Huenda kuanzia mwaka 2034 nchi itakuwa na vilaza watupu

Huenda kuanzia mwaka 2034 nchi itakuwa na vilaza watupu

Niambie unatumiaje complex numbers hapo ulipo. Hizo calculus wanasoma bana zile applicable hawaingii deep Kama ulivyozama advance...
Vipi kuhusu biolojia na kemia ya advanced level haina umuhimu wa vijana wetu kusoma wakiwa advanced level?
 
Form 5 na 6 hazina faida yoyote.
Huko vyuoni wanapelekwa puta na walionzia vyuo.

Mtu kaanza certificate na kitu hicho, kana nacho diploma chuo anaserereka nacho . Huyu akiingia kazini ni innovator mzuri tu.

Sasa wewe o'level umesoma masomo 9, advance ukasoma HKL, kwakua una msingi mzuri wa hesabu, chuo ukasoma Banking & finance. Utakua sawa na alieanzia certificate kusomea hiyo banking & finance kweli???
 
Si kweli Elimu ya makaratasi ndio inalemaza watu,

Mtu alioshia Form 6 na kijana wa Veta ukiwapeleka Field wa Form 6 anagaragazwa.

Wacha vijana wapewe Elimu za Vitendo mapema itawasaidia. Moja ya Sababu vijana wengi wanashindwa kujiajiri ni kwamba Vichwa vyao vimejaa theory tu.
Kwanza hiyo 5&6 ingefutwa,mtu akimaliza O-level ni moja kwa moja Kuchukua Elimu ya juu!
 
Msturity mkuu ndo inakufanya uweze kuwa na analytical capacity.
Form 5 na 6 hazina faida yoyote.
Huko vyuoni wanapelekwa puta na walionzia vyuo.

Mtu kaanza certificate na kitu hicho, kana nacho diploma chuo anaserereka nacho . Huyu akiingia kazini ni innovator mzuri tu.

Sasa wewe o'level umesoma masomo 9, advance ukasoma HKL, kwakua una msingi mzuri wa hesabu, chuo ukasoma Banking & finance. Utakua sawa na alieanzia certificate kusomea hiyo banking & finance kweli???
 
Tatizo lilianzia mwezi wa kwanza pale ambapo adolf mkenda waziri wa elimu alipoenda kwenye kongamano la new world order yeye na samia na mwigulu pamoja na makame haya ndiyo matokeo yake.

Huko mbeleni hatutaweza kuwa na madaktari makini, mainjinia, walimu yani fani zote zitajaa vilaza yote sababu ya mfumo. Na pia tuombe Mungu sana tuko hatarini kipindi hiki cha 6.
IMG_20230616_153539.jpg
 
Kidato cha sita ni kupoteza muda tu, nimesoma kidato cha sita then chuo nikapangiwa DIT, kiufupi elimu ya advance sikuona umuhimu wake zaidi ya kupoteza muda tu na future za wale walioshindwa kuvuka kigingi cha NECTA
 
Kwa Sasa Kuna ushawishi mkubwa wa serikali eti wanaomaliza kidato Cha nne hakuna maana ya kwenda A level bali vyuo tu.

Ni hivi ndugu zangu huwezi kuwa na thinking capacities kwa ku abandon A level kwa kuona form four inatosha. Tunajenga kizazi Cha kufikiria ajira tu bila uwezo wowote.

Mfano huwezi sema eti unafanana na na mtu aliyesoma PCM akaenda kusoma electronics na wewe uliyesoma form four tu ukaenda kusoma DIT electronics haiwezekani.

Kwanza form four hasomi differentiation, integration Wala complex namba. Sasa huo huo uwezo wa kuanalyse mambo makubwa anautoa wapi?
Mkuu hujui ubaloongea, kenya kuna watu wana akili na wanafanya mambo makubwa kuliko tz ila hawasomi f5 and 6
 
Elimu ya Tz kwa ujumla ni shida sana haimejengi mwanafunzi katika uelewa mara nyingi inahusisha kusoma mambo mengi ambayo hayana faida.

 Pamoja na yote mazingira na miundombinu duni sana vitu vya kufanya practical Lab unasomeshwa kama theory wewe ukariri tu , Lab moja wanafunzi kibao hakuna kuelewa hapo...
 
Kama mchekecho wa dp world unakosolewa hivi mitandaoni, unadhani hawa jamaa wa vietee watabaki bila plan b?!
 
Back
Top Bottom