🤣 🤣 mambo makubwa yapi una analyse kwa kutumia differentiation ndugu mtoa mada?mambo makubwa anautoa wapi?
Wakirekebisha mtaala vizuri kati ya Frm 3 na 4, huko 5 na 6 ni wastage of time sanasana kwenda kupata status ya Advanced tu, wanachokisoma Frm 5 na 6 wanaweza kuintegrate hukohuko chuoniNi hivi ndugu zangu huwezi kuwa na thinking capacities kwa ku abandon A level kwa kuona form four inatosha. Tunajenga kizazi Cha kufikiria ajira tu bila uwezo wowote....
Kabisa bora mtu apige certificate ya mwaka mmoja kuliko kupoteza muda Advance na mwisho wa siku anakuja kwenda diploma🤣 🤣 mambo makubwa yapi una analyse kwa kutumia differentiation ndugu mtoa mada ?
elimu ya form 5/6 ni ya kupoteza muda
mtu anatoka huko hana skill yoyote ile zaidi ya kukariri madesa yasiyosadifu na maisha halisi
F6 hana ujuzi wowote anazidiwa na la saba ambaye aemeenda VETA miezi 4Si kweli Elimu ya makaratasi ndio inalemaza watu,
Mtu alioshia Form 6 na kijana wa Veta ukiwapeleka Field wa Form 6 anagaragazwa.
Wacha vijana wapewe Elimu za Vitendo mapema itawasaidia. Moja ya Sababu vijana wengi wanashindwa kujiajiri ni kwamba Vichwa vyao vimejaa theory tu.
Hapo jirani Kenya, Hawana A-level.Ni hivi ndugu zangu huwezi kuwa na thinking capacities kwa ku abandon A level kwa kuona form four inatosha. Tunajenga kizazi Cha kufikiria ajira tu bila uwezo wowote.
et tutakua vilaza jamanKwa kweli
We naye acha kuchanganya madesaSi kweli Elimu ya makaratasi ndio inalemaza watu,
Mtu alioshia Form 6 na kijana wa Veta ukiwapeleka Field wa Form 6 anagaragazwa.
Wacha vijana wapewe Elimu za Vitendo mapema itawasaidia. Moja ya Sababu vijana wengi wanashindwa kujiajiri ni kwamba Vichwa vyao vimejaa theory tu.
🤣🤣🤣🤣Nimekumbuka ulivyojitutumua kule🤣🤣🤭et tutakua vilaza jaman
Tena wanatuzidi maarifa hadi aibu aseeHapo jirani Kenya, Hawana A-level.
Ni swala la kuboreshwa kwa mtaala kuweza kukidhi mahitaji, tofauti na mtaala wa sasa tunaotumia.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] em niache kwanza.. nijitafakar nitakuaj kilaza uo mwaka[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Nimekumbuka ulivyojitutumua kule[emoji1787][emoji1787][emoji2960]
🤣🤣🤣🤣Aisee,we jamaa wewe....nimekushindwa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] em niache kwanza.. nijitafakar nitakuaj kilaza uo mwaka
uyu jamaa sijui katuonaje