasa humu mitandaoni,nikiwamo na Mimi,
Majuzi nilifanikiwa kufika Wilaya ya Malinyi kwenye halmashauri ya Malinyi kwaajili ya kununua mifugo,
Awali sikuwa na kumbukumbu ni nani Mkurugenzi wa wilaya ya Malinyi inayoonekana kupiga hatua za kimaendeleo kwa kasi sana nadhani hili wote tuliofika Malinyi mtakubaliana na Mimi,
Nilipodadisi kutaka kumjua,mkurugenzi wa hapa ni nani nikaambiwa anaitwa Joanfaith,
Nilipo -google kutaka kumjua huyo Joanfaith nikakuta kumbe ni yule binti mdogo mrembo uteuzi wake uliyezua mijadala mikali mitandaoni,
Regardless umri wake huyu dada ni kiongozi mahiri sana,na Rais hakukosea kumteua nimeridhika,
Baadhi ya mambo yaliyonifurahisha toka kwa Mkurugenzi huyu ni haya,
1. Nimeshangaa kuona mifugo ya Malinyi inavishwa hereni ( eartags ) bora kabisa kama zile nilizowahi kuziona USA miaka 2016,
Hili limenivutia sana ndio maana nikamwona dada huyu anastahili kuwa juu zaidi ya hapa,
Mkoa mzima ni yeye peke yake na eartags,
Wale tuliofanya biashara ya nyama nje ya nchi tunafahamu huwa tunanunua ng'ombe Tanzania na kuwapeleka Uganda na kuwawekea hizo eartags then tunawauza nje kwa bei ambayo ni maratano zaidi,
Iko hivi, Nikinunua ng'ombe hapa Tanzania kwa shilingi milioni moja asiye na eartag ukimpeleka Uganda na kumuweka eartag unamuuza nje kwa zaidi ya shilingi milioni nne za Tanzania,
Kitendo cha huyu dada kuamua kuweka mifugo yake hereni amenisaidia sana Mimi kama mfanyabiashara wa ng'ombe wa kimataifa,
Sasa nitanunua ng'ombe hapa Malinyi na kuwauza moja kwa moja kwa wateja wangu walioko nje ya nchi, hapa lazima niseme huyu dada ni Mkurugenzi bora kabisa,
Kama kuna mtu wanamalinyi hasa wafugaji wanaweza kumshukuru basi ni huyu dada Joanfaith,
Huenda tukaanza kushuhudia ng'ombe anauzwa hadi milioni tatu hapa hapa Malinyi,
2. Ujenzi wa ghorofa kwaajili ya Halmashauri ya Malinyi, yaani she is doing wonders aise, njooni Malinyi na ninyi mjionee haya ninayoyasema,
3. Kamaliza migogoro ya makulima na wafugaji kabisa hapa,
Natamani halmashauri zingine nao waamke, mkoa mzima wa Morogoro ni huyu binti tu kanifurahisha zaidi hasa kwa Eartags,
Hongera dada mzuri kwa kazi nzuri sana ya kuwasaidia wafugaji na wananchi wako wa Malinyi,
===
Hongera RC,
Hongera RAS,
Hongera DC,
Hongera DAS,
Kazi ipo ndugu yangu ukimvalisha hereni hata magonjwa yanaisha.Kumbe ng'ombe akivaa tu hereni bei yake inaongezeka. Ndo lengo la Hereni?
😂😂Debe la nini hapo?unajipigia tebe kwenye mkeka ujao