Huenda kuanzia mwaka 2034 nchi itakuwa na vilaza watupu

Huenda kuanzia mwaka 2034 nchi itakuwa na vilaza watupu

Ni DIT ipi hiyo ambayo hawasomi Differentiation, Integration na Complex numbers? Usiongee usichokijua na katiika Engineering hakuna shule ngumu kama ya DIT, uliza wote waliopita huko wakienda Universities ni kuteleza tu.
Kwani shule ngumu ndiyo mafanikio?? Niletee Profesa wa physics na hesabu mwenye mafanikio
 
Kwahiyo kwenda A level ndio kipimo cha akili na uwezo wa reasoning? Acheni ujinga wa comparison za kipuuzi!
 
Kuna vyuo havina hata wanafunzi..kwanini wakatae hizo d3 wakati ndo minimum requirement?..

Halafu sikia wewe kilaza...mimi nimepita advance na nikatoboa nikaenda medical school..usinichukulie poa
Ulitoboa au ulitobolewa wewe pimbi ?
Ninyi ndio vilaza wa DD halafu mnaenda kudunga watu sindano ,vichwa maji wakubwa ,pumbav
 
wakuu kwani mtoto akienda chuo chakati miaka 3 uinjinia akimaliza hio miaka anaajiriwa au kuna Levi nyingine?
Kaka kwani advance kuna pcm pekee??
Vipi kama nikisema kwa mujibu wako basi ni hao pPCkunani ndio hutakiwa kwenda advance na sio wengine, japo pia siamini hilo.

Maana vyuoni kuna foundation courses hawaanzii katikati, labda kama uwe kilaza pro max usiefatilia mambo.

Kuna mfano hapo nimeutoa kwa wale ambao advance kasoma kitu kingine na chuo anaenda kusoma kitu tofauti kabisa lakini anamaster, vipi kwa huyo fresh from form 4 ashindwe??
Pumbav , huo upumbavu wa foundation ulishafutwa haupo .
Kaeni na ukilaza wenu huo wa dd
 
Toa uzezeta wako hapa Hamna mtu aliyefaulu kwa division one ya 7 kaenda kwenye vyuo vya vilaza huko veta na diploma ,huko ni kwa vilaza waliofeli shule aka fa fafafafa
Ok. Sina namna naweza kukueleza ukaelewa. Sasa Hebu uje ufanye research.

NACTE wakishatoa selection, anza kufatilia matokeo ya form4 ya wanafunzi waliochagulia kwa direct entry hasa kwenye vyuo vya selikali uone 1.7 zilivyojazana huko.
 
Binafsi sina tatizo na A-level na ningependa vijana vipanga waendelee kupita huko, ila naona kwa dunia ilivyo kwa sasa bora watu wapate skills zitakazosaidia mtaani. Vyuo vya kati viboreshwe tupate watendaji wengi. Haiwezekani cherehani inayotumika Tanzania ndo inayotumika India na China lakini products zinakuwa tofauti. Shati lililoshonwa na mbongo lina lina thamani ya chini kulinganisha na la mhindi au mpakistan. Wanachotuzidi ni skills. Hata kwenye useremala hali iko hivyohivyo. Meza ya mchina inaonekana ina thamani kutokana na majamaa kuwa na uwezo mkubwa wa kiufundi vichwani.

Nina uhakika vyuo vya kati vikitoa vijana wengi wenye ujuzi tutaweza ku-export nguvukazi kwenye nchi zinazotuzunguka kuanzia mafundi cherehani, waashi, seremala, magari nk. Pale Dubai mafundi cherehani karibu wote ni kutoka Pakistan na India. Hata kazi zingine nyingi utakuta wahindi wapo. Serikali ipo sahihi 100% kwenye hili.

Bora umpeleke VETA kijana wako kuliko aende A-level akasome historia ya waherero na wajerumani kwa miaka miwili. Nina vijana wengi waliomaliza vyuo vikuu lakini kwa sasa wako tayari hata kujiunga na certificate ya nursing.
 
Kuishia form 4 ni sawa kbsa ila yaliyopo six na five yarudi kwenye hivyo vidato vya olevel, hatuwez pata dr kwa elimu ya olevel tu.
 
Kwa Sasa Kuna ushawishi mkubwa wa serikali eti wanaomaliza kidato Cha nne hakuna maana ya kwenda A level bali vyuo tu.

Ni hivi ndugu zangu huwezi kuwa na thinking capacities kwa ku abandon A level kwa kuona form four inatosha. Tunajenga kizazi Cha kufikiria ajira tu bila uwezo wowote.

Mfano huwezi sema eti unafanana na na mtu aliyesoma PCM akaenda kusoma electronics na wewe uliyesoma form four tu ukaenda kusoma DIT electronics haiwezekani.

Kwanza form four hasomi differentiation, integration Wala complex namba. Sasa huo huo uwezo wa kuanalyse mambo makubwa anautoa wapi?
katika level za elimu elim kubwa nilipata advance vyuoni hamna elim

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Form 5 na 6 hazina faida yoyote.
Huko vyuoni wanapelekwa puta na walionzia vyuo.

Mtu kaanza certificate na kitu hicho, kana nacho diploma chuo anaserereka nacho . Huyu akiingia kazini ni innovator mzuri tu.

Sasa wewe o'level umesoma masomo 9, advance ukasoma HKL, kwakua una msingi mzuri wa hesabu, chuo ukasoma Banking & finance. Utakua sawa na alieanzia certificate kusomea hiyo banking & finance kweli???
mkuu kunakoz zingine hazina diploma makoz makubwa kama actuarial sciences, petroleum engineering, zinahitaji watu wenye uwezo mkubwa na maanisha waliopita advance

Sent using Jamii Forums mobile app
 
mkuu kunakoz zingine hazina diploma makoz makubwa kama actuarial sciences, petroleum engineering, zinahitaji watu wenye uwezo mkubwa na maanisha waliopita advance

Sent using Jamii Forums mobile app
Samahani mkuu. kwamfano mtoto endapo kasomea udokta au uinjinia moja kwa mojaa chuo cha kati na alie pitia 5&6 na akaenda kusomea pia udokta au uinjinia wanatofautiana mkuu au nisawa tuu? nakweye ajira pia?
 
Back
Top Bottom